Ushirikiano wa CHADEMA NA CHRISTIAN DEMOCRATIC UNION(CDU)unatia mashaka!!!

Ama hakika wailamu hawana haki nchi hii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ahahaha! Naona mzimu wa Ritz unazidi kukutafuna mpaka unaweseseka hovyo, Ritz ni Hostile kwa Pro-CDM-JF, ID yangu inatosha kupambana na Pro-CDM-JF, wote.LATIFA, the remedy of fire is fire!

Labeled : JF Hate Preacher
 
Kwanini tunapenda hizi tabia za kuweka uongo, maana wengine tulio mbali tunaanza kujiuliza ni mangapi tunayoyasoma kuhusu lawama za udini ni kweli kulikuwa na misingi ya udini kwenye maamuzi.

Hizi tabia kwa kweli inabidi tujirekebishe mi nilijuwa chuki zipo mitaani tu watu wakishindwa ndio uanza uongo, na sikutegemea kabisa kuwa ni hulka ya kitaifa uongo na chuki sasa naanza kuona ni jinsi gani ignorance ilivyobado matatizo (nilijua ni tatizo la sakapoko niwajuao mimi tu kwakweli).

Surely a politician has to have confidence and ability to argue, nchi maskini yenye matatizo kibao ina hoja nyingi za msingi zinazoweza ibuliwa, iweje mtu akose point mpaka akimbilie hizi demagogue type of politics au ndio wanasiasa wetu mambumbu maana that is the only justification on why some people would jump into those lines of arguing without considering the social consequences.

Na wewe mleta mada amna chama kisicho na misingi ya dini ya kikristo ulaya, lazima uelewe kabla ya 'siasa', kanisa ndio lililokuwa lina control politics zao. Kwa hiyo baada ya kuvuliwa nguvu za kanisa katika siasa baadhi ya vyama if not all decided to adopt some of the church doctorines mainly in their 'social aspects matters' such as family values, morals etc etc etc, amini usiamini the UK conservative and the US Republicans are more close to church's principle than the germany CDU.

Tofauti ni majina tu lakini the doctrine is the same na mainly when it comes moral issues at large. Hizi ni 'liberal democracies' or so they claim. Maana yake ni kwamba hizi nchi zinapromote circular societies; uamini jaribu kupiga bomu mskiti kwao halafu uone watakufanya nini au wewe jaribu kuweka misingi yako ya chuki wazi halafu uone kama watakukaribisha kwao.

Seriously if we continue na huu upuuzi wa dini ni kaburi letu wenyewe tunajichimbia na sio la mzungu wala la Mkenya.
 
Mchunguzi,

hata kama mtu ana post moja haimaanishi kuwa alichoandika ni ujinga. Kuna watu wana mapost maelfu humu najua ukipitia utakuta pumba hata 90%.

Nikirudi kwenye inshu yenyewe sidhani kama CDM kina mtazamo sana wa kidini , itakuwa ni chama kama Republicans wenye mlengo wa kulia ambao wao wanaamini kwenye misingi ya kidini kiasi na maswala kama abortion, nk kwao mwiko ,kwahiyo sioni tatizo Chadema kuji associate na hao jamaa.
 
IN and OUT ni limbukeni.Nimetembela Ulaya na kufika Austria na Germany.

CDU ni centre right party kama vile Conservative ya UK,cha Sarkozy au Republican USA.
Neno Christinian ni jina tu,ukumbuke few Germans wanaattend church.

Washabiki wa Kiranja mkuu,manakwepa reality,kudiverge mnaingiza dini.
Ila hatutakubali Al-Qaeda na Al Shabab politics

I tell you bora niwe na Mjerumani rafiki kuliko Mwarabu ambaye wewe unamhusudu
Mjerumani ndio alianzisha master plan ya jiji la Dar,alitujengea RELI,angalia mchango wao katika afya na elimu.
 
