Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,353
Niaje..
Hivi ni shida gani iliwahi kukukumba kiasi kwamba ukaipitia contact yako kuanzia herufi A mpaka herufi Z na bado usipate wa kumkopa pesa? Na je ulichukua maamuzi gani?
Binafsi shida ilikuwa nahitajika mahali na ilikuwa ni muhimu sana safari ya lisaa hivi kwa gari...
Tatizo likaja kwenye nauli sasa niliipitia contact yangu kuanzia A- Z nisipate wa kumwomba hiyo fedha...
Maamuzi niliyofikia ni kutembea kwa mguu tu kisha nimepanga kuokoteza magari binafsi na ya mizigo hadi kieleweke......
Vipi kwa upande wako ni changamoto gani ilikukuta hadi ukaimaliza phonebook bila mafanikio?
Ni hatua gani uliichukua?
Hivi ni shida gani iliwahi kukukumba kiasi kwamba ukaipitia contact yako kuanzia herufi A mpaka herufi Z na bado usipate wa kumkopa pesa? Na je ulichukua maamuzi gani?
Binafsi shida ilikuwa nahitajika mahali na ilikuwa ni muhimu sana safari ya lisaa hivi kwa gari...
Tatizo likaja kwenye nauli sasa niliipitia contact yangu kuanzia A- Z nisipate wa kumwomba hiyo fedha...
Maamuzi niliyofikia ni kutembea kwa mguu tu kisha nimepanga kuokoteza magari binafsi na ya mizigo hadi kieleweke......
Vipi kwa upande wako ni changamoto gani ilikukuta hadi ukaimaliza phonebook bila mafanikio?
Ni hatua gani uliichukua?