Ndugu
zangu, tuache ushabiki na unafiki, kama si helikopta iliyowazingua
wameru, Nasari asingeshinda. wengi walikuwa wanakuja kwenye mikutano
kushangaa chopa tu. Yani roho yangu inaniuma, natamani hata nijiue. Na
uchaguzi wa madiwani ARUSHA mkipata kata moja, shukuruni Mungu.
Ndugu zangu, tuache ushabiki na unafiki, kama si helikopta iliyowazingua wameru, Nasari asingeshinda. wengi walikuwa wanakuja kwenye mikutano kushangaa chopa tu. Yani roho yangu inaniuma, natamani hata nijiue. Na uchaguzi wa madiwani ARUSHA mkipata kata moja, shukuruni Mungu.