Unawapotosha watanzania, hakuna mashaka yeyote sisi watanzania jambo linalenga maendeleo na tayari umesha jump in katika maswala ya
dini. katika chama cha cdu kina mchanganyiko wa dini zote na mchanganyiko wa mataifa yote ulimwenguni. na mpaka kuna waziri mwanamke
wa serikali ya jimbo ni muislamu na katika cdu kuna waislam wengi na sio mmoja. neno christian haimainshi kama wanchama wote ni wakristo.
je na mpango wa kikwete kutaka kujiunga na jumuiya ya kiislam ambapo hamna watu wa mchanganyiko wa madheebu mengine. Je? huo
autii mashaka. jambo lenye manufaa kwa watanzania magmba lazima walitie dosari.
 
cdu ni chama cha siasa kinachoongoza nchini ujerumani chenye mlengo wa kustawisha na kuwaunganisha wakristo nchini ujerumani, sheria ya vyama vya siasa inakataza inazuia kuwa na vyama vya kidini nchini kwetu kwa ujerumani sheria imeruhusu, chama cha democrasia na maendeleo kinashutumiwa kwa kuwa na mrengo wa kidini, leo chadema wanashirikiana na cdu hamuoni kwamba cdm imeamua kujivua gamba? Na malengo kamili ya chama hicho yameonekana? Kwa hili naomba msajili wa vyama aliangalie, ipo siku kikatokea chama kikafanya urafiki na muslim brotherhood hamuoni kwamba tutaigawa nchi mapande mapande???????......,
akili yako changanya na yakuambiwa kwani mawazo yako ni hafifu mno
 
Hii ndiyo hasara inayozidi kuongezeka ya uongozi uliochoka na kuanza kupandikiza mitizamo ya kidini katika kila jambo ukitaraia kujiokoa kwayo na gadhabu ya umma kwa kushindwa kuielekeza nchi kwenye maendeleo ya kweli na, badala yake, kuishia kupora utajiri wa nchi kwa kushirikiana na majangili wa kimataifa. Sasa hivi tanahitaji sana viongozi watakaorudisha utengamano (sanity) kwenye jamii yetu inayozidi kuvurugwa na wachovu wasiofikiria mbali zaidi ya wao kuwa madarakani kwa namna yoyote ile. Hawajali kabisa hatari ya kuligawa taifa kwa misingi ya kidini - kama vile wanapo pa kukimbilia moto ukiwaka.
 
Ciao!
when I enrolled myself in this forum just a few days ago in my introductory post i wrote that some of the members/guests of this forum are really great thinkers as the forum's motto suggests - unfortunately - others are NOT THINKERS AT ALL!! thanks Ritz1 and "in and out" for proving me right though this is one of the few cases i would have been glad to be proved wrong, we have to accept that as one of the collateral effects of internet propagation!!!

I'm sure most of you mtakuwa mmekwenda shule, you and I know that in lessons attendance we have the same teachings but at the end of the day each and everyone of us understands the delivered concepts in his own way - walatini wanasema tunazaliwa in the same way lakini kila mmoja ana namna yake ya kufa, Nascimur uno modo, multis morimur, haya ndiyo mambo ya dunia!!!

My take: You're discussing what i may call a non-issue!!!
For THINKERS, pls don't be driven with people who have a limited number of neurons(provided they have some), never argue with the fools- and I dont think if it's wise to participate to every pseudo-debate initiated by the pseudo-thinkers, do a justice to your intelligence!!! THANKS ...
 
cdu ni chama cha siasa kinachoongoza nchini ujerumani chenye mlengo wa kustawisha na kuwaunganisha wakristo nchini ujerumani, sheria ya vyama vya siasa inakataza inazuia kuwa na vyama vya kidini nchini kwetu kwa ujerumani sheria imeruhusu, chama cha democrasia na maendeleo kinashutumiwa kwa kuwa na mrengo wa kidini, leo chadema wanashirikiana na cdu hamuoni kwamba cdm imeamua kujivua gamba? na malengo kamili ya chama hicho yameonekana? kwa hili naomba msajili wa vyama aliangalie, ipo siku kikatokea chama kikafanya urafiki na muslim brotherhood hamuoni kwamba tutaigawa nchi mapande mapande???????......,

Wewe Mwandishi Ni Mgojwa kweli; Kwanini Usitafute Ukweli -- Watanzania sisi wenye asili ya Kiislamu tunalalamika just kwasababu ni Dini na Unajua faida yake... Shame on YOU FIRST ARTICLE WRITTER

CDU wana waislamu wengi kweli kwenye Chama Chao

Check this Out


German's CDU should chnage its name:instead "Christian" to "Muslim"! - Political Forum

Well this is going well!! The leading German political party's [Merkel's party] choice of a Muslim immigrant, to put an Muslim face on integration, is already causing waves. She has put forward her personal position of religion in the classroom, saying that crosses, as well as headscarf should all be removed. But her party's position is that headscarves and crosses are permitted, except that headscarves can't be worn by teachers.

