eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,651
- 13,789
Ifike mahala sasa lazima tuelewe jinsi nchi za magharibi zilivyo wanafiki na wauaji wakubwa katika dunia hii. Wengi walishuhudia jinsi nchi za magharibi na miungano yao ikishiriki kuhatarisha amani ya dunia. Lakini wengi wa watu duniani wako gizani kuhusiana na hilo.
Wakati maharamia yakivamia Libya na kumuua Gadaf bila hatia yoyote, dunia nzima ilikaa kimya. Wala hakuna mtu awaye yote ambaye alikemea kitendo hicho cha kidhalimu.
Wakati maharamia yakivamia Libya na kumuua Gadaf bila hatia yoyote, dunia nzima ilikaa kimya. Wala hakuna mtu awaye yote ambaye alikemea kitendo hicho cha kidhalimu.