sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
- Thread starter
- #21
Nachoamini ni kwamba mtu hujifunza mambo ambayo yanadumu kichwani pindi awapo chini ya miaka 18.Dah!
Waafrica sasa tumeanza kuamka! Hongera kwa kujiongeza chief!
Mi binafsi now Nina 34 yrs lakini bado nazurura, sina uhakika wa maisha na hii yote sababu sina ujuzi
Ujuzi ni muhimu Sana kwa maisha ya sasa
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Ni mda huu wengi wanakazania watoo kushika namba moja shuleni, matuisheni hadi weekend, kuwapelekea watoto shule za boarding kwa fasheni, kupiga watoto wasipofanya vizuri darasani, n.k Hali hii inamfanya mtoto awe anajua elimu ya darasani tu, kimbembe kinaanza mtoto kamaliza chuo na lafaulu vizuri tu lakini ndio hivo tena kupata kazi sikuhizi ni ngumu sana.
Binafsi kwa sasa navyolea watoto wangu, moja yupo shule ya msingi ila namlea nikiwa na taswira kwamba akimaliza chuo atakosa ajira japo siombei iwe hivi ila ni kuangalia uhalisia, Najitahidi na ntajitahidi kadri niwezavyo awe na ujuzi katika mambo mbali mbali yatayomsaidia hata akikosa ajira,