Saa Rukuvi yuko hoiNimekumbuka babu wa Loliondo walienda viongozi kadhaa na mkubwa akiwemo
Baada ya kipindi fulani serikali ilikuja kutoa tamko kuwa Ile haikuwa tiba
View attachment 1701194View attachment 1701192View attachment 1701193
Saa Rukuvi yuko hoiNimekumbuka babu wa Loliondo walienda viongozi kadhaa na mkubwa akiwemo
Baada ya kipindi fulani serikali ilikuja kutoa tamko kuwa Ile haikuwa tiba
View attachment 1701194View attachment 1701192View attachment 1701193
we maku kweli, anakuchanganya au anakupa ushuhuda wa kilichomtokea?!.Huyu anataka kuwachanganya watanzania!
Hivi watanzania ni Mali yenu nyinyi miCCM?Huyu anataka kuwachanganya watanzania!
Saa Rukuvi yuko hoi
Nzuri sana ndugu yangu. Nipo nashkuru. Ahsante sana kwa duaa. Ndio tunazozihitaji kwa sasa.Habari za siku nyingi sana Angel! Nimefurahi sana kukuona tena hapa jukwaani na pole kwa matatizo. Mungu akuponye
Asante!Nzuri sana ndugu yangu. Nipo nashkuru. Ahsante sana kwa duaa. Ndio tunazozihitaji kwa sasa.
Then ilikuwaje mkuu? Ulipata tiba gani?Binafsi nlipoanza kupata such symptoms nilikimbilia kutumia tuba asilia pamoja na hizo za kufukiza nyungu. Lkn hazijasaidia na zilinipelekea shida ya upumuaji kwa vile wadudu waliendelea kushambulia kifua na mapafu.
Niliporudi kwa doctor aliniambia niache kujifukiza mara moja ni hatari kwa pumzi.
Natumia antibiotics dawa na sindano hadi leo.Then ilikuwaje mkuu? Ulipata tiba gani?
Afya yako ni Mali yako sio ya serikaliAtakuwa ametumwa na CHADEMA HUYU
eti "matibabu sahihi"....mkuu unachekesha, hufahamu virus wewe!Anawachanganya au anawaambia ukweli ili mjinasue huko kwenye nyungu zenu na mpaze sauti za kutaka serikali iwajibike juu ya vipimo na matibabu sahihi?
Siyo kila kitu unakiingia kichwakichwa na kiitikadi! Mleta hoja ni mhanga na anashare uzoefu wake jinsi alivyopambana pamoja na ushauri wa madaktari ili wahusika waamke na kutimiza wajibu wao na sio kututangazia habari ya mitishamba isiyofanyiwa tafiti za kisayansi kuuzwa kwenye hospitali za umma!
Mim nilikua na dalili Kama za jamaa hizo hizo Ila nikitumia dawa mseto nikaponaBinafsi nlipoanza kupata such symptoms nilikimbilia kutumia tuba asilia pamoja na hizo za kufukiza nyungu. Lkn hazijasaidia na zilinipelekea shida ya upumuaji kwa vile wadudu waliendelea kushambulia kifua na mapafu.
Niliporudi kwa doctor aliniambia niache kujifukiza mara moja ni hatari kwa pumzi.
eti "matibabu sahihi"....mkuu unachekesha, hufahamu virus wewe
Dogo, Mimi ni mhanga na Nina siku ya tano nataabika! Hakuna dawa sijaitumia na Hadi Sasa natumia azu na junior aspirin ndio kidogo kichwa kinapoa japo sisikii, Sina taste na macho hayaoni vyema! Halafu unasema sivijui virus?eti "matibabu sahihi"....mkuu unachekesha, hufahamu virus wewe!
Dawa mseto izi za malaria?Mim nilikua na dalili Kama za jamaa hizo hizo Ila nikitumia dawa mseto nikapona