Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 750
- 3,140
Mimi leo inanikuta, naelekea Korogwe sasa hivi ndio kwanza tupo Bagamoyo gari imeharibika mara mbili.
Hapa watu hawajafuturu, chakula chetu ni mmbu maana wametuzunguka.
Makonda wanatengeneza gari, wanatupa matumaini ila hii ngoma naona kabisa hatuchomoi,.
Kushuka kutafuta gari nyingine ni mtihani sababu nina mizigo mikubwa.
Hapa watu hawajafuturu, chakula chetu ni mmbu maana wametuzunguka.
Makonda wanatengeneza gari, wanatupa matumaini ila hii ngoma naona kabisa hatuchomoi,.
Kushuka kutafuta gari nyingine ni mtihani sababu nina mizigo mikubwa.