Ushimen: Ebu ngoja leo niwape mawazo machache ya kujikwamua

Kwa biashara ya majeneza wap panafaa mkuu@ushimen
Mkuu, hii biashara utaiuza sana ikiwa utapata eneo la biashara pale mitaa ya MaKay, pembeni kidogo CRDB. Pale naamini utauza mzigo wa kutosha ikiwa utatengeneza bidhaa yenye kiwango na yauhakika.
Sababu kubwa ya kupendekeza eneo lile ni kwakuwa pale ni katikati ya General Hospital na Aghakan Hospital na St Camilius Hospital. Na pia pale ni katikati ya mji ambapo watu wengi hupita maeneo yale.

Mkuu, karibu sana Dodoma.....
 
Pole na hongereni kwa kuwa wenye afya njema. Na kwapamoja tuwaombee wale wote ambao wakati kama huu hawana nafasi ya kusoma haya tuliopata pumzi ya bure na tukayasikia, kuona, kusoma na kuchangia.
Kwakuwa Mungu wetu ni mwema, basi yote kwake ni mema pia.

1. Ungekua Dom ningekupa wazo/location ya biashara ya chipsi dume, na ninahakika hapa ungeweza kupata faida isiyo punguwa 10 elfu per day, kwa mtaji usio zidi elfu 300.
2. Pia ningeweza kukupa wazo/location ya biashara ya majeneza ambapo ungeweza pata faida isiyo punguwa 100 elfu kwa kila wiki kwa mtaji usio zidi elfu 1,200.
3. Na ningekupa wazo/location yenye ungefanya biashara ya matunda kwa mtaji usio zidi 400 kwa kupata faida isiyo punguwa 12 elfu daily.
4. Alafu ninge kupa wazo/locations kadhaa ya kufanya biashara ya shoe shine/kusafisha viatu kwa mtaji usio zidi 100 elfu na ukapata faida isiyo punguwa 5 elfu kila kukicha.

Ebu ngoja nimalizie kwanza hii whatever-Vant, then kesho nitakuja na mawazo mengine kwenye muendelezo.
Hahah,we ushimen ms.nge sanaa.nmecheka sana hapo mwisho...whatever-vant..hahaha.

Umenikumbusha jana nilikua na dem m1 tumetoka mahala kunywa,tunarud nyumban usiku ananambia nichkue K vant dukan,hawez lala bila hyo kitu..hahah
 
Hahah,we ushimen ms.nge sanaa.nmecheka sana hapo mwisho...whatever-vant..hahaha.

Umenikumbusha jana nilikua na dem m1 tumetoka mahala kunywa,tunarud nyumban usiku ananambia nichkue K vant dukan,hawez lala bila hyo kitu..hahah
...............
 
Pole na hongereni kwa kuwa wenye afya njema. Na kwapamoja tuwaombee wale wote ambao wakati kama huu hawana nafasi ya kusoma haya tuliopata pumzi ya bure na tukayasikia, kuona, kusoma na kuchangia.
Kwakuwa Mungu wetu ni mwema, basi yote kwake ni mema pia.

1. Ungekua Dom ningekupa wazo/location ya biashara ya chipsi dume, na ninahakika hapa ungeweza kupata faida isiyo punguwa 10 elfu per day, kwa mtaji usio zidi elfu 300.
2. Pia ningeweza kukupa wazo/location ya biashara ya majeneza ambapo ungeweza pata faida isiyo punguwa 100 elfu kwa kila wiki kwa mtaji usio zidi elfu 1,200.
3. Na ningekupa wazo/location yenye ungefanya biashara ya matunda kwa mtaji usio zidi 400 kwa kupata faida isiyo punguwa 12 elfu daily.
4. Alafu ninge kupa wazo/locations kadhaa ya kufanya biashara ya shoe shine/kusafisha viatu kwa mtaji usio zidi 100 elfu na ukapata faida isiyo punguwa 5 elfu kila kukicha.

Ebu ngoja nimalizie kwanza hii whatever-Vant, then kesho nitakuja na mawazo mengine kwenye muendelezo.
#3, hiyo inaweza zidi zaidi ya hapo,,

Hapa mwanza kuna sehem huwa naenda mida ya jion kupata sahan moja ya matunda mix,, ni buku tu sahan moja,,

Aiseh anapiga pesa yule,,

 
Back
Top Bottom