Vitendo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2009
- 582
- 103
Hali ya nchi kwa sasa inaonyesha wazi mahitaji ya watanzania,kuwa tunahitaji viongozi makini ili watutoe hapa tulipo katika lindi la Umaskini wa kutupwa.
Hivyo Mabadiliko yaanze tarehe 31/10/2010.
Mabadiliko kuanzia Udiwani hadi Urais.
Tupate viongozi bora wenye nia njema ya nchi yetu.
Hivyo Mabadiliko yaanze tarehe 31/10/2010.
Mabadiliko kuanzia Udiwani hadi Urais.
Tupate viongozi bora wenye nia njema ya nchi yetu.