Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,060
Mkuu, ulianza vizuri ila na wewe umepotea. Ushoga umeanza miaka mingi sana kama wengine wanavyosema au Mleta thread alivyoandika kuwa ni Sodoma na Gomora. Nina shangaa sasa kusema hayo ni ya USA, kwani hii Sodoma na Gomora ilikuwa USA? Hapana.
Ushoga umekuwepo kwa miaka mingi sana na wengine wanadai ndiyo sababu haswa ya Shetani kufukuzwa kwenye bustani ya Eden/Peponi kwani kabla Eva hajatengenezwa na Mungu kuwa Mke wa Adam, hakukuwa na Mwanamke na Shetani alikuwa kashauanza huu mchezo na Malaika wenzake (Mhhh!?!?!?!). Haka ka mchezo ni kamchezo kachafu na kazee kuliko dunia hii.
Ila ni MASHOGA hawa hawa tunaowalaani leo ndiyo wameibadilisha dunia na kwa sasa wanazidi kufungua makucha kwa kuishika dunia hii. Kumbuka ni wao wamemuweka madarakani Obama. Zamani walikuwa ni Wayahudi na Media zao/Fedha zao ndiyo walikuwa na nguvu sana kwenye Serikali ya USA. Ila mnakumbuka vitisho na kila aina ya njama zilifanywa na Wayahudi(PM Netanyahu) ili Obama wampige chini ila Obama akasema atatetea haki za Mashoga, na akashinda. Jamaa ni wengi sana na wanazidi kuwa wengi.
Duniani idadi ya watu imekuwa kubwa sana, lazima tupungue tutake tusitake. Wachina wanatuuwa na product zao hatari, wenyewe tunauwana na product hatari, Fukushima na Charnobil nazo zinatukaanga, AIDS, Malaria, nk. Vita kwa sasa zimepungua na idadi ya Binadamu imeongezeka na dawa pekee ni USHOGA. Watu mngelijua hali imefikia wapi, basi tungelikaa tu nyumbani na kusali. Kupigana na hii kitu ni kwamba tumeshachelewa. USHOGA unatawala tayari dunia tupende tusipende.
Mtu unaweza kuja na kila aina ya matusi, ila wenzio watakuja na DOLA zao na jinsi tulivyo wepesi kuuza utu wetu, mbona tutajiuza sana. Hata hapa Tanzania, tayari kuna vijana wadogo wenye hela chafu sana na utawafahamu mara nyingi kuwa ni Watanashati sana na hawana wake. Wengine wana wake wa kugeresha ila ni Mashoga. Huko Uganda kwenyewe, Museven kuna siku atalia atakapogundua kuna Mwanae/Wanae ni Mashoga. Mugabe pia ajiandae labda afe mapema. Hii kitu ni sawa na miaka ileee huko USA, mtu Mweusi kuowa au kuolewa na Mweupe ilikuwa HAIWEZEKANI na hata ukifanya hivyo basi adhabu ni kifo au kifungo. Leo hii kuna mtu anajali tena? Tutabana ila kuna siku tutaachia.
Kuna siku nikiwa nchi za watu, tulikuwa kwenye Studio ya picha wanaume tisa na wanawake watatu. Katika hao wanaume, mie na kijana mwingine pekee ndiyo hatukuwa Mashoga, hawa wengine saba walikuwa Mashoga. Hapo ilibidi niseme kwa mara ya kwanza kuwa mie na jamaa ndiyo Wanaume tusio wa kawaida kwani 7-2 kwa kweli jamaa walikuwa wametuzidi sana kwa idadi.
Leo hii kwenye miji Mikuu mingi na miji mikubwa mingi nchi za WEST, Mashoga ndiyo wanatawala kifedha. Makampuni ya nguo, vipodozi, urembo, burudani, restaurants, Bar, Pub nk, walioshika usukani ni MASHOGA. Nina imani hata ukienda CNN, BBC nk, mashoga ndiyo wamejazana huko. Hebu angalia hata Show za Michael Jackson, wale waimbaji karibu wote ni Mashoga. Madonna pia ni Mishoga mitupu nk. Wengi wa hao vijana, Mabwana zao ndiyo hao Mawaziri, Wabunge, Mahakimu nk ambao Marais wetu huenda kuwapigia magoti wapewe misaada.
Ni ukweli Mchungu ila ndiyo ukweli wenyewe. Obama mtamtukana sana ila tatizo limelala sehemu nyingine na Obama ni Msemaji tu wa tatizo. Mjumbe hauwawi na kama kweli tunataka ku-solve hili tatizo, basi dunia nzima isimame na kuanza kujadili tatizo, jambo ambalo haliwezekani. Wenzetu Mashoga wameungana na wanashirikiana sana duniani, sisi je tunaopinga, tumefanya nini? Kumtukana Obama na kuanza kucheka? Wenzetu wako kimya wanafanya kazi kueneza Ushoga na sisi tunachekelea maneno ya Mugabe na Museven ambayo hata hivyo unaweza kukuta hao hao wapinzani ndiyo Mashoga wenyewe.
Ndiyo maana hata Elton John pamoja na kuwa ni SHOGA, bado Malkia Elizabeth kamtunukia heshima ya SIR. Ila watu hilo hawalioni wanamuona Obama. Huyu Waziri William Hague ni Shoga kabisa.
