ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 3,974
- 9,024
Ulikua mnufaika wa mfumo wewe sio bure, hizo zama za uovu kushika hatamu tulikua haturuhusiwi hata kupiga story za nchi yetu kwenye daladala unaweza kujikuta unashuka na pongo kwenda kwa chemba zaoSio muumini wa kusoma maandiko marefu lakn nimejitahidi kumaliza.
Siku zote mtu muoga ni mnafiki, mnafiki ni adui wa mkweli, umeishi kwa hofu na utaendelea kuishi kwa hofu sababu ni mnafiki.
Mambo ya watu kufa, kukimbia nchi zao, kuwekwa ndani yameanza hata kabla uhuru na yameendelea kuwepo na yataendelea kuwepo mpaka wanafiki watakapoisha.