Ushindi wa ccm na mbinu chafu

Prodigal Son

JF-Expert Member
Dec 9, 2009
1,067
697
Wana JF

Nivema tukaainisha mbinu Chafu CCM ilizotumia na hatimaye kujitangaza washindi, Hii itasaidia kuwapa picha halisi wale wote wanaopongeza ushindi wa CCM na kubeza wapinzani,,,Naamini Upinzani imara ni chachu ya maendeleo husussani kwa taifa changa kama Tanzania

Kwa kuanzia
  1. Walitumia vyombo vya habari vya uma,, TBC, HABARI LEO na daily news kujinadi na kuwachafua wagombea wengine,
  2. Walitumia Ndege za Serekali, magari kwa kubadilisha number kwa ajili ya kujinadi
  3. Waliwalazimisha wakuu wa wilaya, Mikoa, na taasisi nyingine kuhakikisha CCM inashinda kwenye maeneo husika:
  4. Walitumia makampuni binafsi ya Simu kinyemela kwa kusambaza ujumbe uliokuwa na nia ya kuwachafua washindani wengine,
  5. Walikusanya pesa kwa watumiaji wa simu za mikononi bila ridhaa yao
  6. Walitumia umaskini na uelewa finyu wa watanzania wengi kwa kutoa ahadi ambazo hata miaka 20 hawataweza kuzitekeleza
  7. Walitumia vibaya yombo vya dola
  8. ..
  9. ,,,
msnweza kuendeleza hiyo list
 
Wana JF

Nivema tukaainisha mbinu Chafu CCM ilizotumia na hatimaye kujitangaza washindi, Hii itasaidia kuwapa picha halisi wale wote wanaopongeza ushindi wa CCM na kubeza wapinzani,,,Naamini Upinzani imara ni chachu ya maendeleo husussani kwa taifa changa kama Tanzania

Kwa kuanzia
  1. Walitumia vyombo vya habari vya uma,, TBC, HABARI LEO na daily news kujinadi na kuwachafua wagombea wengine,
  2. Walitumia Ndege za Serekali, magari kwa kubadilisha number kwa ajili ya kujinadi
  3. Waliwalazimisha wakuu wa wilaya, Mikoa, na taasisi nyingine kuhakikisha CCM inashinda kwenye maeneo husika:
  4. Walitumia makampuni binafsi ya Simu kinyemela kwa kusambaza ujumbe uliokuwa na nia ya kuwachafua washindani wengine,
  5. Walikusanya pesa kwa watumiaji wa simu za mikononi bila ridhaa yao
  6. Walitumia umaskini na uelewa finyu wa watanzania wengi kwa kutoa ahadi ambazo hata miaka 20 hawataweza kuzitekeleza
  7. Walitumia vibaya yombo vya dola
  8. ..
  9. ,,,
msnweza kuendeleza hiyo list


Hata Chadema pia kuna sehemu wametumia mbinu chafu na wakashauriana kutokubali matoke.
 
lakini usisahau chadema nao walifanya haya yafuatayo:

(1) walitumia helkopta iliyokodishwa toka nairobi ikiendeshwa na rubani wa kisomali aliekuwa akitafuna marungi!
(2) walitumia magazeti ya kibepari yanayomilikiwa na freeman mbowe kuwachafua wagombea wengine, na kueneza tuhuma ili kujenga chuki!
(3) waliwalazimisha nusu ya usalama wa taifa kuripoti kwa dr.slaa ili apate ushindi ktk maeneo fulani!
(4) waliwatumia viongozi wa dini kumpigia debe slaa na kuwashauri wafunge nyumba za ibada siku ya uchaguzi!
(5) waliwatishia wafanya biashara wa kihindi na kuwalazimisha wapewe milioni 200 la sivyo watakiona slaa akiwa rais?
(6) waliwakusanya vibaka wa mijini na kuwaita red gurd ili kuwaandaa kwa vurugu na kupora mali na hata kuuwa!!
(7) .....
(8) .....
(9) .....

mnaweza kuendeleza hiyo listi!!!

(5)
 
Michezo michafu, Kampeni za matusi na uzushi zilifanywa na vyama vyote vilivyo simamisha wagombea sehem mbalimbali.... Kuzidiana viwango vya hiyo michezo michafu kulitokana na nguvu ya chama, na nguvu ya Pesa kwa wagombea binafsi.......!
 
