Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
- Thread starter
- #61
Wewe ndio unajielewa! Kichwa kimejaa kamasihujielewi wewe
Wewe ndio unajielewa! Kichwa kimejaa kamasihujielewi wewe
Mbona hata wewe mshirikina tuHellow wana bodi,
Mimi ni mpangaji wa nyumba, tupo familia tofauti tofauti 5. Katika nyumba hii tunayoishi mimi na wapangaji wenzangu hatukai na mwenye nyumba yeye anakaa mbali kabisa na sisi.
Kwa bahati mbaya/nzur alinichaguwa kama mwangaliz wa nyumba yake. Kwa maana ya kuandikia watu mikataba, kukusanya kodi, kumhamisha yeyote asiye endana na utaratibu tuliojiwekea.
Sasa kuna familia moja ina amini mambo ya kishirikiana sana, huwa inaleta waganga sana hapa nyumbani. Nadhan mnajua mambo ya kiganga yanavyokuwa, ni kuchoma choma miubani hovyo n.k
Sasa nilikuwa nawachunia maana hapa ni mjin na kila mmoja anapambana na hali yake. Kwahyo sina sababu ya kufuatilia fuatilia mambo ya watu sana, japo inaleta kero sana kwa wapangaji wengine.
Leo nikiwa nje ya nyumbani safarini. Alinipigia mwenye nyumba(landlord) akiniuliza upo wapi? Uko nyumbani? Nilimjibu sipo home akaniambia poa.
Akafunga safari akaja kwenye nyumba yake akakuta yule mpangaji anachoma ubani kama anachoma shamba la bangi vile, waganga wananena kwa lugha ambazo hata hazieleweki. Alipofika kwa mujibu wa nilivyoelezwa waganga walisitisha zoezi na mwenye nyumba kugomba sana na kuondoka baadaye akaniambia waandikie notis hao watu waondoke.
Ushauri wadau!
Ukiwa na maana gani?Mbona hata wewe mshirikina tu
Hivi notes au notice manake me mwenyewe mgeniWee fuata amri ya mwenye nyumba
Ukishndwa waweza andikiwa notes ata wewe
Hao anaowaita washirikina wanamgasi nini kama na yy sio mshirikina?!!!Ukiwa na maana gani?
I mean wewe kama sio mshirikina pia usingetuletea hoja hiiHao anaowaita washirikina wanamgasi nini kama na yy sio mshirikina?!!!
Hahaaa dah umenichekesha sanaWee fuata amri ya mwenye nyumba
Ukishndwa waweza andikiwa notes ata wewe
kwani shule ni dhambi ?Kojoa ukalale kesho shule