Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,162
- 85,132
- Thread starter
- #61
Mkuu, hii biashara utaiuza sana ikiwa utapata eneo la biashara pale mitaa ya MaKay, pembeni kidogo CRDB. Pale naamini utauza mzigo wa kutosha ikiwa utatengeneza bidhaa yenye kiwango na yauhakika.Kwa biashara ya majeneza wap panafaa mkuu@ushimen
Sababu kubwa ya kupendekeza eneo lile ni kwakuwa pale ni katikati ya General Hospital na Aghakan Hospital na St Camilius Hospital. Na pia pale ni katikati ya mji ambapo watu wengi hupita maeneo yale.
Mkuu, karibu sana Dodoma.....