MNDEE
JF-Expert Member
- Jul 10, 2009
- 491
- 68
Jamani nalileta hili la kampuni za simu jamvini. Kwa mtazamo wangu rate bado ziko juu sana na hakuna unafuu wa huduma mteja anapata. Hizi kampuni ziko za kutosha na wateja ni wengi cha kushangaza hakuna ushindani kati ya hizi kampuni ambao ungepelekea kuwepo kwa rate nzuri na huduma bora.
Kinachonishangaza ni kuwa kila kampuni inayochipuka haiji na jipya, zaidi ya kuangalia wengine wanafanya nini na wao wanafanya kile kile zaidi tu watarekebisha rate kwa kiasi kidogo sana. Hata hii pre-paid wanaweza kuiboresha kwa kubundle vitu kama free nights na weekends, family plans baba na mama kuongea bure, au wateja wa kampuni moja kupata mawasilino kama sio bure basi kwa rate nafuu zaidi. Hizi ni baadhi tu ya huduma zinazotolewa na kampuni za simu nchi nyingine ambazo kampuni zetu nazo zinaweza kutoa kama zitamjali mteja na si tu kujali faida.
Kinachonishangaza ni kuwa kila kampuni inayochipuka haiji na jipya, zaidi ya kuangalia wengine wanafanya nini na wao wanafanya kile kile zaidi tu watarekebisha rate kwa kiasi kidogo sana. Hata hii pre-paid wanaweza kuiboresha kwa kubundle vitu kama free nights na weekends, family plans baba na mama kuongea bure, au wateja wa kampuni moja kupata mawasilino kama sio bure basi kwa rate nafuu zaidi. Hizi ni baadhi tu ya huduma zinazotolewa na kampuni za simu nchi nyingine ambazo kampuni zetu nazo zinaweza kutoa kama zitamjali mteja na si tu kujali faida.
Last edited: