Ushoga ni tabia,maumbile au maradhi? Angalia na ya Museveni.....

platozoom

JF-Expert Member
Jan 24, 2012
9,366
11,152
Wiki iliyopita nilikuwa natazama kipindi cha Hard talk (BBC).Mwandishi alimuuliza Rais Yoweri Museveni ni kwa nini anakiuka haki za binadamu kuhusu mashoga (Ikumbukwe inaandaliwa sheria kali sana kuhusu hawa watu),akajibu kwamba:

Tokea zamani hawa mashoga walikuwepo hapa Africa na kwamba tumeendelea kuishi nao na maisha yao yamekuwa ni mambo yanayowahusu wao wenyewe.Ila anachokikataa ni tabia za nchi za magharibi ku-promote ushoga na kuhimiza tabia hizo kwa kisingizio cha haki za binadamu.

My take: Inawezekana kabisa tabia hizi zimekuwepo zama nyingi hapa kwetu na tofauti wengi wetu tunavyofikiri kuwa inasababishwa na kuiga watu wa magharibi.Hivi zama hizo watu hawa walikuwa wakiingia kwenye ushoga kwa sababu zipi?
 
Wiki iliyopita nilikuwa natazama kipindi cha Hard talk (BBC).Mwandishi alimuuliza Rais Yoweri Museveni ni kwa nini anakiuka haki za binadamu kuhusu mashoga (Ikumbukwe inaandaliwa sheria kali sana kuhusu hawa watu),akajibu kwamba:

Tokea zamani hawa mashoga walikuwepo hapa Africa na kwamba tumeendelea kuishi nao na maisha yao yamekuwa ni mambo yanayowahusu wao wenyewe.Ila anachokikataa ni tabia za nchi za magharibi ku-promote ushoga na kuhimiza tabia hizo kwa kisingizio cha haki za binadamu.

My take: Inawezekana kabisa tabia hizi zimekuwepo zama nyingi hapa kwetu na tofauti wengi wetu tunavyofikiri kuwa inasababishwa na kuiga watu wa magharibi.Hivi zama hizo watu hawa walikuwa wakiingia kwenye ushoga kwa sababu zipi?

hilo swali ungeenda pale vijana hostel kinondoni baobab bar watakusaidia maana pale wapo kibao au nenda traveltine kipindi cha show za taarab
 
hilo swali ungeenda pale vijana hostel kinondoni baobab bar watakusaidia maana pale wapo kibao au nenda traveltine kipindi cha show za taarab


Kwa sababu mimi si mpitaji wa maeneo hayo..wewe unaweza kuwauliza pengine tunaweza kupata mwanga....
 
Wiki iliyopita nilikuwa natazama kipindi cha Hard talk (BBC).Mwandishi alimuuliza Rais Yoweri Museveni ni kwa nini anakiuka haki za binadamu kuhusu mashoga (Ikumbukwe inaandaliwa sheria kali sana kuhusu hawa watu),akajibu kwamba:

Tokea zamani hawa mashoga walikuwepo hapa Africa na kwamba tumeendelea kuishi nao na maisha yao yamekuwa ni mambo yanayowahusu wao wenyewe.Ila anachokikataa ni tabia za nchi za magharibi ku-promote ushoga na kuhimiza tabia hizo kwa kisingizio cha haki za binadamu.

My take: Inawezekana kabisa tabia hizi zimekuwepo zama nyingi hapa kwetu na tofauti wengi wetu tunavyofikiri kuwa inasababishwa na kuiga watu wa magharibi.Hivi zama hizo watu hawa walikuwa wakiingia kwenye ushoga kwa sababu zipi?

Si zamani tu, hata mpaka leo sijui kwa nini watu wanaingia kwenye mambo hayo!
 
Back
Top Bottom