Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,625
Dah me naogopa sana maradhi ya zinaa. Kuna mengine hauponi kama herpes....Vagina candidiasis yaan fungus wa ukeni tu hao hawana ishu ila pole mdau
Dah me naogopa sana maradhi ya zinaa. Kuna mengine hauponi kama herpes....Vagina candidiasis yaan fungus wa ukeni tu hao hawana ishu ila pole mdau
hata sikumla nikapime nini sasaUMESHAPIMA UKIMWI
Maserati umejificha wapi aisee!Mmmh. Mabwaku
Iliwahi nikuta hii..demu alitokea pori la wastan kuja town na mie nikamwona huyu ndie....mwonekano mtam..Huo ndio ukwel mkuu maana Wanawake wengine ni kero kwenye mapenz,Mwanaume akitaka kufukua makaburi,baadhi ya Wanawake wakipewa staili ya kubinuka na kulaza kifua chini harufu ya hapo hata mzoga wa fisi una afadhal
KaolewaMaserati umejificha wapi aisee!
Jana tu nimemkamata mmoja eti rafiki,nani kasema kuna urafiki wa paka na panya??kazuga kupiga kelele nikamwambia usijali nakuunganishia mic na spika kabisa upige vizuri,mpaka jioni kaondokq na vi 3 saagi kabisa namatusi yoote kamitukana mimi sina habariKuna mmoja alijichanganya bhn eti nitakupigia kelele alipiga mikele yake wewe watu huko nje shazi mi nikaendelea nazangu nilivyomaliza nikatoka na kitaulo yeye alibaki ndani siku nzima na maswali yake hahahaha now kawa bonge la mshkaji namkumbusha anacheka tu
Unapitwa sana hakuna kwa kama modelKumtafuna demu kimodo, sikuenjoy na sitarudia tena labda awe exceptional sana
Ni paper MkuuPEP ni nini mkuu? Hapa ni kapakapa!
duh!!!hii sababu yako na mimi iliwahi nitokea kwa demu mmoja hivi na mpaka leo sijawahi tambua alikuwa anaumwa ugonjwa gani ule.
Pamoja na kwamba nilikuwa napuliza air fresh ila bado geto lilinuka kwa mda wa siku tano
hahaaaaaa umetishaNilienda kumbandua nikakuta sehemu fulani ya tumbo lake ina ngozi ya mzee kabisa, niliishiwa pumzi kabisa. Ni mnyasa fulani najua ananisoma sasa hivi hapa.
Mimi nilijuta baada ya kukuta guu la mtoto daaaaah ikabidi na uhusiano ufe mazima.... Hakuna anayependa kua rambo ktk hii dunia