mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Kwa nini mtu ajikune bila kuwashwawashwa?
Watanzania! Tumefanikiwa sana kupinga nguvu ya ukabila na udini mpaka ikashindwa kutugawa. Sasa tupinge na kukataa sumu ya uchama inayotaka kupenya ili kutugawanya.
Ni takriban miezi 35 kabla ya uchaguzi mkuu ujao hapo Oktoba 2020. Twajua CCM wanajipanga vipi kuhusu uchaguzi huo. Je wapinzani wanafanya japo kuangalia kalenda tu kutambua wamebakiwa na muda gani kama kweli wanataka kuing'oa CCM madarakani? Reminder: anger is not a strategy
mr mkiki.
Watanzania! Tumefanikiwa sana kupinga nguvu ya ukabila na udini mpaka ikashindwa kutugawa. Sasa tupinge na kukataa sumu ya uchama inayotaka kupenya ili kutugawanya.
Ni takriban miezi 35 kabla ya uchaguzi mkuu ujao hapo Oktoba 2020. Twajua CCM wanajipanga vipi kuhusu uchaguzi huo. Je wapinzani wanafanya japo kuangalia kalenda tu kutambua wamebakiwa na muda gani kama kweli wanataka kuing'oa CCM madarakani? Reminder: anger is not a strategy
mr mkiki.