ZUBEDA

Toa hoja za msingi, kama huwezi ni busara ukakaa kimya, kama uliajiriwa ku moderate issue hapa na mashaka na uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mambo
 
Hawa akina Robinho tatizo ndo wengi Tanzania. Wao wanafikiri Kiongozi anachaguliwa eti tu anapesa. Wanafikiri huko bungeni matajiri wanaenda kuchanga pesa zao na kuwagawia wananchi kumbe hawajui wanawahonga pesa kidogo na kwenda kuweka pesa kibao kwenye mifuko yao.
Kwao eti kiongozi ni Mungu ata akiiba akaifilisi nchi. Akannunua rada mbovu, akanunua mtambo feki wa umeme na akaiba pesa EPA ili awagawie khanga na kofia wamchague eti usimseme kiongozi huyo kuwa katenda maovu eti hayo ni matusi.
Nafikiri kamaliza shule ya kata huyo make uwezo wake kuchambua mambo hauna tbs.
 
1. walihakikisha wanafunzi wavyuo vikuu hawapigi kura
2. waliwalazimisha wasimamizi wa uchaguzi kubatilisha matokeo na kuipa ccm ushindi.
3. walitumia ujinga wa wananchi waliopo vijijini kama mtaji wao
4. walihakikisha wanawanunua wagombea wa chadema kwa nguvu na gharama yoyote ili kushinda.
5..........
6.......


Unaweza ukaendeleza.........

THE COMES WHERE EVERY THING WILL BE REVEALED UNDER THE SUN.
 
7. Walipiga kura tatu au zaidi kwa kila mpiga kura wa CCM kwa ushirkiano na wasimamizi pasipo mawakala kujua au kwa kuwahonga mawakala.
8. Waliondoa majina ya vijana ambao walijua wengi wao hawawaungi mkono.
9. Waliingiza kura feki kwenye vituo palipokuwa na upizani mkali.
10. Walipeleka idadi ndogo ya kura za dr. Slaa na kuzidisha za Kikwete mfano Jimbo la hai ambako Slaa alipata kura 26000 JK elf 20 lakini yaliyochakuchuliwa ambayo ndo yako tume ya uchaguzi JK anampita mbali Dokta.
11. .............
12. ...............
 
lakini usisahau chadema nao walifanya haya yafuatayo:

(1) walitumia helkopta iliyokodishwa toka nairobi ikiendeshwa na rubani wa kisomali aliekuwa akitafuna marungi!
(2) walitumia magazeti ya kibepari yanayomilikiwa na freeman mbowe kuwachafua wagombea wengine, na kueneza tuhuma ili kujenga chuki!
(3) waliwalazimisha nusu ya usalama wa taifa kuripoti kwa dr.slaa ili apate ushindi ktk maeneo fulani!
(4) waliwatumia viongozi wa dini kumpigia debe slaa na kuwashauri wafunge nyumba za ibada siku ya uchaguzi!
(5) waliwatishia wafanya biashara wa kihindi na kuwalazimisha wapewe milioni 200 la sivyo watakiona slaa akiwa rais?
(6) waliwakusanya vibaka wa mijini na kuwaita red gurd ili kuwaandaa kwa vurugu na kupora mali na hata kuuwa!!
(7) .....
(8) .....
(9) .....

mnaweza kuendeleza hiyo listi!!!

(5)


Mbona haya hamuongelei mmebaki kuponda???tatito la watanzania mkishaenda mbele ni kama kondoo kachomwa na jua,hamuangalii nyuma.Zubeda ypo sawa kbsa hata kama bdo naichukua ccm.Wote wezi tu
 
lakini usisahau chadema nao walifanya haya yafuatayo:

(1) walitumia helkopta iliyokodishwa toka nairobi ikiendeshwa na rubani wa kisomali aliekuwa akitafuna marungi!
Hivi kutumia helikopta iliyokodishwa toka Nairobi na ikaendeshwa na rubani wa kisomali anaetafuna mirungi ni mbinu chafu za kupata kura???? Watu wengine bwana inabidi utafakari kama kweli akili yao iko kichwani au makalioni
 
CCM IMESHINDA

CHADEMA IMESHINDWA

KIKWETE RAIS

HAYO NDIO MATOKEO

TUSIZUNGUMZE TU KUWA MBINU CHAFU MBINU CHAFU

SLAA AMECHAKACHUA BARUA MPAKA IDARA YA USALAMA ILIBIDi WATOE TAMKO LA WAZI


CHADEMA KINATAKA KUINGIA MADARAKANI KWA NGUVU

VURUGU WAKATI KURA ZINAHESABIWA

Kuharibu mali

Jamani
 
lakini usisahau chadema nao walifanya haya yafuatayo:

