in and out
Member
- Jun 30, 2011
- 69
- 6
cdu ni chama cha siasa kinachoongoza nchini ujerumani chenye mlengo wa kustawisha na kuwaunganisha wakristo nchini ujerumani, sheria ya vyama vya siasa inakataza inazuia kuwa na vyama vya kidini nchini kwetu kwa ujerumani sheria imeruhusu, chama cha democrasia na maendeleo kinashutumiwa kwa kuwa na mrengo wa kidini, leo chadema wanashirikiana na cdu hamuoni kwamba cdm imeamua kujivua gamba? na malengo kamili ya chama hicho yameonekana? kwa hili naomba msajili wa vyama aliangalie, ipo siku kikatokea chama kikafanya urafiki na muslim brotherhood hamuoni kwamba tutaigawa nchi mapande mapande???????......,