Ushoga umekuwepo kwa miaka mingi sana na wengine wanadai ndiyo sababu haswa ya Shetani kufukuzwa kwenye bustani ya Eden/Peponi kwani kabla Eva hajatengenezwa na Mungu kuwa Mke wa Adam, hakukuwa na Mwanamke na Shetani alikuwa kashauanza huu mchezo na Malaika wenzake (Mhhh!?!?!?!). Haka ka mchezo ni kamchezo kachafu na kazee kuliko dunia hii.
Ila ni MASHOGA hawa hawa tunaowalaani leo ndiyo wameibadilisha dunia na kwa sasa wanazidi kufungua makucha kwa kuishika dunia hii. Kumbuka ni wao wamemuweka madarakani Obama. Zamani walikuwa ni Wayahudi na Media zao/Fedha zao ndiyo walikuwa na nguvu sana kwenye Serikali ya USA. Ila mnakumbuka vitisho na kila aina ya njama zilifanywa na Wayahudi(PM Netanyahu) ili Obama wampige chini ila Obama akasema atatetea haki za Mashoga, na akashinda. Jamaa ni wengi sana na wanazidi kuwa wengi.
Duniani idadi ya watu imekuwa kubwa sana, lazima tupungue tutake tusitake. Wachina wanatuuwa na product zao hatari, wenyewe tunauwana na product hatari, Fukushima na Charnobil nazo zinatukaanga, AIDS, Malaria, nk. Vita kwa sasa zimepungua na idadi ya Binadamu imeongezeka na dawa pekee ni USHOGA. Watu mngelijua hali imefikia wapi, basi tungelikaa tu nyumbani na kusali. Kupigana na hii kitu ni kwamba tumeshachelewa. USHOGA unatawala tayari dunia tupende tusipende.
Mtu unaweza kuja na kila aina ya matusi, ila wenzio watakuja na DOLA zao na jinsi tulivyo wepesi kuuza utu wetu, mbona tutajiuza sana. Hata hapa Tanzania, tayari kuna vijana wadogo wenye hela chafu sana na utawafahamu mara nyingi kuwa ni Watanashati sana na hawana wake. Wengine wana wake wa kugeresha ila ni Mashoga. Huko Uganda kwenyewe, Museven kuna siku atalia atakapogundua kuna Mwanae/Wanae ni Mashoga. Mugabe pia ajiandae labda afe mapema. Hii kitu ni sawa na miaka ileee huko USA, mtu Mweusi kuowa au kuolewa na Mweupe ilikuwa HAIWEZEKANI na hata ukifanya hivyo basi adhabu ni kifo au kifungo. Leo hii kuna mtu anajali tena? Tutabana ila kuna siku tutaachia.
Kuna siku nikiwa nchi za watu, tulikuwa kwenye Studio ya picha wanaume tisa na wanawake watatu. Katika hao wanaume, mie na kijana mwingine pekee ndiyo hatukuwa Mashoga, hawa wengine saba walikuwa Mashoga. Hapo ilibidi niseme kwa mara ya kwanza kuwa mie na jamaa ndiyo Wanaume tusio wa kawaida kwani 7-2 kwa kweli jamaa walikuwa wametuzidi sana kwa idadi.
Leo hii kwenye miji Mikuu mingi na miji mikubwa mingi nchi za WEST, Mashoga ndiyo wanatawala kifedha. Makampuni ya nguo, vipodozi, urembo, burudani, restaurants, Bar, Pub nk, walioshika usukani ni MASHOGA. Nina imani hata ukienda CNN, BBC nk, mashoga ndiyo wamejazana huko. Hebu angalia hata Show za Michael Jackson, wale waimbaji karibu wote ni Mashoga. Madonna pia ni Mishoga mitupu nk. Wengi wa hao vijana, Mabwana zao ndiyo hao Mawaziri, Wabunge, Mahakimu nk ambao Marais wetu huenda kuwapigia magoti wapewe misaada.
Ni ukweli Mchungu ila ndiyo ukweli wenyewe. Obama mtamtukana sana ila tatizo limelala sehemu nyingine na Obama ni Msemaji tu wa tatizo. Mjumbe hauwawi na kama kweli tunataka ku-solve hili tatizo, basi dunia nzima isimame na kuanza kujadili tatizo, jambo ambalo haliwezekani. Wenzetu Mashoga wameungana na wanashirikiana sana duniani, sisi je tunaopinga, tumefanya nini? Kumtukana Obama na kuanza kucheka? Wenzetu wako kimya wanafanya kazi kueneza Ushoga na sisi tunachekelea maneno ya Mugabe na Museven ambayo hata hivyo unaweza kukuta hao hao wapinzani ndiyo Mashoga wenyewe.
Ndiyo maana hata Elton John pamoja na kuwa ni SHOGA, bado Malkia Elizabeth kamtunukia heshima ya SIR. Ila watu hilo hawalioni wanamuona Obama. Huyu Waziri William Hague ni Shoga kabisa.
Kwani Haya mambo ya ushoga ameanzisha Obama? Mambo ya ushoga marekani yalianza Hata kabla ya Obama dada yangu unachokiona sasa hv ni mwendelezo wa uchafu wa wamarekani tuu Hamna kigine!!