Ushirikiano Zitto na Lissu: Mapya yaibuka

Ndata

JF-Expert Member
Mar 2, 2017
226
321
Yericko Nyerere alama ya imani ndani ya CHADEMA

Kama ukitaka kuongelea imani ya vyama, kuheshimu na kupigania vyama basi kwa Tanzania jina Yericko Nyerere lazima liwe la kwanza.

Sifahamu nafasi yake ndani ya CHADEMA ila nadiriki kusema ni nembo imara ndani ya Chama. Ni mlinzi mtiifu wa misingi, imani na viongozi wa chama kuliko vijana wengine wengi tuu.

Yericko hataki kupepesa macho juu ya uhuni wa Zitto, Yericko anafahamu ujanja ujanja wa Zitto na anafahamu malengo ya Zitto ni kuhakikisha Chadema inapasuka vipande vipande.

Yericko anafahamu fika chuki ya Zitto kwa Chadema bado ni kubwa na bado inaishi.

Rejea miezi kadhaa nyuma Yericko alipouamsha Umma kwa taarifa za Afisa habari wa ACT kuwa muhariri mkuu wa Jamvi la habari gazeti linalofadhiliwa na dola kupambana na Chadema.

Ni chini ya Uhariri wa Abdallah Hamis Mbowe alionekana kaiongopea mahakama na kuishia kukaa gerezani kwa miezi kadhaa.

Leo Yericko anakuja na madai muhimu sana, vijana wa Zitto wanaanza kumuandikia propaganda uchwara.

Zitto anataka kutumia ugonjwa na masaibu yaliyopata Lissu kusababisha mpasuko ndani ya Chadema. Hili Jasusi Yericko kaliona.

Rejea Makala za Speaker ya Zitto Ado Shaibu week hizi mbili. Amejikita kuongelea zaidi Zitto na Lissu na sio ACT na Chadema. Hapa unaona kabisa target yao ni Lissu na sio ushirikiano wa vyama.

Zitto kavuka mipaka na kuutaarifu umma wapinzani wa kweli Tanzania ni wawili tuu na mmoja wao ni Lissu, Maana yake Mbowe, Lema, Mnyika, Mdee na wengine wengi waliopigana na kupambana kwa muda sasa wasiaminiwe kabisa na wananchi maana ni wana Ccm walojivika ngozi ya upinzani.

Kwanni tusikubaliane na Yericko kwamba Zitto yupo kwa ajili ya mission maalum na zaidi ni kuifuta kabisa Chadema.

Cwu Tanzania
 
YERICKO NYERERE ALAMA YA IMANI NDANI YA CHADEMA.

Kama ukitaka kuongelea imani ya vyama, kuheshimu na kupigania vyama basi kwa Tanzania jina Yericko Nyerere lazima liwe la kwanza.

Sifahamu nafasi yake ndani ya CHADEMA ila nadiriki kusema ni nembo imara ndani ya Chama. Ni mlinzi mtiifu wa misingi, imani na viongozi wa chama kuliko vijana wengine wengi tuu.

Yericko hataki kupepesa macho juu ya uhuni wa Zitto, Yericko anafahamu ujanja ujanja wa Zitto na anafahamu malengo ya Zitto ni kuhakikisha Chadema inapasuka vipande vipande.

Yericko anafahamu fika chuki ya Zitto kwa Chadema bado ni kubwa na bado inaishi.

Rejea miezi kadhaa nyuma Yericko alipouamsha Umma kwa taarifa za Afisa habari wa ACT kuwa muhariri mkuu wa Jamvi la habari gazeti linalofadhiliwa na dola kupambana na Chadema.

Ni chini ya Uhariri wa Abdallah Hamis Mbowe alionekana kaiongopea mahakama na kuishia kukaa gerezani kwa miezi kadhaa.

Leo Yericko anakuja na madai muhimu sana, vijana wa Zitto wanaanza kumuandikia propaganda uchwara.

Zitto anataka kutumia ugonjwa na masaibu yaliyopata Lissu kusababisha mpasuko ndani ya Chadema. Hili Jasusi Yericko kaliona.

Rejea Makala za Speaker ya Zitto Ado Shaibu week hizi mbili. Amejikita kuongelea zaidi Zitto na Lissu na sio ACT na Chadema. Hapa unaona kabisa target yao ni Lissu na sio ushirikiano wa vyama.

Zitto kavuka mipaka na kuutaarifu umma wapinzani wa kweli Tanzania ni wawili tuu na mmoja wao ni Lissu, Maana yake Mbowe, Lema, Mnyika, Mdee na wengine wengi waliopigana na kupambana kwa muda sasa wasiaminiwe kabisa na wananchi maana ni wana Ccm walojivika ngozi ya upinzani.

