AgnessM
Senior Member
- Aug 1, 2020
- 131
- 113
Sikushauri,mkeo au mmeo hayupo mtandaoni,we endelea t utaishia kuibiwaHabari wakuu.
Ushawahi kuanzisha mahusiano kupitia mtandao wa kijamii na Yalidumu.
Mimi yapo kama mawili ya Kwanza nilianzisha na mwanamke ambaye nilikutana nae facebook tulianza charting za kawaida tukaamia whatsup Tukajikuta tunawasiliana muda mwingi hali ilipelekea kuanzisha mahusiano mahusiano haya hayakuweza kudumu kwa kuwa huyu alikuwa serious kuonekana anahitaji kabisa nimuoe nilipotezea kwa kuwa nilihitaji awe huru.
Je, ushawahi kuanzisha mahusiano ya kimapenzi serious kwa mtu ambaye mmekutana mitandaoni?