USHUHUDA: Hivi ndivyo mafuta yanavyoibiwa Bandarini Dar...

Status
Not open for further replies.
..duh hawa waarabu nchi hii wameifanya yao...huyu mzee Islam wa OILCOM amefanya kafara ya ajabu pale upanga anapoishi....Nikiri kuwa katika taifa dar...ama TZ nzima sijapata kuona nyumba ya namna hii..nina uhakika hakuna nyumba ya kifahari zaidi ya hii TZ....huyu jamaa ameweka ngome ya ajabu kwake...yaani si hekalu bali kasri la ajabu lililochukua sehemu kubwa ya mtaa ulio karibu na malik street pale msikitini Al Noor....yani jumba lake ni jingome la ukubwa wa ajabu lililojengwa kwa imported concrete na kuzibwa mwanzo mwisho...kasri la ajabu limekwenda juu kabisa..na kuta nene za mawe/matofali ya nje....yaani design ya jumba hili sijawahi ona TZ....huwezi kuamini ni nyumba ya mtu mmoja...maana humo ndani kuna mijumba iliyoungana karibu sehemu kubwa ya mtaa ule....Ukipita hapo lazima ushangae na punde utafatwa na walinzi kuulizwa wafanya nini hapo....wanasema hata huo msikiti hapo yeye Islam ameujenga...na ana mlango wake special umeunganishwa toka kwake kwenda hapo msikitini....amazingly..na wakuu wa nchi hii possibly wanajua maana wengine husali hapo msikitini...

...nimewahi kusema waarabu na wahindi ndio wenye kuishika TZ na ndio majipu makubwa nchi hii..wale watanzania wanaokamatwa ni cha mtoto lakini mara nyingi wanakuwa mawakala ama vibaraka wa waarabu na wahindi matajiri wa nchi hii....na ukitaka kuwajua matajiri hawa nenda upanga uone wanavyoishi.....na kuwajua si vigumu kama unaishi upanga maana wao na watoto wao huwa na tabia ya kutoka usiku na magari ya kifahari kabisa ya sports yenye kupiga kelele mitaa yote ya upanga....hakika kafara za namna hii huzioni popote TZ zaidi ya upanga...si osterbay wala masaki bali upanga..na matajiri hawa ndio wenye biashara zote kubwa za maana TZ....haswa mafuta (petrol& disel) na hata mafuta ya kula...magari...na hata vitalu vya kuwindia..n.k you name it....Naona JPM anakimbizana na watumishi wa umma wanaokuwa mawakala/vibaraka wa waarabu na wahindi....
 
Mimi nimeshasusia kununua mafuta ya OILCOM - wazalendo wenzangu tuungane na JPM kupiga vita huu wizi kwa kususia kununua bidhaa za OILCOM.
 
MKUU ULICHOKIANDIKA NI KWELI, WENGI WAKO HILI ENEO LA MAFUTA LAKINI HAWATAKI KUFUNGUKA. BADO WANADHANI MAMBO YATAKUWA KAMA MIAKA KUMI ILIYOPITA!! ILA TUFUNGUKE TU KWA WINGI MAANA SIRI ZIKIWA WAZI SANA KILA MTU ATAOGOPA. UFISADI UTAPUNGUA..
 
Inasikitisha sana, na kweli mkuu unaongea kwa vivid example yaan huo mfano unashutua kama nilikuwepo Bandarini maana ni kama maigizo.
 
kwni kipi asicho kijua magufuli kuhusu haya yote??hao wapiga dili mnao waita majipu ndio wafadhili wakuu wa chama cha mapinduzi,sitaraji mapya kutoka serikali hii zaidi ya kubadilishana aina ya maigizo
 
MKUU ULICHOKIANDIKA NI KWELI, WENGI WAKO HILI ENEO LA MAFUTA LAKINI HAWATAKI KUFUNGUKA. BADO WANADHANI MAMBO YATAKUWA KAMA MIAKA KUMI ILIYOPITA!! ILA TUFUNGUKE TU KWA WINGI MAANA SIRI ZIKIWA WAZI SANA KILA MTU ATAOGOPA. UFISADI UTAPUNGUA..
how many times change kawa mentioned kwenye ufisadi leo yuko wapi anawainspire ccm na vijana wangapi kupiga kama yeye,imefika hatua kuwa mwizi wa mali ya umma ni sifa sasa
 
Mbona hujasema kuwa na LOADERS/OPERATOR wa depots wanahusika..!? Maana katika wizi unaotokea KOJ hususani usiku mara nyingi unakuta loaders wanamwibia mwajiri wao wanayapeleka mafuta depots nyingine kwa makubaliano ya after payments baada ya kupokea.