Kwanni tusikubaliane na Yericko kwamba Zitto yupo kwa ajili ya mission maalum na zaidi ni kuifuta kabisa Chadema.

Cwu Tanzania
Una ID nyingi sana?
 
YERICKO NYERERE ALAMA YA IMANI NDANI YA CHADEMA.

Kama ukitaka kuongelea imani ya vyama, kuheshimu na kupigania vyama basi kwa Tanzania jina Yericko Nyerere lazima liwe la kwanza.

Sifahamu nafasi yake ndani ya CHADEMA ila nadiriki kusema ni nembo imara ndani ya Chama. Ni mlinzi mtiifu wa misingi, imani na viongozi wa chama kuliko vijana wengine wengi tuu.

Yericko hataki kupepesa macho juu ya uhuni wa Zitto, Yericko anafahamu ujanja ujanja wa Zitto na anafahamu malengo ya Zitto ni kuhakikisha Chadema inapasuka vipande vipande.

Yericko anafahamu fika chuki ya Zitto kwa Chadema bado ni kubwa na bado inaishi.

Rejea miezi kadhaa nyuma Yericko alipouamsha Umma kwa taarifa za Afisa habari wa ACT kuwa muhariri mkuu wa Jamvi la habari gazeti linalofadhiliwa na dola kupambana na Chadema.

Ni chini ya Uhariri wa Abdallah Hamis Mbowe alionekana kaiongopea mahakama na kuishia kukaa gerezani kwa miezi kadhaa.

Leo Yericko anakuja na madai muhimu sana, vijana wa Zitto wanaanza kumuandikia propaganda uchwara.

Zitto anataka kutumia ugonjwa na masaibu yaliyopata Lissu kusababisha mpasuko ndani ya Chadema. Hili Jasusi Yericko kaliona.

Rejea Makala za Speaker ya Zitto Ado Shaibu week hizi mbili. Amejikita kuongelea zaidi Zitto na Lissu na sio ACT na Chadema. Hapa unaona kabisa target yao ni Lissu na sio ushirikiano wa vyama.

Zitto kavuka mipaka na kuutaarifu umma wapinzani wa kweli Tanzania ni wawili tuu na mmoja wao ni Lissu, Maana yake Mbowe, Lema, Mnyika, Mdee na wengine wengi waliopigana na kupambana kwa muda sasa wasiaminiwe kabisa na wananchi maana ni wana Ccm walojivika ngozi ya upinzani.

Kwanni tusikubaliane na Yericko kwamba Zitto yupo kwa ajili ya mission maalum na zaidi ni kuifuta kabisa Chadema.

Cwu Tanzania
Yericko vs Nondo.........ngoma inogile Kick time!
 
Inaonekana chadema wanaumia sana kwa hizi tetesi za Lisu kuhamia ACT!

Na bado mtakimbiwa sana! We chama gani kila mtu ni kambale?
 
Yeriko ana point....mimi siyo shabiki wa siasa za bongo ila nmemuelewa. wanaompinga na kuweka league ya kijinga na Nondo wana uwelewa mdogo...kwa kifupi mawazo ya Yeriko yapo logical kwahiyo yaheshimiwe...
 
Boss Ndata Upinzani kuchukua NCHI, bado sana.
Badala ya Upinzani wote kuungana na kuwa kitu kimoja, wao kila Mtu na Chama ni Ubinafsi.
Tamaa za FISI hizi aka Hizo ....



Yericko Nyerere alama ya imani ndani ya CHADEMA

Kama ukitaka kuongelea imani ya vyama, kuheshimu na kupigania vyama basi kwa Tanzania jina Yericko Nyerere lazima liwe la kwanza.

Sifahamu nafasi yake ndani ya CHADEMA ila nadiriki kusema ni nembo imara ndani ya Chama. Ni mlinzi mtiifu wa misingi, imani na viongozi wa chama kuliko vijana wengine wengi tuu.

Yericko hataki kupepesa macho juu ya uhuni wa Zitto, Yericko anafahamu ujanja ujanja wa Zitto na anafahamu malengo ya Zitto ni kuhakikisha Chadema inapasuka vipande vipande.

Yericko anafahamu fika chuki ya Zitto kwa Chadema bado ni kubwa na bado inaishi.

Rejea miezi kadhaa nyuma Yericko alipouamsha Umma kwa taarifa za Afisa habari wa ACT kuwa muhariri mkuu wa Jamvi la habari gazeti linalofadhiliwa na dola kupambana na Chadema.

Ni chini ya Uhariri wa Abdallah Hamis Mbowe alionekana kaiongopea mahakama na kuishia kukaa gerezani kwa miezi kadhaa.