A bit of a bull-in-a-china-shop, she misses the point, that is in the effort to integrate and in the name of inclusion, many EU countries like, England and Holland, have sought to ban all Christian symbols, but allow the Muslim headscarf, now Muslims can even forgo hygiene or proper sanitation before surgery [showing wrists is now forbidden, in the new radicalized Islamo-Britain]. So when the Muslim minister-designate, says let's get rid of all religious symbols "including Christian ones", then it hit a nerve. She put her foot in it ~ frankly!


Ayguel Oezkan, the designated social minister in Lower Saxony who is set to be Germany's first Muslim minister of Turkish origin, has caused controversy by calling for a ban on crucifixes in state schools.

Ayguel Oezkan has created waves before even taking office as social minister in the north-western German state of Lower Saxony.

The 38-year-old, who is a member of Chancellor Angela Merkel's conservative Christian Democratic Union (CDU), said in an interview on Saturday that crucifixes have as little place in state schools as do headscarves.

"Christian symbols do not belong in state schools," Oezkan told German magazine Focus, adding that "schools should be neutral places where children can decide their religious orientation on their own. Just as head scarves do not belong in classrooms."

Comments spark criticism from conservatives

Oezkan's comments have ruffled feathers in her own conservative party.


Lower Saxony state premier, Christian Wulff, distanced himself from the designated minister's remarks

"Christian symbols, above all the crucifix in schools, are welcomed by the state government in Lower Saxony in keeping with the practice of tolerant education on the basis of Christian values," Wulff told news agency dpa.

He added that students wearing headscarves too were tolerated on grounds of religious freedom but not teachers.

"Miss Oezkan expressed her personal opinion on religious neutrality but she's not questioning the practice in Lower Saxony."

But Stefan Mueller, CDU commissioner for integration, was openly critical.

"[Oezkan's remarks] are as absurd as they are appalling," Mueller said in a statement. "Politicians who want to ban the cross in state schools should think twice about whether representing a Christian party is the right choice. The crucifix is the foundation of our identity, culture, and values," he added.

Not just a "token immigrant"

The 38-year-old Oezkan is the first Muslim woman in Germany to be elected to a ministerial post on the state level. She was born in Hamburg to Turkish immigrants.

A trained lawyer, Oezkan joined the CDU six years ago. Before her ministerial appointment, she was the party's economic policy spokeswoman for the regional parliamentary group in Hamburg.

Her appointment is widely seen as a coup for Merkel's conservative party who are keen to attract voters from Germany's large immigrant population.

Earlier this month, Christian Wulff called her appointment "a good signal for children and young people with immigrant backgrounds." Oezkan however quickly made clear that she does not want to be regarded as a "token immigrant."

Oezkan has said as social minister she will focus her efforts on furthering integration in Lower Saxony, something she says the ministry has lost sight of in recent years.

"I have made it clear that I intend to take over the area of integration. Up to now, integration has been more and more part of the interior ministry, but this is an area where I would like to make an impact," she told the Focus Magazine.

Oezkan has singled out the need for Germany to establish proper recognition of university degrees earned abroad.

"It can go on no longer that well-educated and able citizens are forced to drive taxis when they arrive in Germany," Oezkan said.

Oezkan has been given police protection in recent days. According to authorities, she has received letters and emails threatening that "something would happen" if she accepts her post, which is scheduled for Tuesday.

And this one said Muslim Majority in EUROPE in 20yrs... CDU Embrace Muslims and You article writer U don't know anything just to cause fighting
Acha Uzushi

Check this out again... and Acha Matatizo yako

German's CDU should chnage its name:instead "Christian" to "Muslim"! - Political Forum
 
jamaani ninachohitaji wanaJF wajadili hoja si kulalamika, shutuma za udini juu ya cdm zipo je? hamuoni kuwa kushirikiana na cdu shutuma hizo ni kweli? na kwanini walipokutana kikao cha siri na Rais wa Gmny m/mkt Arfi au Zitto mbona hawashirikishwi?au kuna siri nzito?
 
jamaani ninachohitaji wanaJF wajadili hoja si kulalamika, shutuma za udini juu ya cdm zipo je? hamuoni kuwa kushirikiana na cdu shutuma hizo ni kweli? na kwanini walipokutana kikao cha siri na Rais wa Gmny m/mkt Arfi au Zitto mbona hawashirikishwi?au kuna siri nzito?

you guy, just as I'm, are a novello guest/member and coincidencly we joined the forum in the same day - i did it after almost 2 yrs of behind the scene observation/reading I don't know how long it took for you to mature the decision of enrolling yourself - it doesn't matter!

