Ushuhuda: Mama mtoto wangu anaendelea vizuri baada ya kuwekewa mashine ya kuzalisha mvuke kwenye mfumo wa hewa ndani ya hospitali moja mjini Dar

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,874
Nilijiuliza inakuwaje ana mafua makali namna hiyo na kikohozi wakati huu wa joto kali! Tukio lilianza siku ya ijumaa iliyopita. Nikadhani masihara. Jumamosi jioni naona mambo yanazidi kuwa magumu. Huku nawaza sana inakuwaje hali ile wakati huu wa joto kali? akaenda akachoma sindano ya kufanya kifua kiachie!

Jumapili mchana hali bado ikazidi kuwa tete akaenda akawekewa mashine ya kupumulia inayotoa mvuke. Kidogo hali ikatengamaa. Jumatatu anaamka mambo bado magumu. Ikalazimu akawekewe tena mashine hiyo ndani ya hospitali nyingine na kupewa dawa kali za kutuliza maumivu. Hali yake kwa sasa ni nzuri ila ndiyo bado anakohoa na mafua.

Sijui na bado nawaza kilichopelekea mafua na kikohozi kile kipindi hiki cha joto kali!

Kama lipo tatizo basi serikali ituambie ukweli tuu! Mimi naandika huu ujumbe ninauguza na niliyoyaandika hapa yametokea kwa huyo mzazi mwenzangu!
 
Pole sana Mkuu hiyo ni COVID19. Mwenyezi Mungu amponye mkeo Mkuu 🙏🏽
Nilijiuliza inakuwaje ana mafua makali namna hiyo na kikohozi wakati huu wa joto kali! Tukio lilianza siku ya ijumaa iliyopita. Nikadhani masihara. Jumamosi jioni naona mambo yanazidi kuwa magumu. Huku nawaza sana inakuwaje hali ile wakati huu wa joto kali? akaenda akachoma sindano ya kufanya kifua kiachie!

Jumapili mchana hali bado ikazidi kuwa tete akaenda akawekewa mashine ya kupumulia inayotoa mvuke. Kidogo hali ikatengamaa. Jumatatu anaamka mambo bado magumu. Ikalazimu akawekewe tena mashine hiyo ndani ya hospitali nyingine na kupewa dawa kali za kutuliza maumivu. Hali yake kwa sasa ni nzuri ila ndiyo bado anakohoa na mafua.

Sijui na bado nawaza kilichopelekea mafua na kikohozi kile kipindi hiki cha joto kali!

Kama lipo tatizo basi serikali ituambie ukweli tuu! Mimi naandika huu ujumbe ninauguza na niliyoyaandika hapa yametokea kwa huyo mzazi mwenzangu!
 
Pole sana Mkuu hiyo ni COVID19. Mwenyezi Mungu amponye mkeo Mkuu 🙏🏽
Mkuu acha aisee, yani alikuwa anakohoa kikohozi kikavu utasema kuna baridi kali sana!
 
  • Masikitiko
Reactions: BAK
Nilijiuliza inakuwaje ana mafua makali namna hiyo na kikohozi wakati huu wa joto kali! Tukio lilianza siku ya ijumaa iliyopita. Nikadhani masihara. Jumamosi jioni naona mambo yanazidi kuwa magumu. Huku nawaza sana inakuwaje hali ile wakati huu wa joto kali? akaenda akachoma sindano ya kufanya kifua kiachie!

Jumapili mchana hali bado ikazidi kuwa tete akaenda akawekewa mashine ya kupumulia inayotoa mvuke. Kidogo hali ikatengamaa. Jumatatu anaamka mambo bado magumu. Ikalazimu akawekewe tena mashine hiyo ndani ya hospitali nyingine na kupewa dawa kali za kutuliza maumivu. Hali yake kwa sasa ni nzuri ila ndiyo bado anakohoa na mafua.

Sijui na bado nawaza kilichopelekea mafua na kikohozi kile kipindi hiki cha joto kali!

Kama lipo tatizo basi serikali ituambie ukweli tuu! Mimi naandika huu ujumbe ninauguza na niliyoyaandika hapa yametokea kwa huyo mzazi mwenzangu!
Wewe uliniambia huna mke jamoni. Any way waulize hospital SpO2 yake ni ngapi ?
 
Nilijiuliza inakuwaje ana mafua makali namna hiyo na kikohozi wakati huu wa joto kali! Tukio lilianza siku ya ijumaa iliyopita. Nikadhani masihara. Jumamosi jioni naona mambo yanazidi kuwa magumu. Huku nawaza sana inakuwaje hali ile wakati huu wa joto kali? akaenda akachoma sindano ya kufanya kifua kiachie!

Jumapili mchana hali bado ikazidi kuwa tete akaenda akawekewa mashine ya kupumulia inayotoa mvuke. Kidogo hali ikatengamaa. Jumatatu anaamka mambo bado magumu. Ikalazimu akawekewe tena mashine hiyo ndani ya hospitali nyingine na kupewa dawa kali za kutuliza maumivu. Hali yake kwa sasa ni nzuri ila ndiyo bado anakohoa na mafua.

Sijui na bado nawaza kilichopelekea mafua na kikohozi kile kipindi hiki cha joto kali!

Kama lipo tatizo basi serikali ituambie ukweli tuu! Mimi naandika huu ujumbe ninauguza na niliyoyaandika hapa yametokea kwa huyo mzazi mwenzangu!
Kipindi hiki vifo vyao covid 19 vimekuwa vingi na wagonjwa wameongezeka. Kuna family friend moja nyumba nzima waliolazwa na sasa wanaendelea matibabu nyumbani kwao na hakina anayeruhusiwa kuingia
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tupo kwenye awamu ya pili ndugu.
Usisahau kunywa juice ya tangawizi/malimau/vitunguu/saumu/ na kujifukiza.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom