OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,168
- 103,628
Mara ya kwanza namtoa out yeye aliagiza bia mimi nikaagiza soda ya coca. Akanicheka sana akaniuliza kama situmii pombe. Baada ya kumjibu kama situmii akanihukumu, kwamba kilevi changu itakuwa chini, tusiotumia pombe tunatumia chini. Nikachukua dakika kadhaa kujitetea.
Bado napata ugumu kuhitimisha tuhuma hizi kwa sisi tusiotumia pombe,bado napungukiwa sample. Hata hivyo kwa sampuli ndogo niliyotumia kuna asilimia kubwa ya ukweli.
What is your take
Bado napata ugumu kuhitimisha tuhuma hizi kwa sisi tusiotumia pombe,bado napungukiwa sample. Hata hivyo kwa sampuli ndogo niliyotumia kuna asilimia kubwa ya ukweli.
What is your take