Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Bushmamy wewe😆😆badala ya kunionea huruma kwanza😆😆🙌!...ngapi unataka 😜Embu namimi nikopeshe kidogo best angu😍
Bushmamy wewe😆😆badala ya kunionea huruma kwanza😆😆🙌!...ngapi unataka 😜Embu namimi nikopeshe kidogo best angu😍
Mimi siju niseme nilitapeliwa au nilidanganywa hata sijui ikoje hii ila roho inaniuma mpaka leo.
Mwanzon mwaka huu nikiw nafanya kibarua kampuni X bos wangu alikua na friend wake ambaye naye anamiliki kampuni Y.Zote zinajihusisha na kandarasi za IT.Ikatokea tumezoeana sana na frnd ake bos mwenye kampuni Y.Ni kampuni sio kubwa snaa ni za kawaida tu.Kilichotufanya kuzoeana na mshkaji ni baada ya yy kugundua pale ofsn ndio nimekua na take charge ya mirad kuanzia kuomba tender mpaka execution.Bos yy ana deal na yale yalio nje ya uwezo wangu like zile tender za kupika mezan ambazo u need to utilize connection zako kwa washika dau walioko kwenye taasis zinazohitaji huduma ila hiz za ushindan mm ndio nakomaa nazo.
Basi bwana kwakua jamaa alikua ana tatizo upande huo hasa wa kuandaa competitive documents, hivyo kaz kwake ikawa ni za nadra nadra tu mpaka siku aliponitafuta.Akanieleza A to Z alichokua nataka nimsaidie.Ofcz i was no body kwenye kampuni yetu, kazi nying ila wako mshahara tu hata ufanye ku acquire mrad wa 300m.
Kipind ananitafuta nilikua napambana na miradi miwili ya taasisi moja ya serikali iko mikoa tofauti.Baada ya kunililia sana shida na kutoa ahadi za hapa na pale tukafikia makubaliano nimfanyie kaz ya ku apply bid same same nilizokua naziomba kupitia kampuni yetu.
Maneno yasiwe mengi , nikampigia kazi (ofcz kile nilichokifa ya kwa kampuni yetu X nikaki boresha zaid nikakitumia kwa kampuni Y ya mshkaji) kwa makubaliano kwamba akipata tender yangu ni 1M kwa kila mradi kama fee.Pia nita execute mwenyewe mwanzo mwisho (hapa kuna agreement ambazo nilimu ensure kua nitamsaidia ku maximize profit kwa ku lower expenses as nilikua na magumash zangu za ku access grey market so same products OG unazipata kw bei chee kwakua delears wana namna zao za ku kwepa taxes) .hapa tukawa n makubaliano ya kulipana kivingine so jumla ikaja kama 5m.
Mungu si athumani jamaa akaikwaa miradi miwili .ofcz haikua mikubwa Cz ilikua na grand total ya 79M.
E bwana eee toka hapo simu zikawa hazipokelewi.Nikaja kumpata kashamaliza miradi na kashalipwa.
Nadai changu (zile 2M sasa za kumpatisha miradi) akaanza stori mara bank accntza kampun alikua ame over draft mara nin sijui daah..nikaona isiwe shida inawezekana Mungu kaniadabisha maana mm nili snitch chama langu nikampa deal mdau mwingine ...naye kaniliza.Ila kwakifupi jamaa ni kama kanitapel maana mpaka leo ni stor ingawa ana kiri ninamdai na akipata atanipa ila mpaka na post hii mtanzania mwenzenu 0-0 .Roho huwa inaniuma sana.
NB.
Alivyomjinga sasa mwez uliopita akanitafuta nimjazie tena document..Dah..mjini akil nguvu kijijin
Laki mbili tu nkamalizie fees ya bebiiBushmamy wewe😆😆badala ya kunionea huruma kwanza😆😆🙌!...ngapi unataka 😜
Uyo jamaa mbona simsomi yaan ana kampun alafu hawez kuprepare ata bid document ya tender au kuwasiliana na dealer
Hawa ndio wale unamkuta ofisin unakuta hata CV na ukichunguza elimu yke ndio utakimbia
Tutaongea pm asbh ngoja nijaribu kufumba machoLaki mbili tu nkamalizie fees ya bebii
Daah mimi siwezi kuacha iende hivihivi hata kuzimu tutapelekana
Daah kuna watu wana rohoo mbayaa sanaa khaa...!!Mwaka 2012 rafiki wa kaka yangu ambaye alikuwa kama ndugu ,nilitumia kitambulisho chake kusajili line yangu ya voda ambayo ndio nilikuwa natumia kuhifadhia pesa.
