Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,224
- 113,554
- Thread starter
- #21
Hayajakukuta bro niliwahi kurushiwa simu na demu kwenye paji la uso ikabidi nishonwe,wivu wa mapenzi mbaya.
Yaelekea ulimuudhi sana. Pole..
Hayajakukuta bro niliwahi kurushiwa simu na demu kwenye paji la uso ikabidi nishonwe,wivu wa mapenzi mbaya.
kamwe siwezi pigwa na mwanamke..
Usiseme hivyo kwa kuwa hayajakukuta wala hujayashuhudia,kupigwa na demu imo.Kuna afande mmoja alikuwa anajidai mbabe hasa pale kituo cha kijitonyama mabatini,siku moja akachukua msichana mwananyamala na kumleta ndani kwake kule kwenye lile jumba lao la mabati,wakautumia vizuri usiku mpaka majogoo demu anadai chake,afande hana kitu akataka autumie uafande wake kumtisha demu,ah wapi mtoto wa uswazi hakujali huyu afande wala nini kwanza alimtandika kichwa afande akaangusha meno mawili kabla hajakaa sawa akapewa stuli ya jicho kutahamaki afande anapiga kelele za kuomba msaada toka ndani kwake na demu amefunga mlango kwa ndani,ilikuwa mshikemshike ikabidi ipigwe donation fasta fasta kuua soo na demu bila aibu akachukua chake na akampiga mkwara afande usifike mwananyamala wewe.
hii kali ....kuna mademu wengine sooo...Usiseme hivyo kwa kuwa hayajakukuta wala hujayashuhudia,kupigwa na demu imo.Kuna afande mmoja alikuwa anajidai mbabe hasa pale kituo cha kijitonyama mabatini,siku moja akachukua msichana mwananyamala na kumleta ndani kwake kule kwenye lile jumba lao la mabati,wakautumia vizuri usiku mpaka majogoo demu anadai chake,afande hana kitu akataka autumie uafande wake kumtisha demu,ah wapi mtoto wa uswazi hakujali huyu afande wala nini kwanza alimtandika kichwa afande akaangusha meno mawili kabla hajakaa sawa akapewa stuli ya jicho kutahamaki afande anapiga kelele za kuomba msaada toka ndani kwake na demu amefunga mlango kwa ndani,ilikuwa mshikemshike ikabidi ipigwe donation fasta fasta kuua soo na demu bila aibu akachukua chake na akampiga mkwara afande usifike mwananyamala wewe.
Aisee juzi almanusra nidundwe na demu aisee. Yaani sijui ingekuwaje...maana sijawahi kabisa kupewa kibano na demu na hata kupigana na demu siwezi na sitaki.
Mwenye tajiriba ya kudundwa na demu hebu atupe hapa alivyojisikia....
wewe mtata sana Mtende. Una mwanaume kweli wewe?by using hands
wewe mtata sana Mtende. Una mwanaume kweli wewe?
in marriage two years now na sijawahi kugombana na mume wangu hapa nanogesha tu mada
wewe ndio unawahadaa wake zetu walioko hapa JFin marriage two years now na sijawahi kugombana na mume wangu hapa nanogesha tu mada
kumbe displini imo....!!! mkate kofi one time uone gharama yake...!!in marriage two years now na sijawahi kugombana na mume wangu hapa nanogesha tu mada
:kiss:how can I slap my honeypot
in marriage two years now na sijawahi kugombana na mume wangu hapa nanogesha tu mada
:kiss:
nilipataga demu moja libabe kwel kwel,nilikua nakula vibao mara kibao,kuna siku nilikula kibao mpaka ulimi ukakatika kidogo,nilipiga hilo demu siku hiyo ningeua kama wasingenitoa.
Yaelekea ulimuudhi sana. Pole..