What impresses me negatively is your incapacity to realize that there is no "issue"to discuss from your post!!! Waitaliano wana msemo " non si può cavar sangue dalle rape" literally meaning there is no way you can extract blood from beans - sasa tuta-discuss vipi issue wakati hakuna issue??? I mean there is no raw material at first hand!!
Si lazima kuanzisha threads ili na wewe uonekane kwamba upo - i mean unaweza ukachangia za wengine and better enough unaweza kusoma za wengine bila kuchangia, remember sometimes silence speaks louder than words!!! Ukosefu wenu wa hoja ndio unaofanya watu waanze kuwahisi kuwa ni mapandikizi ya akina Nape na sina sababu ya kufikiri kuwa wanakosea katika hilo!
 
cdu ni chama cha siasa kinachoongoza nchini ujerumani chenye mlengo wa kustawisha na kuwaunganisha wakristo nchini ujerumani, sheria ya vyama vya siasa inakataza inazuia kuwa na vyama vya kidini nchini kwetu kwa ujerumani sheria imeruhusu, chama cha democrasia na maendeleo kinashutumiwa kwa kuwa na mrengo wa kidini, leo chadema wanashirikiana na cdu hamuoni kwamba cdm imeamua kujivua gamba? na malengo kamili ya chama hicho yameonekana? kwa hili naomba msajili wa vyama aliangalie, ipo siku kikatokea chama kikafanya urafiki na muslim brotherhood hamuoni kwamba tutaigawa nchi mapande mapande???????......,
pumba zako zinakera sana kwataarifa yako heche ameongozana kwenye safari hiyo na makamu mwenyekiti znz SAID ISSA pamoja na mbunge SABREENA SUNGURA wote waislamu na hawa watu wameenda kutanua ushirikiano na vyama vingine watapita wingereza na ufaransa pote watakutana na viongozi wa vyama vyenye mlengo wa kiconsevertive kama cdm,
 
Kwa jinsi nanavyojua mimi jambo hili pekee waliloliamua chadema litawapelekea kukosa kura zaidi ya mil nne katika uchaguzi mkuu wa 2015 kwani ni ngumu sana kumshawishi muislam yoyote makini kua christian democratic unionn-cdu ni chama kisichokua na element zozote za kidini ! Chadema walianza vizuri hata mimi nawaunga mkono kwa mengi sana lakini huku mwishoni wanamaliza vibaya...! Mhhhh... Tanzania hakutotokea mkombozi wa walipa kodi tena
 
CHADEMA Mbona mnatoka Povu...
mshasema CUF ni Malibero na Mashoga na Malesbians...
Nyinyi mkiitwa Wakatoliki Wachaga (WANA CDU) mnalia....

CUF wana mpango wa kujiunga na Muslim Brothehood hivi karibuni.....
sasa kawchokozeni tena Bungeni ,wawape ngumi za chembe kama alizopewa Wenje juzi...
Yani wenje hadi chozi limemtoka...
Mnajiita Makamanda halafu mnadundwa na CUF (Malibero kwa mujibu wenu)?
 
Christian Democratic Union + Chama cha Democrasia na Maendeleo = Janga la TAIFA.
 
cdu ni chama cha siasa kinachoongoza nchini ujerumani chenye mlengo wa kustawisha na kuwaunganisha wakristo nchini ujerumani, sheria ya vyama vya siasa inakataza inazuia kuwa na vyama vya kidini nchini kwetu kwa ujerumani sheria imeruhusu, chama cha democrasia na maendeleo kinashutumiwa kwa kuwa na mrengo wa kidini, leo chadema wanashirikiana na cdu hamuoni kwamba cdm imeamua kujivua gamba? na malengo kamili ya chama hicho yameonekana? kwa hili naomba msajili wa vyama aliangalie, ipo siku kikatokea chama kikafanya urafiki na muslim brotherhood hamuoni kwamba tutaigawa nchi mapande mapande???????......,

Kwani nchi Ina sheria inayoruhusu ushoga Na usagaji?
Na chama kikiamua kushirikiana Na vyama vya kiliberali vinavyotangaza Na kuhimiza ushoga vitakuwa vimevunja sheria gani ya msajili Wa vyama?????...Au hii ni ruksa.
Au serikali ikiwa Na uhusiana Na nchi za kiiskamu Au kikristu inavunja sheria gani????
 
Back
Top Bottom