Ushirikina huku Iringa Ilula Malendi ni balaa mno

Emmanuel180

JF-Expert Member
Dec 17, 2019
342
626
Juzi nilikua nasafiri kuelekea iringa sehemu moja wilaya ya kilolo mji mdogo wa ilula sehemu moja inaitwa malendi

Ngoja nikurudiahe nyuma kidogo uchawi wa wahehe ni level ya SGR kuna mtu mmoja anaitwa kiyeyeu kila mtu ana jua historia yake, jamaa aliwahi kusimamisha umeme uliopita juu ya kaburi lake acha hio Tanroads walishindwa kabisa kuvunja kaburi lake lililokua ndani ya eneo la barabara walipolazimisha wali ng'atwa na nyuki mpaka dereva wa bulldozer akafa

Achana na hiii story kwenye mizunguko yangu nikakuta huku malendi mahali ambako previous kabla ya mwendazake hajaenda kulikua kijijini ambako hakuna maji wala umeme lakini miaka mi 5 tu ya mwenda zake umebadilisha kabisa mazingira ya sehemu hii ya malendi ilula kuna maji umeme wa uhakika

Sasa kilichonishangaza kuna bomba za kijiji mwanzo zilikua zinatoa maji zoote vizuri kabisa lakini kuna bomba moja ambayo ki Jiografia iko mahali ambapo ni pazuri zaidi mliman kwenye mteremko haitoi maji lakini zile zingine zoote za karibu zinatoa mapaka za mbali huko
Nilipouliza wakanambia kuna mtu alioga maji yale

Nikastaaajabu nikauliza tena kwaio kama alioga maji hapa na kukatika yasitoke kuna uhusiano gani hapaa, wakanijibu huyo mtu ni mama ni mwanga pale kulikua na ugomvi mmoja alikua akikinga maji ndoo nyingi sasa mmoja huyo akakasirika wakaona kama vile wale wa karibu wanafaidi maji wakaoga yakakatika walioga uchi sasa watu wa idara ya maji walikuja kuchunguza wakasema pale hakuna tatizo lolote mpira haujaziba wala nini lakini kunaonekana kuna mambo hawayaelewi
 
Kuna story moja JPM aliwahi kusimulia enzi wakijenga daraja sikumbuki ni wapi walikumbana na nguvu hizi hizi mpaka ikabidi wazee wakafanye utaratibu... Daraja la Mkapa sijui.. sina uhakika,Anayekumbuka atujuze tafadhali
 
Kuna story moja JPM aliwahi kusimulia enzi wakijenga daraja sikumbuki ni wapi walikumbana na nguvu hizi hizi mpaka ikabidi wazee wakafanye utaratibu... Daraja la Mkapa sijui.. sina uhakika,Anayekumbuka atujuze tafadhali
Ni sumbawanga mkuu na vile vile kulikuwa na mchakato wa ujenzi wa daraja jingine na mkandarasi alianza kukutana na vihoja so mzee magu akamkumbusha aweze kuwaona wazee fulani fulan ndio akatukumbusha na iyo story😆
 
Do
Juzi nilikua nasafiri kuelekea iringa sehemu moja wilaya ya kilolo mji mdogo wa ilula sehemu moja inaitwa malendi

Ngoja nikurudiahe nyuma kidogo uchawi wa wahehe ni level ya SGR kuna mtu mmoja anaitwa kiyeyeu kila mtu ana jua historia yake, jamaa aliwahi kusimamisha umeme uliopita juu ya kaburi lake acha hio Tanroads walishindwa kabisa kuvunja kaburi lake lililokua ndani ya eneo la barabara walipolazimisha wali ng'atwa na nyuki mpaka dereva wa bulldozer akafa

Achana na hiii story kwenye mizunguko yangu nikakuta huku malendi mahali ambako previous kabla ya mwendazake hajaenda kulikua kijijini ambako hakuna maji wala umeme lakini miaka mi 5 tu ya mwenda zake umebadilisha kabisa mazingira ya sehemu hii ya malendi ilula kuna maji umeme wa uhakika

Sasa kilichonishangaza kuna bomba za kijiji mwanzo zilikua zinatoa maji zoote vizuri kabisa lakini kuna bomba moja ambayo ki Jiografia iko mahali ambapo ni pazuri zaidi mliman kwenye mteremko haitoi maji lakini zile zingine zoote za karibu zinatoa mapaka za mbali huko
Nilipouliza wakanambia kuna mtu alioga maji yale

Nikastaaajabu nikauliza tena kwaio kama alioga maji hapa na kukatika yasitoke kuna uhusiano gani hapaa, wakanijibu huyo mtu ni mama ni mwanga pale kulikua na ugomvi mmoja alikua akikinga maji ndoo nyingi sasa mmoja huyo akakasirika wakaona kama vile wale wa karibu wanafaidi maji wakaoga yakakatika walioga uchi sasa watu wa idara ya maji walikuja kuchunguza wakasema pale hakuna tatizo lolote mpira haujaziba wala nini lakini kunaonekana kuna mambo hawayaelewi
Don't waste our time
 
Juzi nilikua nasafiri kuelekea iringa sehemu moja wilaya ya kilolo mji mdogo wa ilula sehemu moja inaitwa malendi

Ngoja nikurudiahe nyuma kidogo uchawi wa wahehe ni level ya SGR kuna mtu mmoja anaitwa kiyeyeu kila mtu ana jua historia yake, jamaa aliwahi kusimamisha umeme uliopita juu ya kaburi lake acha hio Tanroads walishindwa kabisa kuvunja kaburi lake lililokua ndani ya eneo la barabara walipolazimisha wali ng'atwa na nyuki mpaka dereva wa bulldozer akafa

Achana na hiii story kwenye mizunguko yangu nikakuta huku malendi mahali ambako previous kabla ya mwendazake hajaenda kulikua kijijini ambako hakuna maji wala umeme lakini miaka mi 5 tu ya mwenda zake umebadilisha kabisa mazingira ya sehemu hii ya malendi ilula kuna maji umeme wa uhakika

Sasa kilichonishangaza kuna bomba za kijiji mwanzo zilikua zinatoa maji zoote vizuri kabisa lakini kuna bomba moja ambayo ki Jiografia iko mahali ambapo ni pazuri zaidi mliman kwenye mteremko haitoi maji lakini zile zingine zoote za karibu zinatoa mapaka za mbali huko
Nilipouliza wakanambia kuna mtu alioga maji yale

Nikastaaajabu nikauliza tena kwaio kama alioga maji hapa na kukatika yasitoke kuna uhusiano gani hapaa, wakanijibu huyo mtu ni mama ni mwanga pale kulikua na ugomvi mmoja alikua akikinga maji ndoo nyingi sasa mmoja huyo akakasirika wakaona kama vile wale wa karibu wanafaidi maji wakaoga yakakatika walioga uchi sasa watu wa idara ya maji walikuja kuchunguza wakasema pale hakuna tatizo lolote mpira haujaziba wala nini lakini kunaonekana kuna mambo hawayaelewi
Ndio shida ya ujinga na umasikini

ngumu sana kuendeleA kama nchi tukiwa na vijitu vyenye wivu na chuki kama
Hako kachawi
 
Nitaamini iwapo nitaona picha ya dereva wa tingatinga aking'atwa na nyuki mpaka roho inatwaliwa na ziraili
 
Back
Top Bottom