Kwa mlioko DSM pale mbagala rangi 3 kwenye kona ya kwenda charambe ya zamani kila jioni zinapatikana supu za kila aina..kuanzia hii ya mapupu,ngozi,hashua za mbuzi nk..vitafunwa pia vinapatikana..km chapati nk..(nimeona niwapigie promo wale mama zangu wajasiriamali)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.