Leo Yericko anakuja na madai muhimu sana, vijana wa Zitto wanaanza kumuandikia propaganda uchwara.

Zitto anataka kutumia ugonjwa na masaibu yaliyopata Lissu kusababisha mpasuko ndani ya Chadema. Hili Jasusi Yericko kaliona.

Rejea Makala za Speaker ya Zitto Ado Shaibu week hizi mbili. Amejikita kuongelea zaidi Zitto na Lissu na sio ACT na Chadema. Hapa unaona kabisa target yao ni Lissu na sio ushirikiano wa vyama.

Zitto kavuka mipaka na kuutaarifu umma wapinzani wa kweli Tanzania ni wawili tuu na mmoja wao ni Lissu, Maana yake Mbowe, Lema, Mnyika, Mdee na wengine wengi waliopigana na kupambana kwa muda sasa wasiaminiwe kabisa na wananchi maana ni wana Ccm walojivika ngozi ya upinzani.

Kwanni tusikubaliane na Yericko kwamba Zitto yupo kwa ajili ya mission maalum na zaidi ni kuifuta kabisa Chadema.

Cwu Tanzania
 
Chedema kua makini sana na Zitto na ACT sio chama cha kuaminika kuelekea uchaguzi, 2015 tuliona wakuu wamikoa na manaibu waziri wakitoa ACT baada ya uchaguzi.
 
Boss Ndata Upinzani kuchukua NCHI, bado sana.
Badala ya Upinzani wote kuungana na kuwa kitu kimoja, wao kila Mtu na Chama ni Ubinafsi.
Tamaa za FISI hizi aka Hizo ....

Wapinzani wote waungane, kwani wana mitazamo sawa? Huwa sielewi hii dhana ya vyama vya upinzani kuungana. Sio vibaya lakini sio suluhisho la kuitoa ccm.
 
Yericko Nyerere alama ya imani ndani ya CHADEMA

Kama ukitaka kuongelea imani ya vyama, kuheshimu na kupigania vyama basi kwa Tanzania jina Yericko Nyerere lazima liwe la kwanza.

Sifahamu nafasi yake ndani ya CHADEMA ila nadiriki kusema ni nembo imara ndani ya Chama. Ni mlinzi mtiifu wa misingi, imani na viongozi wa chama kuliko vijana wengine wengi tuu.

Yericko hataki kupepesa macho juu ya uhuni wa Zitto, Yericko anafahamu ujanja ujanja wa Zitto na anafahamu malengo ya Zitto ni kuhakikisha Chadema inapasuka vipande vipande.

Yericko anafahamu fika chuki ya Zitto kwa Chadema bado ni kubwa na bado inaishi.

Rejea miezi kadhaa nyuma Yericko alipouamsha Umma kwa taarifa za Afisa habari wa ACT kuwa muhariri mkuu wa Jamvi la habari gazeti linalofadhiliwa na dola kupambana na Chadema.

Ni chini ya Uhariri wa Abdallah Hamis Mbowe alionekana kaiongopea mahakama na kuishia kukaa gerezani kwa miezi kadhaa.

Leo Yericko anakuja na madai muhimu sana, vijana wa Zitto wanaanza kumuandikia propaganda uchwara.

Zitto anataka kutumia ugonjwa na masaibu yaliyopata Lissu kusababisha mpasuko ndani ya Chadema. Hili Jasusi Yericko kaliona.

Rejea Makala za Speaker ya Zitto Ado Shaibu week hizi mbili. Amejikita kuongelea zaidi Zitto na Lissu na sio ACT na Chadema. Hapa unaona kabisa target yao ni Lissu na sio ushirikiano wa vyama.

Zitto kavuka mipaka na kuutaarifu umma wapinzani wa kweli Tanzania ni wawili tuu na mmoja wao ni Lissu, Maana yake Mbowe, Lema, Mnyika, Mdee na wengine wengi waliopigana na kupambana kwa muda sasa wasiaminiwe kabisa na wananchi maana ni wana Ccm walojivika ngozi ya upinzani.

Kwanni tusikubaliane na Yericko kwamba Zitto yupo kwa ajili ya mission maalum na zaidi ni kuifuta kabisa Chadema.

Cwu Tanzania
Sasa apo tatizo la zito ni nn. Zito yeye anafanya siasa. Kama kusema hivo kutasaidia chadema ife na ACT kuwa chama kikuu cha upinzan, si ndo zito atakuwa amefanikiwa malengo yake. Kwa nn useme zito anakosea. Kama nyie hamuwez siasa shauri zenu. Hizo anazofanya Zito ndo siasa zenyewe.

