Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
Nakumbuka nilishawahi mpenda mtu nikaja kujua yupo kwenye mahusiano lakini sikujali bado niliendelea kumpenda. Mwisho wa siku akaja kunifanya mchepuko yaani akawa na mtu mwingine wa tatu katika mahusiano nikajua hilo lakini sikujali.
Nilizidi kumpenda sijui alinipa nini huyo binti ila nili fall kiasi kwamba sikujali wala kuona kama ni tabu kwangu kuungwa cheni.
Siku anakuja kuniacha kimasihara dah! niliumia sana nilidhani ataona kiasi gani nilimpenda na kutojali yote hayo lakini haikusaidia nilipigwa chini kama kawa.
I wish to know you Guys ushawahi kumpenda mtu na ukajua anamahusiano na Ukaendelea kukomaa nae ? ilikuwaje na mwisho ukawaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilizidi kumpenda sijui alinipa nini huyo binti ila nili fall kiasi kwamba sikujali wala kuona kama ni tabu kwangu kuungwa cheni.
Siku anakuja kuniacha kimasihara dah! niliumia sana nilidhani ataona kiasi gani nilimpenda na kutojali yote hayo lakini haikusaidia nilipigwa chini kama kawa.
I wish to know you Guys ushawahi kumpenda mtu na ukajua anamahusiano na Ukaendelea kukomaa nae ? ilikuwaje na mwisho ukawaje?
Sent using Jamii Forums mobile app