Petro Oswald
JF-Expert Member
- Aug 17, 2015
- 2,323
- 1,713
Nligegeda demu papuchi inanuka hatar, baada ya kupiga kimoja nkatapika
Nligegeda demu papuchi inanuka hatar, baada ya kupiga kimoja nkatapika
Uliponaje ponaje au damu yake haikupata access kwenye damu yako? Maana ulikatisha dozi. Hii inanifanya niseme UKIMWI haupatikani kirahisi.Itabidi tuliwahi kumeza PEP tuanzishe uzi ili tuanike shuhuda za hivi vidonge: ile umejiegeshga kitandani tu hata usinguzi haujakokea inakuja bonge la ndoto unaota tren inakugonga pwaaaa kichwa kinaacha kiwiliwili alafu mtoto mdogo anaokota kichwa chako anakidumbukiza kwenye maji, unasikia maumivu ya kugongwa na kukabwa pumzi kwa kuzamiwshwa majini....niliishia kumeza za wiki mbili nikasema acha ukimwi uniue( nilichomwa na sindano wakati namhudumia mgonjwa ambaye kimya kimya nilimtoa damu kuipima ana maambukizi ya ukimwi na yeye hajui) PEP ilinifanya niache kabisa kuangalia thriller movie maana sinema zote za kuogofya ziligeuka ndoto mara nipo kwenye kambi ya mateso ya Sobibo. Namshukuru Mungu baadae nilipima na kujikuta sipata maambukizi. Wauguzi mliopo "bed side" Mungu anawapenda sana!
Kweli mkuu, kupata ukimwi ni kazi Sana, hahaha! Ila usijaribu simu kwa kuionjaUliponaje ponaje au damu yake haikupata access kwenye damu yako? Maana ulikatisha dozi. Hii inanifanya niseme UKIMWI haupatikani kirahisi.
Sasa mbona umekuja kutoa siri huku,lol
huyo mtu ulimpata usukumani kule au umasaini nasikia huko ndio wamejaaliwa
Mhayaaaaa ooops
We nae mbea.... YameishaDuh wahaya kumbe nao hawajambo eeh!kwa hiyo ulimpatia pande za bukoba eeh?
haaa hamna bhana,kwa hiyo wewe unapenda ndogondogo eeh.We nae mbea.... Yameisha
Eeeh Kwani ubuyu huu kwamba unaweza onja wakati wowote?haaa hamna bhana,kwa hiyo wewe unapenda ndogondogo eeh.
Na mimi nipo nayo ya kawaida tu nipe nafasi hiyo na mimi nikajidai
Eeeh Kwani ubuyu huu kwamba unaweza onja wakati wowote?
hamna sio hivyo my,japo hata mara moja tu moyo wangu utasuuzika
Au sio?
njoo pm tuyajenge my
aah jamani my,mbona unanifanyia mateso bila chuki mwenzakoAaaah weeeeee.... Never
Balaa mkuu.hii nadhan ni season 2 ya kula tunda kimasihara
Humu kuna mambo sio kidogo!
Nilipitia kipindi kigumu kisicho n mfano,,,,,, hyo kuota unagongwa n teen Lazima ikukute,,,, ila nilimaliza dozi toka Siku hzo nikomakini Sana n Kondom aiseeeeeeItabidi tuliwahi kumeza PEP tuanzishe uzi ili tuanike shuhuda za hivi vidonge: ile umejiegeshga kitandani tu hata usinguzi haujakokea inakuja bonge la ndoto unaota tren inakugonga pwaaaa kichwa kinaacha kiwiliwili alafu mtoto mdogo anaokota kichwa chako anakidumbukiza kwenye maji, unasikia maumivu ya kugongwa na kukabwa pumzi kwa kuzamiwshwa majini....niliishia kumeza za wiki mbili nikasema acha ukimwi uniue( nilichomwa na sindano wakati namhudumia mgonjwa ambaye kimya kimya nilimtoa damu kuipima ana maambukizi ya ukimwi na yeye hajui) PEP ilinifanya niache kabisa kuangalia thriller movie maana sinema zote za kuogofya ziligeuka ndoto mara nipo kwenye kambi ya mateso ya Sobibo. Namshukuru Mungu baadae nilipima na kujikuta sipata maambukizi. Wauguzi mliopo "bed side" Mungu anawapenda sana!
DaahhUrefu wastan upana sasa... Ngoma inaenda kwa shida aaaah we, nkaona isiwe tabu kwanza ilibidi niumwe homa ya ghafla then baada ya kutoka nikasitisha kabisa hayo mahusiano