Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
nani kakuambia lowasa anawaza level ya udiwani? inaonekana umesoma vyuo vya kata, mwisho wako wa kufikiri ni kata!! ndio maana unaleta ishu za udiwani kucompare na lowasa. au siku haipiti vizuri bila kutaja lowasa?:confused2:?
Ficha upumbavu wako,usifiche hekima yako!!!
Wewe hujui umuhimu wa chaguzi za ngazi za chini,ila wenzako tunao jua tuna kila sababu ya kupongeza CDM na kumuhurumia Lowassa kwa mpango wake ulio feli!