Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Siku moja nilielekea Dar es Salaam, nilipofika kituo cha basi wakati huo ni Ubungo Bus Terminal akatokea kijana Msamaria mwema kabisa akaniomba Begi langu Anisaidie na mimi nikampatia.
Ila kwa kweli ni uzembe wangu kabisa maana yule kijana alikuwa anawahi Harafu mimi hata sikumwambia naelekea wapi. Hivyo mpaka leo hatujawahi Onana na huyo kijana
Ila kwa kweli ni uzembe wangu kabisa maana yule kijana alikuwa anawahi Harafu mimi hata sikumwambia naelekea wapi. Hivyo mpaka leo hatujawahi Onana na huyo kijana