Haha Tulia Mzee Story naona Kama haziendani au ushanunua na Gari na Kumtishia BastolaNa sahz Niko njian naelekea kazin kwake kujua mbivu na mbichi khs huu Uzi.
Ntaleta mrejesho soon,
maana tangu Jana usiku akili yangu haijatulia KABISA ukizingatia mtoa mada Ni I'd mpya kabisa
Gari anayo tangu j.mosi ila sijamnunulia, anaendesha TU kwa MDA.Haha Tulia Mzee Story naona Kama haziendani au ushanunua na Gari na Kumtishia Bastola
Nikajua Ile mliyokuwa manaifuatilia Kununua Ukairekebisha ushamkabidhi.. ila nenda yaliyomo yanaweka kuwa YamoGari anayo tangu j.mosi ila sijamnunulia, anaendesha TU kwa MDA.
Kwny Bastola Ni 100% True.
Vingine Kama nyumba sio kweli, la KWANGU bado Ni pagale nmelitelekeza.
Kwa wewe hapo ushafika ukomo mkuu 😂😂😂😂
Ha ha ha...ndo nilitaka nijue Maana Kuna watu humu wananiita kijana.Kwa wewe hapo ushafika ukomo mkuu
Yapii extrooNakadori anaelewa haya?
Sahii kabisaSema Nini? Ulimsaidia jamaa maana mke aliyekuwa anakata kuoa alikuwa ni kichomi.
Noma sananikamwambia Niko na wife tu na Wewe Apo.
Mwambie hugo jamaa aliyekupa wazo aje makumbusho afanye kazi kwa manufaa ya taifaNazungumzia ile kutegeneza fitna,zengwe na figisu Fulani ili KUVURUGA mahusiano ya watu, ili Wewe upate nafasi ya kumsogeza karibu umtakae au kumtuliza yule umpendae