Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
- Thread starter
- #41
Dawa zipo kwa wale walio experience kuibiwa kwa mbinu hizo wanafahamu vyema.hakunaga madawa kwenye utapeli otherwise wangekua mabilionea wakutupwa kama kuna dawa zinafanya hizo kazi.ni mathematics tu
Pengine wewe upo upande wa watu wasio amini uchawi.