Bila kusahau na wanaotoboa mabomba yaelekeayo depots. Hawa hula na polisi wa doria usiku na ndio maana hukuti wala husikii kesi za gari zimekamatwa zikipakia ktk mabomba.

Na kna depots zingine ambazo ikitokea wanapokea mchana basi kna bomba linalojoin lile la kupokea ila bomba hilo huenda direct gantry hvo mafuta hayo hapakiliwa papo hapo. Mafuta yanayokuwa bypassed kwenda gantry inakuwa ni kama depot imeyaokota maana hayana hesabu na huwa hayajulikani hvo ni kwamba kila lita wanayouza haikuwa na mtaji(full benefit).

*ngoja niende nikale ntarudi badae
 
Rais na Waziri wake mkuu watapata kazi sana kusafisha hii nchi,Ningewashauri kitu kimoja kama kweli wanataka kusafisha nchi hii na siyo "kuonekana wanasafisha" wakati ukweli hakuna kitu wanachofanya.

Wapo watu katika nchi hii wanazo taarifa za mifumo ya wizi katika sehemu mbalimbali jinsi inavyofanya kazi, either wao walishiriki na sasa hawapo kwenye hiyo mirija au wanashuhudia jinsi wizi unavyoendelea ingawa wao hawausiki. Rais angetengeneza utaratibu wa watu wema wenye taarifa ya madudu yanayofanyika katika taifa hili kupeleka hizo taarifa in details wakiwa wanajulikana au hawajulikani, iwe ni choice ya mtoa taarifa.

Nina uhakika wapo watu wangejitokeza kutoa hizo taarifa nikiwapo mimi.

Mimi nina uzoefu wa jinsi mafuta yanavyoibiwa bandarini:

Kwanza niweke wazi, mafuta hayaibiwi bandarini kwa kukadiria au sijui kwa sababu ya flow meters. Hakuna kitu kama hicho. Tena zile flow meter zilikuwa na capacity ndogo na zinaharibika mara kwa mara hivyo zikiharibika inabidi ku-bypass. Meli ikiwa inashusha mafuta inaweza kushusha kwa presha ya bar 16, zile flow meter zilikuwa hazihimili presha kubwa.

Mafuta yakishashushwa, kiwango cha mafuta kilichopokelewa kina pigiwa hesabu na ma-surveyor na wanatengeneza taarifa yao. Mchezo unaanzia hapo TRA, Mafuta yanayotakiwa kulipiwa ushuru ni ya local (yanayotumika humu nchini), na ya transit hayalipiwi ushuru. Sasa figure zinazoingizwa kwenye system ya TRA kwa ajili ya kulipiwa ushuru ndiyo hapo serikali inapoibiwa.

Na anayefanya mchezo huu ni afisa wa TRA kitengo cha mafuta akishirikiana na kampuni husika. Kuna makampuni ambayo yamekubuhu kwa mchezo huo. Makampuni ya watu binafsi yakiongozwa na yanayomilikiwa na waarabu. OILCOM ndio kinara, Lake oil, World oil, CAMEL Oil, etc.

Ipo mifano mingi ila natoa mmoja.

Kuna siku ilikuwa meli na mzigo mkubwa tu kana tani laki moja na nusu, Huo mzigo ulikuwa wa OILCOM. Kwenye Cargo manifesto ya meli ulikuwa umekuwa declared kama JET A1, (mafuta ya ndege) ya transit ya kwenda Zambia. Haya yana tax exemption.

