Young Tanzanian
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,736
- 293
ukweli ni kwamba mgomea aliyepitishwa kugombea udiwan daraja mbili ni kambi ya kina rz ,membe,mary chatanda na kna sta ndio maana akna mwalusamba walikuwa wanapambana kuwafuraisha mabosi wao Lowasa hakujishughulisha na huo uchaguzi wa udiwan so lowasa alkuwa busy na uchaguz wa chama kwa taarfa za wanaccm arusha...na kumbuka hawa ni maadui wa lowasa ndio waliogoma kumtambulisha ata kwenye kikao hvyo alitaka wajue bila yeye arusha hakuna ccm...napta