mi_mdau
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,104
- 1,476
Hodi humu mjengoni!
Ukiangalia kwa haraka haraka na kujaribu kulinganisha, ni kama vile upinzani hasa (Chadema) umeweza kufanya vizuri katika maeneo mengi ya mijini na chama tawala kupata kura nyingi maeneo ya vijijini! Cha kusikitisha watu hawa wa vijijini ndio hasa wenye matatizo mengi kama vile huduma za maji, umeme na barabara. Maswali hapa ni je, watu hawa hawana taarifa kuhusu upinzani na sera zake au wameshindwa kuzielewa kutokana na uwezo wao wa kupambanua mambo? Au tuseme bado ni wadanganyika wanaodhani CCM hii ni ile ya enzi za Mwalimu?
Ukiangalia kwa haraka haraka na kujaribu kulinganisha, ni kama vile upinzani hasa (Chadema) umeweza kufanya vizuri katika maeneo mengi ya mijini na chama tawala kupata kura nyingi maeneo ya vijijini! Cha kusikitisha watu hawa wa vijijini ndio hasa wenye matatizo mengi kama vile huduma za maji, umeme na barabara. Maswali hapa ni je, watu hawa hawana taarifa kuhusu upinzani na sera zake au wameshindwa kuzielewa kutokana na uwezo wao wa kupambanua mambo? Au tuseme bado ni wadanganyika wanaodhani CCM hii ni ile ya enzi za Mwalimu?