Surveyor wa mzigo alikuwa kijana mmoja anaitwa ANDERSON kutoka Intertek. Akaenda kwenye meli akapima mzigo akaambiwa na wenye mzigo kuwa aandike kuwa ni JET A1 kwenye documents zake, ingawa mzigo ulikuwa ni diesel (GO), akaahidiwa dili ikishakamilika atapewa chake. Basi Anderson machale yakamcheza akaamua kutengeneza ducument set 2, moja akadiclare ule mzigo kuwa ni JET na nyingine kuwa ni GO.

Sasa kosa ambalo walilifanya hawakumuhusisha loading master wa pale manifold. Alipoambiwa afungue line ya kwenda oilcom, Yule mzee akafungua line ya JET ya kwenda OIL com. Sasa pale KOJ manifold kuna chujio za mafuta (Strainers) kwa ajili ya kila aina ya mafuta, na zina ukubwa tofauti kwaajili ya kuchuja mafuta. Mafuta yalipoanza kusukumwa, ile strainer ya JET ikaanza kupiga kelele yaani ikawa inapitisha mafuta kwa tabu.

Loading master akaamua kuangalia kwa nini inapiga kelele, akakuta mafuta yanayopita ni diesel tena ile diesel ya high sulphur (5000ppm). Akaita kwenye radio call, " We Anderson, hiyo mnayosukuma ni JET au DIESEL?", Hakuna mtu aliyejibu kenye radio, ikabidi pump za meli zizimwe washuke kwenye meli kwenda kuongea na loading master.

Sasa ile channel ya radio inayotumiwa kwa mawasiliano inasikiwa na watu wengi wakiwemo TRA, Usalama wa Taifa, Maofisa wa Bandari, n.k, baada ya kama nusu saa, watu zaidi ya 9 wakawa wamefika pale KOJ, wakiwemo maafisa wa usalama wa Taifa.

Kuona hivyo Underson akatoka na gari akakimbia, akamwacha Depot supervisor wa OILCOM, yule kijana wa oilcom ikabidi amtaarifu mzee ISLAM mwenyewe mwenye OILCOM kuwa kimesanuka. Ilikuwa ni Jumamosi, mzee Islam akaagiza watu wote walioenda kushuhudia ile saga waende OILcom, inavyosemekana kila mtu alipewa mil 80 cash palepale kwenye mifuko ya rambo. Na mzigo baadae ukashushwa kwenye line ya diesel.

Sasa ukiangalia wizi unaofanyika kwenye mafuta siyo wizi wa mafuta ila ni ukwepaji kodi, mafuta yanakuwa declared kama transit hayalipiwi ushuru ila yanauzwa local kwa bei ile ile. Na biashara hii ya kukwepa ushuru ilikuwa inasimamiwa na mwenyewe kamishna wa kodi ya forodha Bwana Masamaki.

Mafuta yakishaingiza kama transit yanatengenezewa document zote kuanzia za loading, Checkpoint zote za TRA, clearance ya Tunduma hadi upande wa pili wa boarder, na offloading documents na documents za ZRA(Zambia Revenue Authority). Na Bond clearance.

Hizi taarifa zote Usalama wa taifa wanazijua fika, kama Magufuli akitaka kusafisha, anatakiwa apate watu wa usalama wenye mtazamo kama wake. Laa sivyo, na wao watakuwa wanawashtua waalifu kwa meseji kama prof. Muhongo.

OIL COM ndio kinara.

Dawa ya majipu haya yote ni JPM kuirejesha kampuni za umma za NASACO kuongoza shughuli za meli hap nchini na TIPER kusafisha mafuta hapa hapa nchini katika mikakati yake ya kufufua viwanda, Mwalimu Nyerere hakuwa mjinga kuanzisha hizo kampuni za umma.
 
Nchi inajengwa na watu wenye moyo kama wewe! Taarifa hizi zifanyiwe kazi ikibainika ni za kweli basi Anderson na wahusika wengine wafilisiwe mali zao na kufungwa jela.
 
