Ushirikiano wa CHADEMA na ACT-Wazalendo ni Bora zaidi kuliko vyama vingine

Mukua

Senior Member
Sep 30, 2021
156
202
Nime msikia mh James Mbatia akitaka vyama vya ushindani Kama sio upinzani kuungana ili kuking'oa CCM kwenye uchaguzi wa 2025.

Hili ni Jambo jema , lakini kwa kuusema ukweli viongozi wa vyama hivyo ukiindoa CHADEMA na ACT ni wanafiki na waroho wa madaraka ni watu wasio na msimamo kabisa, na mara zote wamekuwa wakitafuta umaarufu kwa kupitia hasa nyayo za CHADEMA.

Kwa upande wa wanachama Kama CHADEMA wakifanya ushirikiano na ACT wingi wa wanachama wao unaweza ku karibiana kabisa na wa CCM , na hata Kama CCM wakizidi ni kwa kiasi kidogo ambacho Wana weza kushinda nao kwa njia ya ushawishi kwenye sanduku la kura.

Hivyo basi kuungana na akina Mbatia na hao ndumila kuwili wengine ni kupoteza muda tu.

Mbatia Kisha poteza mvuto hata kwa wananchi wa vunjo.
 
Wakishaungana ndiyo vitasambaratika vyote maana kila chama watataka wao ndiyo watoe mgombea Urais wakati hawana Mtaji wa wanachama.
 
Wakishaungana ndiyo vitasambaratika vyote maana kila chama watataka wao ndiyo watoe mgombea Urais wakati hawana Mtaji wa wanachama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unataka kusema kuwa hawana Nia ya kweli kuking'oa CCM kwa umoja wao, isipokuwa Kila mmoja ana uchu na uroho wa madaraka.

Na Kama ni hivi basi , ni ukweli ulio dhahiri kuwa bado hawajajua umuhimu wa vyama vingi na kusimamia mageuzi ya kweli sio.
 
Sioni tija yoyote ya kuungana kwa vyama ili kuing'oa ccm. Hata hiyo ACT wenye msimamo ni ACT ya Wapemba maana wao hawaitaki ccm kwa namna yoyote. Kwa huku Bara ni kama ACT inafanya siasa za kutaka kusifiwa na CCM. Isitoshe hiyo ACT haina ushawishi mkubwa wa maana huku Bara, bali inategemea umaarufu wa Zito ambao nao ni mdogo kwa sehemu kubwa. Nawaonya Cdm kutaka kuungana na chama chochote, kwani hali hiyo imeshatokea na kuleta mgongano usio na tija yoyote.

Cha muhimu iwapo kutakuwa na tume huru ya uchaguzi, vyama hivi visishambuliane popote, na adui yao awe ni ccm, hata kwenye chaguzi wakala wa chama chochote cha upinzani alinde kura za chama chochote cha upinzani.
Nime msikia mh James Mbatia akitaka vyama vya ushindani Kama sio upinzani kuungana ili kuking'oa CCM kwenye uchaguzi wa 2025.

Hili ni Jambo jema , lakini kwa kuusema ukweli viongozi wa vyama hivyo ukiindoa CHADEMA na ACT ni wanafiki na waroho wa madaraka ni watu wasio na msimamo kabisa, na mara zote wamekuwa wakitafuta umaarufu kwa kupitia hasa nyayo za CHADEMA.

Kwa upande wa wanachama Kama CHADEMA wakifanya ushirikiano na ACT wingi wa wanachama wao unaweza ku karibiana kabisa na wa CCM , na hata Kama CCM wakizidi ni kwa kiasi kidogo ambacho Wana weza kushinda nao kwa njia ya ushawishi kwenye sanduku la kura.

Hivyo basi kuungana na akina Mbatia na hao ndumila kuwili wengine ni kupoteza muda tu.

Mbatia Kisha poteza mvuto hata kwa wananchi wa vunjo.
 
