ADAM MILLINGA
Senior Member
- Apr 27, 2011
- 117
- 13
Ndugu zangu furaha niliyo nayo tangu alipo tangazwa nassari kuwa mbunge mteule imezidi kifani kwan nimeona kweli watanzania wamechoka na manyanyaso ya serikali ya kikoloni ya watu weusi wa chama cha mapinduzi nina washukuru sana wananchi wa arumeru amkujali pesa wala flana ata kanga ila mmeangalia maendeleo huo ni waraka tosha kwa serikali ya kikoloni inatakiwa kufunguka mapemaaaaaaaa asanteni