Mhe Rais tunakuomba ufanyike utaratibu wa kuajiri upya wafanyakazi wa TRA na BANDARI hao waliopo wanajua njama zote pangua pangua haitasaidia

JAMANI HII ISSUE MHESHIMIWA RAIS AU WAZIRI MKUU AIPATE. KUMBE HATA WANAOTAKIWA KULINDA WANAHUSIKA!!!! TAAAHHH
 
Nimekupata mkuu, Hii nchi narudia kusema kama magufuli nia yake nchi ikae sawa.fukuza TRA wote maafisa na pale TPA ondoa kabisa kizazi cha panya tuanze upya tu,lakini kuondoa mmoja mmoja wakati walioshika system ni wale wale tunacheza tu
Hilo ni kansa ya damu huwezi toa damu ya mguuni ukasema umetibu watanzania wanataka mabadiliko ya kweli fukuza wote chukua wengine wapya tanesco fukuza wote atc fukuza wote mpaka bodi zote fukuza hawabadiliki hawa wameshaonja nyama ya mtu hawawezi kuacha kuiba
 
Meli Tani 150000 inaingia KOJ????? Kunaweza kua na ukweli ila umepika vitu vingine. Tukianzia na hilo.
 
FUHRER ...huu ndio uzalendo, nina uhakika JPM na KMK wanania ya dhati na wangependa kupata taarifa hizi! Inabidi waandae mifumo ya kupata taarifa nyeti kama hizi. Hata hivyo ni imani yangu kuwa wao au wasaidizi wao wanapitia mitandao mbali mbali kama hii!

Badala ya KMK nadhani iwe MKM kwa maana ya MAJALIWA KASSIM MAJALIWA ingawa nakiri na mimi sina hakika sana.
 
Rais na Waziri wake mkuu watapata kazi sana kusafisha hii nchi,Ningewashauri kitu kimoja kama kweli wanataka kusafisha nchi hii na siyo "kuonekana wanasafisha" wakati ukweli hakuna kitu wanachofanya.

Wapo watu katika nchi hii wanazo taarifa za mifumo ya wizi katika sehemu mbalimbali jinsi inavyofanya kazi, either wao walishiriki na sasa hawapo kwenye hiyo mirija au wanashuhudia jinsi wizi unavyoendelea ingawa wao hawausiki. Rais angetengeneza utaratibu wa watu wema wenye taarifa ya madudu yanayofanyika katika taifa hili kupeleka hizo taarifa in details wakiwa wanajulikana au hawajulikani, iwe ni choice ya mtoa taarifa.

Nina uhakika wapo watu wangejitokeza kutoa hizo taarifa nikiwapo mimi.

Mimi nina uzoefu wa jinsi mafuta yanavyoibiwa bandarini:

Kwanza niweke wazi, mafuta hayaibiwi bandarini kwa kukadiria au sijui kwa sababu ya flow meters. Hakuna kitu kama hicho. Tena zile flow meter zilikuwa na capacity ndogo na zinaharibika mara kwa mara hivyo zikiharibika inabidi ku-bypass. Meli ikiwa inashusha mafuta inaweza kushusha kwa presha ya bar 16, zile flow meter zilikuwa hazihimili presha kubwa.

Mafuta yakishashushwa, kiwango cha mafuta kilichopokelewa kina pigiwa hesabu na ma-surveyor na wanatengeneza taarifa yao. Mchezo unaanzia hapo TRA, Mafuta yanayotakiwa kulipiwa ushuru ni ya local (yanayotumika humu nchini), na ya transit hayalipiwi ushuru. Sasa figure zinazoingizwa kwenye system ya TRA kwa ajili ya kulipiwa ushuru ndiyo hapo serikali inapoibiwa.

Na anayefanya mchezo huu ni afisa wa TRA kitengo cha mafuta akishirikiana na kampuni husika. Kuna makampuni ambayo yamekubuhu kwa mchezo huo. Makampuni ya watu binafsi yakiongozwa na yanayomilikiwa na waarabu. OILCOM ndio kinara, Lake oil, World oil, CAMEL Oil, etc.

Ipo mifano mingi ila natoa mmoja.

Kuna siku ilikuwa meli na mzigo mkubwa tu kana tani laki moja na nusu, Huo mzigo ulikuwa wa OILCOM. Kwenye Cargo manifesto ya meli ulikuwa umekuwa declared kama JET A1, (mafuta ya ndege) ya transit ya kwenda Zambia. Haya yana tax exemption.