Alimlipia na wabunge na madiwani kadhaa from CDM (Komu na yule wa Rombo), akamuahidi lazima watarudi bungeni kwa tiketi ya NCCR, naye akiahidiwa uKUB, Dingi akaingia kichwakichwa, Jiwe alikuwa msanii sana
Jamaa alichanganyikiwa
 
o unataka kusema kuwa hawana Nia ya kweli kuking'oa CCM kwa umoja wao, isipokuwa Kila mmoja ana uchu na uroho wa madaraka.
Na Kama ni hivi basi , ni ukweli ulio dhahiri kuwa bado hawajajua umuhimu wa vyama vingi na kusimamia mageuzi ya kweli sio.

Kuungana kumeshaonyesha hakuwezekani maana CCM inawaribuni baadhi ya vyama, matokeo yake wanaingia kwenye migogoro isiyo na tija. Nimeona Cdm haiko tayari kupoteza nafasi zake za wagombea, na hivyo vyama vingine hali kadhalika. Tatizo kubwa linakuja pale uchaguzi unapomalizika, kunabaki kushutumiana kunakolenga kuchafuana. Ipiganiwe tume huru ya uchaguzi kwanza, kisha kila mtu akashinde mechi zake.
 
Kwa hiyo unataka kusema kuwa hawana Nia ya kweli kuking'oa CCM kwa umoja wao, isipokuwa Kila mmoja ana uchu na uroho wa madaraka.
Na Kama ni hivi basi , ni ukweli ulio dhahiri kuwa bado hawajajua umuhimu wa vyama vingi na kusimamia mageuzi ya kweli sio.
Jaribu kurudi nyuma wakati wa kuianzisha ACT ilikuwaje.

Huyo Mbatia wakati wa kampeini za mwaka 2020 alisikika akijigamba kwamba sasa NCCR ndiyo inaenda kuwa KUB.

Huyo Mbatia akasahau kuwa KUB walikuwa ni CDM yaani wapinzani wa kweli.
 
Kuungana kumeshaonyesha hakuwezekani maana CCM inawaribuni baadhi ya vyama, matokeo yake wanaingia kwenye migogoro isiyo na tija. Nimeona Cdm haiko tayari kupoteza nafasi zake za wagombea, na hivyo vyama vingine hali kadhalika. Tatizo kubwa linakuja pale uchaguzi unapomalizika, kunabaki kushutumiana kunakolenga kuchafuana. Ipiganiwe tume huru ya uchaguzi kwanza, kisha kila mtu akashinde mechi zake.
Kwa sasa chama pekee kinacho endelea na mapambano ya kuhitaji tume huru ya uchaguzi na katiba mpya ni cdm tu.

Wengine wameufyata maana tangu wazaliwe hawajawahi kuingia jela.

Wacha cdm wajitoe muhanga maana hakuna vita ya ukombozi isiyo kuwa na madhira kama yanayo wapata viongozi wa cdm.
 
Kuungana kumeshaonyesha hakuwezekani maana CCM inawaribuni baadhi ya vyama, matokeo yake wanaingia kwenye migogoro isiyo na tija. Nimeona Cdm haiko tayari kupoteza nafasi zake za wagombea, na hivyo vyama vingine hali kadhalika. Tatizo kubwa linakuja pale uchaguzi unapomalizika, kunabaki kushutumiana kunakolenga kuchafuana. Ipiganiwe tume huru ya uchaguzi kwanza, kisha kila mtu akashinde mechi zake.
Wazo safi. Tuingie uwanjani tupambane kwani kila chama kinataka kushika dola. Tume huru katba mpya na kazi iendelee.
 
Hivi zitto aliondokaje chadema, si kwa kufukuzwa na kuambiwa msaliti. Mnaona ni sahihi kupokea kina lowassa kuliko kuungana na kuing'oa ccm. Kwa kifupi hamjui siasa , mmevamia kwani mngejua adui yenu wa Sasa ni ccm mngetumia silaha zote kuitoa na sio kunyoosheana vidole.
 
Hivi zitto aliondokaje chadema, si kwa kufukuzwa na kuambiwa msaliti. Mnaona ni sahihi kupokea kina lowassa kuliko kuungana na kuing'oa ccm. Kwa kifupi hamjui siasa , mmevamia kwani mngejua adui yenu wa Sasa ni ccm mngetumia silaha zote kuitoa na sio kunyoosheana vidole.
 
Back
Top Bottom