The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,330
- 4,146
- Thread starter
- #61
And we have nothing to do Abt itPathetic
And we have nothing to do Abt itPathetic
Duuuuh mkuu hiyo ni diet auMENU YA MIMI BABA KWA SIKU.
Asubuhi-Chai ya rangi kwa matembele.
Mchana-Kachumbali na viazi vitamu vya kuchemshwa.
Jioni-napunga upepo huku nakula mbuguswa au makewe.
Usiku-Unapita hola au uji wa mihogo kwa bagia mbili.
Ni menu.Mwanaume ni kujipatia shida ili familia ifaidi matunda ya kazi zako.Duuuuh mkuu hiyo ni diet au
Mkuu gari inayokuingizia pesa Haina budi kufanyiwa service mara kwa maraNi menu.Mwanaume ni kujipatia shida ili familia ifaidi matunda ya kazi zako.
Wanaume wengi tunatunza miili yetu kwa vyakula vya baa kwenye ubugiaji wa vinywaji.Nyumbani huwa tunarudi kula kwa ushahidi tu ili kuepusha ugomvi na wapishi.Mkuu gari inayokuingizia pesa Haina budi kufanyiwa service mara kwa mara
na hapo ndipo tunapofeli, kwa mwanamme afya ndio kila kituWanaume wengi tunatunza miili yetu kwa vyakula vya baa kwenye ubugiaji wa vinywaji.Nyumbani huwa tunarudi kula kwa ushahidi tu ili kuepusha ugomvi na wapishi.
lakin sio mara zote unaweza fanya hivyoHaipendezi hata kidogo siyo vizuri kabisa, kuna haja ya kushiba kabla ya kwenda kusalimia ndugu au rafiki.
Actually kabisa yaani ni Bora kubakia kijijini kabisa kule misosi ni bwerereUkiona huna pesa bakia kijijini huko huko misosi ni mingi halafu bure
Yawezekana mkuu lakin sio muda wote mambo yako sawaHiv mwanaume unawezaje kutegemea chakula cha nyumban au chakula cha ndugu sehem uliyofikia huo nao n ujinga
Kapike chako ukile utakavyooWasaalam,
Hivi ushawahi enda sehemu kwa rafiki yako,ndugu yako kusalimiaa etc.
Chakula kimepikwa na muda wa kula umewadia lakin mnaambiwa msubjri Hadi mwenye mji afike ndipo mle kwa pamoja.
Sasaa fikiria ulikuwa umeenda tangia asubuhi sasa msosi umepikwa wa jioni unatakiwa ule uende zako lakini huwezi kula Hadi mwenye mji arudi, ukiaga kuondoka unaambiwa subiri kidogo ndo anakaribia tule kwa pamoja.
Anyway, Kwann ukalishe watu njaa kisa kumsubiri mme/mke arudi toka safarini au kazini, Kwann asitengewe msosi wake pemben akija ale kivyake wakati huo wengine ndiyo mda wenu wa kulala lakin inakubidi usubirie.
Hongeraa hujaona mengi badoSijawahi...
Acha uchoyo mkuu hii message imemfikia mlengwaKapike chako ukile utakavyoo
Taratibu zao sasa utalazimisha,wabadilishe kisa unanjaa kapike kwako au kale viepeAcha uchoyo mkuu hii message imemfikia mlengwa
Ingekua vizuri kama mshua anatengewa chake pembeni mliopo pigeni msosi, sisi kwetu utaratibu ulikua huo mshua au maza chakula chake kinakaa pembeni mana hii ya kungojea mtu nyie mna njaa kumbe mwenzenu ukute ashakula zake huko wa home mnataabika sio poa kabisa.Asilimia kubwa watanzania ndivyo tulivyo.hauwezi kula kabla ya mtafutaji hajala.
hata kipindi nipo home ulikuwa hauwezi kula kabla ya baba hajarudi.labda ukadokoe jikoni kwenye sufuria lakini chakula kikishatengwa mezani haugusi
ni kweli.tatizo hauwezi kumpangia mama jinsi ya kufanya.kipindi hicho una miaka 10+ .lakini nidhamu hyo imetufundusha kuwa na adabu.Ingekua vizuri kama mshua anatengewa chake pembeni mliopo pigeni msosi, sisi kwetu utaratibu ulikua huo mshua au maza chakula chake kinakaa pembeni mana hii ya kungojea mtu nyie mna njaa kumbe mwenzenu ukute ashakula zake huko wa home mnataabika sio poa kabisa.
Nunua wako ule kama una harakaWasaalam,
Hivi ushawahi enda sehemu kwa rafiki yako,ndugu yako kusalimiaa etc.
Chakula kimepikwa na muda wa kula umewadia lakin mnaambiwa msubjri Hadi mwenye mji afike ndipo mle kwa pamoja.
Sasaa fikiria ulikuwa umeenda tangia asubuhi sasa msosi umepikwa wa jioni unatakiwa ule uende zako lakini huwezi kula Hadi mwenye mji arudi, ukiaga kuondoka unaambiwa subiri kidogo ndo anakaribia tule kwa pamoja.
Anyway, Kwann ukalishe watu njaa kisa kumsubiri mme/mke arudi toka safarini au kazini, Kwann asitengewe msosi wake pemben akija ale kivyake wakati huo wengine ndiyo mda wenu wa kulala lakin inakubidi usubirie.