(1) walitumia helkopta iliyokodishwa toka nairobi ikiendeshwa na rubani wa kisomali aliekuwa akitafuna marungi!
Hivi kutumia helikopta iliyokodishwa toka Nairobi na ikaendeshwa na rubani wa kisomali anaetafuna mirungi ni mbinu chafu za kupata kura???? Watu wengine bwana inabidi utafakari kama kweli akili yao iko kichwani au makalioni

MARUNGI NI AINA FULANI YA DAWA ZA KULEVYA NA TANZANIA IMEPIGWA MARUFUKU SASA KAMA UNAONA NI SAWA SLAA AENDESHWE NA RUBANI WA AINA HIYO ILIMRADI AINGIE IKULU HATA KWA KUVUNJA SHERIA ZA NCHI!!! NDIO MAANA ALIPO PORA MKE WA MTU NA KUZUNGUKA NAE KILA KONA YA NCHI HUKU AKIMNADI KUWA NDIE FIRST LADY MTARAJIWA, CHADEMA NA VIONGOZI WA DINI MLITETEA KASHFA HIYO NA KUSEMA HAYO NI MAMBO YA KIBINAFSI!!!!

ANGALIA HII PICHA:
Mke_wa_Dr__Slaa.JPG

KAMA HUYU ANGEKUWA MKE WAKO HALAFU YANAKUPATA KAMA HAYA NADHANI MACHUNGU YAKE NI ZAIDI YA UFISADI!!!!!
 
lakini usisahau chadema nao walifanya haya yafuatayo:

(1) walitumia helkopta iliyokodishwa toka nairobi ikiendeshwa na rubani wa kisomali aliekuwa akitafuna marungi!
(2) walitumia magazeti ya kibepari yanayomilikiwa na freeman mbowe kuwachafua wagombea wengine, na kueneza tuhuma ili kujenga chuki!
(3) waliwalazimisha nusu ya usalama wa taifa kuripoti kwa dr.slaa ili apate ushindi k

pointless.
 
lakini usisahau chadema nao walifanya haya yafuatayo:

(1) walitumia helkopta iliyokodishwa toka nairobi ikiendeshwa na rubani wa kisomali aliekuwa akitafuna marungi!
Hivi kutumia helikopta iliyokodishwa toka Nairobi na ikaendeshwa na rubani wa kisomali anaetafuna mirungi ni mbinu chafu za kupata kura???? Watu wengine bwana inabidi utafakari kama kweli akili yao iko kichwani au makalioni

unaongeza muhalifu kwanza tujadili huyu aliye kunywa uji wa mtoto mbwa apigwe kwenye tukio
 
MARUNGI NI AINA FULANI YA DAWA ZA KULEVYA NA TANZANIA IMEPIGWA MARUFUKU SASA KAMA UNAONA NI SAWA SLAA AENDESHWE NA RUBANI WA AINA HIYO ILIMRADI AINGIE IKULU HATA KWA KUVUNJA SHERIA ZA NCHI!!! NDIO MAANA ALIPO PORA MKE WA MTU NA KUZUNGUKA NAE KILA KONA YA NCHI HUKU AKIMNADI KUWA NDIE FIRST LADY MTARAJIWA, CHADEMA NA VIONGOZI WA DINI MLITETEA KASHFA HIYO NA KUSEMA HAYO NI MAMBO YA KIBINAFSI!!!!

ANGALIA HII PICHA:
View attachment 16366

KAMA HUYU ANGEKUWA MKE WAKO HALAFU YANAKUPATA KAMA HAYA NADHANI MACHUNGU YAKE NI ZAIDI YA UFISADI!!!!!

Mkuu Zubeda

Acha kuingilia maisha binafsi ya mtu,,,wewe ni msafi?
Unaonaje ukajadili na upande wapili? Nani Msafi Huko CCM?afadhali huyu alikuwa muwazi,,Umeshajiuliza huyo wakwako anavimada wangapi?

Swala la Mirungi kama huyo pilot alikuwa anatafuna nyie si mna jeshi Mbona hamkukamata na kumshtaki kwa mujibu wa hiyo sheria? acha uvivu wa kufikiria,,,Ushabiki wako utaku cost wewe pamoja na jamii yako nzima
 
CCM IMESHINDA

CHADEMA IMESHINDWA

KIKWETE RAIS

HAYO NDIO MATOKEO

TUSIZUNGUMZE TU KUWA MBINU CHAFU MBINU CHAFU

SLAA AMECHAKACHUA BARUA MPAKA IDARA YA USALAMA ILIBIDi WATOE TAMKO LA WAZI


CHADEMA KINATAKA KUINGIA MADARAKANI KWA NGUVU

VURUGU WAKATI KURA ZINAHESABIWA

Kuharibu mali

Jamani

rais wa ccm
 
Back
Top Bottom