platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,366
- 11,152
Wiki iliyopita nilikuwa natazama kipindi cha Hard talk (BBC).Mwandishi alimuuliza Rais Yoweri Museveni ni kwa nini anakiuka haki za binadamu kuhusu mashoga (Ikumbukwe inaandaliwa sheria kali sana kuhusu hawa watu),akajibu kwamba:
Tokea zamani hawa mashoga walikuwepo hapa Africa na kwamba tumeendelea kuishi nao na maisha yao yamekuwa ni mambo yanayowahusu wao wenyewe.Ila anachokikataa ni tabia za nchi za magharibi ku-promote ushoga na kuhimiza tabia hizo kwa kisingizio cha haki za binadamu.
My take: Inawezekana kabisa tabia hizi zimekuwepo zama nyingi hapa kwetu na tofauti wengi wetu tunavyofikiri kuwa inasababishwa na kuiga watu wa magharibi.Hivi zama hizo watu hawa walikuwa wakiingia kwenye ushoga kwa sababu zipi?
Tokea zamani hawa mashoga walikuwepo hapa Africa na kwamba tumeendelea kuishi nao na maisha yao yamekuwa ni mambo yanayowahusu wao wenyewe.Ila anachokikataa ni tabia za nchi za magharibi ku-promote ushoga na kuhimiza tabia hizo kwa kisingizio cha haki za binadamu.
My take: Inawezekana kabisa tabia hizi zimekuwepo zama nyingi hapa kwetu na tofauti wengi wetu tunavyofikiri kuwa inasababishwa na kuiga watu wa magharibi.Hivi zama hizo watu hawa walikuwa wakiingia kwenye ushoga kwa sababu zipi?