Aliniibia simu na akawapigia voda eti amesahau namba ya siri hivyo akabadilisha pin number kwa kutumia kitambulisho chake na kiasi kama 200000/ ikawa imekwenda na maji.
Nashukuru mungu nilikwenda voda na nikapewa namba ya wakala ilipotolewa hiyo pesa na nikamfamu yeye ndio mwizi wangu,aliniomba msamaha nami nika mwachia mungu.
2k ni elfu mbili mkuu...???Kuna jamaa yangu wa karibu kanipigi cm tufanye biashara flani. Nikakubali kutokana na maelezo yake matam .nikarusha 2k.baada ya mda nikamuuliza biashara yetu vipi akatoa visababu wee,nikaona isiwe shida nikamsikilizia mpaka mda aliosema mambo yatakuwa sawa. Baada ya hapo nikampigia alinijibu kwa dharau na kejeri.niliumia sana .Siku moja hasira zilinipanda nikapanda gari kutoka tunduma mpaka songea kazini kwake.jamaa kuniona aliduaa kama sekunde 10.kisha akaomba tuongee yaishe nisimpeleke kwa boss wake,nikasema sio shida nipe changu nisepe.akaanza kuleta story za paka na panya,nikamwambia twende kwa boss wake.tukamkuta bos nikamwelekeza mwanzo mwisho,boss katoa Siku tatu nilipwe na kanipa namba yake if kukiwa kimya nimpigie,ck ya pili nikashangaa SMS ya m.pesa yote kama ilivyo,japo ya nauli hakunipa
Hata mimi nimeshangaa elfu mbili alifanya biashara gani?2k ni elfu mbili mkuu...???
Hata mimi nimeshangaa elfu mbili alifanya biashara gani?
Mimi nadhani alimaanisha laki mbiliAlafu akafunga safari mpaka Songea May b alimaanisha 2mil
Ukishamuazima hela, kuzungushana lazima kuwepo.Pia ushosti wa kukopana kopana hela nyingi mi siutaki
Yaah may b...Mimi nadhani alimaanisha laki mbili
Dah pole sana dada akeMie huu Uzi umenitia machungu balaa...Kuna mdada mmoja mchaga ni shoga angu alikuja ana shida kubwa kias kwamba anakuhadithia Mimi nalia tu..bahata mbaya had baba angu anamfaham..anampenda Sana coz anajua Sana biashara...uwiii shoga kaniliza. Nna hasira naye..nashindwa nimfanyeje. Alafu Cha ajabu amekuwa mkali balaa kuhusu Deni ..had najiuliza kwann anakua mkali na huku ni hak yangu kudai...! Ile hela angezunguka koote asingepata ...Ila namwangalia tu...naogopa kwenda polisi hakuna nilipoandikishana na yeye. Sana Sana wanangu ndo walikua mashahidi navyompa hela..alafu polisi naskia anaweza sema anaweza sema atanilipa 10k kwakila mwezi..hapo nakua mdogo balaa...dah maisha haya!
Na urafiki uliisha sio?Kuna jamaa yangu wa karibu kanipigi cm tufanye biashara flani. Nikakubali kutokana na maelezo yake matam .nikarusha 2k.baada ya mda nikamuuliza biashara yetu vipi akatoa visababu wee,nikaona isiwe shida nikamsikilizia mpaka mda aliosema mambo yatakuwa sawa. Baada ya hapo nikampigia alinijibu kwa dharau na kejeri.niliumia sana .Siku moja hasira zilinipanda nikapanda gari kutoka tunduma mpaka songea kazini kwake.jamaa kuniona aliduaa kama sekunde 10.kisha akaomba tuongee yaishe nisimpeleke kwa boss wake,nikasema sio shida nipe changu nisepe.akaanza kuleta story za paka na panya,nikamwambia twende kwa boss wake.tukamkuta bos nikamwelekeza mwanzo mwisho,boss katoa Siku tatu nilipwe na kanipa namba yake if kukiwa kimya nimpigie,ck ya pili nikashangaa SMS ya m.pesa yote kama ilivyo,japo ya nauli hakunipa
Haaaaa Haaaaa 😂 subiri atoke mishe mishe zake kwanza atakujaDada embu Fanya nipate 450k kwanza
Nyumbani natoka saa 11alfajiri narudi SAA sita usiku; Mzee mwenye nyumba kanikalia vibaya.
Alafu akafunga safari mpaka Songea May b alimaanisha 2mil
Subiri ajeMimi nadhani alimaanisha laki mbili
Mzee mwenye nyumba sio mtu nzuri unaingia kwako uku unanyataHaaaaa Haaaaa 😂 subiri atoke mishe mishe zake kwanza atakuja