Surveyor wa mzigo alikuwa kijana mmoja anaitwa ANDERSON kutoka Intertek. Akaenda kwenye meli akapima mzigo akaambiwa na wenye mzigo kuwa aandike kuwa ni JET A1 kwenye documents zake, ingawa mzigo ulikuwa ni diesel (GO), akaahidiwa dili ikishakamilika atapewa chake. Basi Anderson machale yakamcheza akaamua kutengeneza ducument set 2, moja akadiclare ule mzigo kuwa ni JET na nyingine kuwa ni GO.

Sasa kosa ambalo walilifanya hawakumuhusisha loading master wa pale manifold. Alipoambiwa afungue line ya kwenda oilcom, Yule mzee akafungua line ya JET ya kwenda OIL com. Sasa pale KOJ manifold kuna chujio za mafuta (Strainers) kwa ajili ya kila aina ya mafuta, na zina ukubwa tofauti kwaajili ya kuchuja mafuta. Mafuta yalipoanza kusukumwa, ile strainer ya JET ikaanza kupiga kelele yaani ikawa inapitisha mafuta kwa tabu.

Loading master akaamua kuangalia kwa nini inapiga kelele, akakuta mafuta yanayopita ni diesel tena ile diesel ya high sulphur (5000ppm). Akaita kwenye radio call, " We Anderson, hiyo mnayosukuma ni JET au DIESEL?", Hakuna mtu aliyejibu kenye radio, ikabidi pump za meli zizimwe washuke kwenye meli kwenda kuongea na loading master.

Sasa ile channel ya radio inayotumiwa kwa mawasiliano inasikiwa na watu wengi wakiwemo TRA, Usalama wa Taifa, Maofisa wa Bandari, n.k, baada ya kama nusu saa, watu zaidi ya 9 wakawa wamefika pale KOJ, wakiwemo maafisa wa usalama wa Taifa.

Kuona hivyo Underson akatoka na gari akakimbia, akamwacha Depot supervisor wa OILCOM, yule kijana wa oilcom ikabidi amtaarifu mzee ISLAM mwenyewe mwenye OILCOM kuwa kimesanuka. Ilikuwa ni Jumamosi, mzee Islam akaagiza watu wote walioenda kushuhudia ile saga waende OILcom, inavyosemekana kila mtu alipewa mil 80 cash palepale kwenye mifuko ya rambo. Na mzigo baadae ukashushwa kwenye line ya diesel.

Sasa ukiangalia wizi unaofanyika kwenye mafuta siyo wizi wa mafuta ila ni ukwepaji kodi, mafuta yanakuwa declared kama transit hayalipiwi ushuru ila yanauzwa local kwa bei ile ile. Na biashara hii ya kukwepa ushuru ilikuwa inasimamiwa na mwenyewe kamishna wa kodi ya forodha Bwana Masamaki.

Mafuta yakishaingiza kama transit yanatengenezewa document zote kuanzia za loading, Checkpoint zote za TRA, clearance ya Tunduma hadi upande wa pili wa boarder, na offloading documents na documents za ZRA(Zambia Revenue Authority). Na Bond clearance.

Hizi taarifa zote Usalama wa taifa wanazijua fika, kama Magufuli akitaka kusafisha, anatakiwa apate watu wa usalama wenye mtazamo kama wake. Laa sivyo, na wao watakuwa wanawashtua waalifu kwa meseji kama prof. Muhongo.

OIL COM ndio kinara.

Duh, Rais wangu MAGUFULI ana kazi nzito...Hilo la Usalama wa Taifa kuhusika inawezekana ni kweli, haiwezekani madudu yote yapite wakati Usalama wa Taifa wapo... wachunguzwe wote kuhusu mali zao wakiwemo wa Usalama wa Taifa...Lakini Tumuombee MAGUFULI, this is a serious issue kwa hakika.
 
Jembe kashaanza kuwalia mingo. Kaanza na Bi. Chuwa na wengine wengi watafuata.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom