Showio
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 255
- 481
Kuna wakati unajiuliza “Mbona katika watu wote mimi ndio napitia CHANGAMOTO KUBWA kila siku?” Kuna mara nyingine unatamani kupata mapumziko kutoka katika mambo yanayokuandama. Likiisha moja linakuja lingine, na kabla haujatulia limeibuka na lingine.
Kuna wakati unashangaa mbona hata watu walionizidi na wako juu yangu kama wanakazana kunishusha chini na kunipiga vita. Unajiuliza mbona kama ANGUKO langu huwa linashangiliwa na wengi ambao hawafaidiki chochote hata kama nikianguka ama kufeli?
Mara nyingine unashindwa kuelewa:Inakuwaje VITA zako ni kubwa kila siku na haupumziki?Mbona ni kama vile watu wanasubiri MWANYA na UPENYO wa kunishambulia?
Jibu lake ni hili:UMEBEBA HATIMA KUBWA.UMEBEBA HATIMA ZA WATU WENGI.
Dunia haikuoni kama mtu mmoja,inakuona na maelfu ya watu walioko nyuma yako. Unapigana kwa ajili YAKO na kwa AJILI ya wote WALIO NYUMA YAKO.
Kuna watu wengi HATIMA yao iko kwenye USHINDI wako. Kuna watu umebeba MAFANIKIO ya FAMILIA,UKOO na wengine TAIFA zima.Kuna watu Mungu amewachagua kutangulia mbele ya wengine,inawezekana wewe ni mmoja wao.
UKIKATA TAMAA,UMEPOTEZA HATIMA ZA WENGI.Nakuombea MUNGU akupe NGUVU za KUSHINDA na KUVUKA katika unayopitia.
TUNASUBIRI USHINDI WAKO!
Kuna wakati unashangaa mbona hata watu walionizidi na wako juu yangu kama wanakazana kunishusha chini na kunipiga vita. Unajiuliza mbona kama ANGUKO langu huwa linashangiliwa na wengi ambao hawafaidiki chochote hata kama nikianguka ama kufeli?
Mara nyingine unashindwa kuelewa:Inakuwaje VITA zako ni kubwa kila siku na haupumziki?Mbona ni kama vile watu wanasubiri MWANYA na UPENYO wa kunishambulia?
Jibu lake ni hili:UMEBEBA HATIMA KUBWA.UMEBEBA HATIMA ZA WATU WENGI.
Dunia haikuoni kama mtu mmoja,inakuona na maelfu ya watu walioko nyuma yako. Unapigana kwa ajili YAKO na kwa AJILI ya wote WALIO NYUMA YAKO.
Kuna watu wengi HATIMA yao iko kwenye USHINDI wako. Kuna watu umebeba MAFANIKIO ya FAMILIA,UKOO na wengine TAIFA zima.Kuna watu Mungu amewachagua kutangulia mbele ya wengine,inawezekana wewe ni mmoja wao.
UKIKATA TAMAA,UMEPOTEZA HATIMA ZA WENGI.Nakuombea MUNGU akupe NGUVU za KUSHINDA na KUVUKA katika unayopitia.
TUNASUBIRI USHINDI WAKO!