Ukiwa unagombea nafasi ya ubunge na kuna mgombea mwingine kutoka chama chako kwenye jimbo hilo hilo si lazima useme na uonyeshe kuwa ww ni bora kuliko yeye ili ushinde hata kama mnatoka chama kimoja sembuse vyama tofaut.

Ukiona kama unaweza kutengeneza muungano mzuri na mtu kutoka chama pinzan na mkatengeneza uaminifu kwa wananchi utakaofanya wawaamin na kuwapa kura kwann usimshawish huyo mtu kutoka upinzani ili aungane na ww.

Hizo ndo siasa na ndizo anazofanya zito na ndizo wanazofanya CCM miaka yote na ndizo vyama kutoka nchi mbali mbali dunian na hasa ulaya wanafanya sana.

Chadema wanapaswa kuacha kulalamika na badala yake wafanye siasa. Sio kulia lia kila siku.
 
ANAEKUMBUKA WAKATI WA MZOZO KATI YA CUF NA CHADEMA HADI KUPEANA KASHFA ZA KUSUPPORT USHOGA ANIKUMBUSHE.NA JE NIULIZE PALE NANI ALIKUWA SAWA NA NANI ALIKUWA MKOSEFU KWA MWENZIE.
 
Boss tindo Inaonekana Upeo wako Ni Mdogo wa kuelewa Mambo kwa Haraka au Kiundani zaidi.
Maana ya Wapinzani kuungana Ina maana, Kila Jimbo kuwe na Upinzani Vs CCM, na Sio Vyama vya Upinzani 10 Vs CCM. Sheria za Uchaguzi unataka Mshindi apate Nusu ya Kura. Sasa hapo Mkuu hauoni Wapinzani watagawana Kura Vs CCM???
Umoja Ni Nguvu.


Wapinzani wote waungane, kwani wana mitazamo sawa? Huwa sielewi hii dhana ya vyama vya upinzani kuungana. Sio vibaya lakini sio suluhisho la kuitoa ccm.
 
Boss tindo Inaonekana Upeo wako Ni Mdogo wa kuelewa Mambo kwa Haraka au Kiundani zaidi.
Maana ya Wapinzani kuungana Ina maana, Kila Jimbo kuwe na Upinzani Vs CCM, na Sio Vyama vya Upinzani 10 Vs CCM. Sheria za Uchaguzi unataka Mshindi apate Nusu ya Kura. Sasa hapo Mkuu hauoni Wapinzani watagawana Kura Vs CCM???
Umoja Ni Nguvu.

Mkuu unanikejeli nina upeo mdogo kisha unaishia kupotosha! Ni uchaguzi upi unataka mshindi awe na kura zaidi ya nusu? Ninachojua mimi mgombea anayetangazwa ni mwenye kura nyingi hata akizidi kwa kura moja. Kwa kuwa umekuja na kejeli, rekebisha hilo kisha urejee hapa kwa mjadala.
 
Siasa za upinzani wakati mwingine Ni bangua kichwa, yaani jambo Dogo sana linaibua mgogoro. Kisa lissu Na zitto wako karibu dah.sisi yetu macho kuwa mshabiki wa haya makundi yaitwayo mavyama Ni shida...
 
CHADEMA nao kama walivyo vyama vyengine, anapitia wakati uleule mgumu wa kupambana na vinyago walivyochonga wenyewe, kwa maana rahisi Zitto ni kimvuli cha CHADEMA hakiwezi kukimbilika.

Na ubaya wa bwana Zitto, he is making a very silent motion the moment you count, the moment it is lost. Kwa mujibu wa maelezo ya Yericko kuna bonge la muvi hapo mbele linakuja, litapaganya CHADEMA yote.
 
Chadema wameiuwa CUF na NCR.
ANAEKUMBUKA WAKATI WA MZOZO KATI YA CUF NA CHADEMA HADI KUPEANA KASHFA ZA KUSUPPORT USHOGA ANIKUMBUSHE.NA JE NIULIZE PALE NANI ALIKUWA SAWA NA NANI ALIKUWA MKOSEFU KWA MWENZIE.
 
CHADEMA nao kama walivyo vyama vyengine, anapitia wakati uleule mgumu wa kupambana na vinyago walivyochonga wenyewe, kwa maana rahisi Zitto ni kimvuli cha CHADEMA hakiwezi kukimbilika.

Na ubaya wa bwana Zitto, he is making a very silent motion the moment you count, the moment it is lost. Kwa mujibu wa maelezo ya Yericko kuna bonge la muvi hapo mbele linakuja, litapaganya CHADEMA yote.
Chadema imejimaliza yenyewe! Mifumo yao ya ndani haitoi nafasi kwa wengine kuweza kuongoza Chama au kuhoji mapato na matumizi ya Chama.
 
Back
Top Bottom