Hahaha! headline yake nikajua Yale mastory sijui umelipa kodi ya miezi 6 ile unahamia ndani Mara utandikwe makofi alimradi ususe uondoke aje mwingone nae asuse...Au kuandika notisi hujui pia?
Unaigopa[bold]nini?Waandikie sasa unaogopa nini maandishi hayarogwi na wewe huwezi kurogwa
Wee fuata amri ya mwenye nyumba
Ukishndwa waweza andikiwa notes ata wewe
Waandikie notice waondoke kama huwezi hama wewe wao waache waje wapambane na Mwenye Nyumba.
Au kuandika notisi hujui pia?
hahahahaa unaogopaHellow wana bodi,
Mimi ni mpangaji wa nyumba, tupo familia tofauti tofauti 5. Katika nyumba hii tunayoishi mimi na wapangaji wenzangu hatukai na mwenye nyumba yeye anakaa mbali kabisa na sisi.
Kwa bahati mbaya/nzur alinichaguwa kama mwangaliz wa nyumba yake. Kwa maana ya kuandikia watu mikataba, kukusanya kodi, kumhamisha yeyote asiye endana na utaratibu tuliojiwekea.
Sasa kuna familia moja ina amini mambo ya kishirikiana sana, huwa inaleta waganga sana hapa nyumbani. Nadhan mnajua mambo ya kiganga yanavyokuwa, ni kuchoma choma miubani hovyo n.k
Sasa nilikuwa nawachunia maana hapa ni mjin na kila mmoja anapambana na hali yake. Kwahyo sina sababu ya kufuatilia fuatilia mambo ya watu sana, japo inaleta kero sana kwa wapangaji wengine.
Leo nikiwa nje ya nyumbani safarini. Alinipigia mwenye nyumba(landlord) akiniuliza upo wapi? Uko nyumbani? Nilimjibu sipo home akaniambia poa.
Akafunga safari akaja kwenye nyumba yake akakuta yule mpangaji anachoma ubani kama anachoma shamba la bangi vile, waganga wananena kwa lugha ambazo hata hazieleweki. Alipofika kwa mujibu wa nilivyoelezwa waganga walisitisha zoezi na mwenye nyumba kugomba sana na kuondoka baadaye akaniambia waandikie notis hao watu waondoke.
Ushauri wadau!
Si umeona ugumu wa kazi aliyokupa mwenye nyumba?Mwambie hiyo kazi huiwezi,asimamie nyumba yake mwenyewe au achague mtu mwingine.Ulidhani dili,pole.Hellow wana bodi,
Mimi ni mpangaji wa nyumba, tupo familia tofauti tofauti 5. Katika nyumba hii tunayoishi mimi na wapangaji wenzangu hatukai na mwenye nyumba yeye anakaa mbali kabisa na sisi.
Kwa bahati mbaya/nzur alinichaguwa kama mwangaliz wa nyumba yake. Kwa maana ya kuandikia watu mikataba, kukusanya kodi, kumhamisha yeyote asiye endana na utaratibu tuliojiwekea.
Sasa kuna familia moja ina amini mambo ya kishirikiana sana, huwa inaleta waganga sana hapa nyumbani. Nadhan mnajua mambo ya kiganga yanavyokuwa, ni kuchoma choma miubani hovyo n.k
Sasa nilikuwa nawachunia maana hapa ni mjin na kila mmoja anapambana na hali yake. Kwahyo sina sababu ya kufuatilia fuatilia mambo ya watu sana, japo inaleta kero sana kwa wapangaji wengine.
Leo nikiwa nje ya nyumbani safarini. Alinipigia mwenye nyumba(landlord) akiniuliza upo wapi? Uko nyumbani? Nilimjibu sipo home akaniambia poa.
Akafunga safari akaja kwenye nyumba yake akakuta yule mpangaji anachoma ubani kama anachoma shamba la bangi vile, waganga wananena kwa lugha ambazo hata hazieleweki. Alipofika kwa mujibu wa nilivyoelezwa waganga walisitisha zoezi na mwenye nyumba kugomba sana na kuondoka baadaye akaniambia waandikie notis hao watu waondoke.
Ushauri wadau!
Uhusiano wa mwenye nyumba na mkeo upoje?