The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,333
- 4,152
- Thread starter
- #141
Hivi mkuuu kweli watu wateseke na njaa kisa ubaba na umama??kwa hyo wewe ulikuwa unakula kabla ya baba yako kula?
Basi wewe utakuwa kizazi cha akina junior.
Kuzaliwa 2000+.
Sisi watoto wa 1990 hatuwezi kushangaa haya