tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
huu ndo ushindani wa ligu unaonoga wa mpira wa miguu mmana hujui nani keshio atakuwa kileleni......wanacheza ligi zote Ligi kuu yenyewe,FA cap,UEFA Champion League ,Europa Cup lakini hakuna viporo kwa timu zinazoshiriki.ratiba iko sawa kabisa na inafuatwa vizuri sana.