Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,754
- Thread starter
- #61
Mkuu mimi nimeacha kukuchukulia poa kabisa tangu Jumapili,iwe kwenye mada za soka au siasa.Na ule ushauri wako kwa Simba ulifaa sana na inabidi waendelee kukuconsult ili wasonge mbele zaidi.
Ila naomba muongeze na kitengo cha kuwashughulikia (kwa kipigo au namna yoyote) mashabiki wa Yanga wanaojitolea kuihujumu Simba SC kwenye michuano ya kimataifa,kama mlivyowafanya Jumamosi.Yaani hawakuridhika kuishangilia Nkana hadi wakaamua kuisaidia "kiufundi" utafikiri nao wanatoka Zambia?