UshauriI: Ana miaka 32, anaweza pata mkopo HESLB?

Marco Polo

JF-Expert Member
Jan 16, 2014
8,744
11,973
Kuna ndgu yangu ana miaka 32 kamaliza 2009 PCB akafanikiwa Ku score div ii ila bahat mbaya aliugua mwaka Jana akapona ....mwaka huu alikuwa NA mpango wa kuapply MD,tatizo linakuja heslb wametoa muongozo kwamba kwa yeyote atakayeomba mkopo sharti asizid miaka 30....Huyu MTU bila loarn hawez soma Ushaur tafadhali.
 
jiongeze siyo kila kitu tukuambia ushamba huo fanya modernization ur bitth certificate chap
 
Mkuu Hapo Ni Kucheza Na Cheti Cha Kuzaliwa Tu! Ukiangalia Kuwa Kamaliza Six 2009 basi Umri Sahihi Unaomfaa ni Miaka 27 au 28, Tena Mkuu Fanya Fasta Dogo Apate Cheti Kipya Huyo Jambo Ambalo Halitokucost Hata Elfu 50,000 muhimu uonane na wajanja na Watu Wa kuaminika.
Mkuu Ukimtengezea Cheti tu, Basi Mkopo Uhakika Hiyo! ingelikuwa Zenji Ningelikwambia Nitafute!!
 
Watakao nufaika na mkopo ni wale waliomaliza form six kuanzia mwaka 2013-2016
Hapana Mkuu!
Huyo Kasema Anataka Kusoma MD ambayo ni "PRIORITY COURSES CLUSTER 1" hizi Kozi zilizopewa Kipaombele Namba Moja Hzina Kigezo Hicho Cha (2013-2016), Hata Kama umemaliza 2009 basi Wanakupatia Mkopo!
Kwa Kukupatia Reference Nimekikopi Kutoka GuideBook na Kukipesti Hapa Chini Kipengele Kinachoelezea Hayo Niliyoyasema.

""All Direct and Indirect applicants admitted to pursue Priority Courses Cluster I will be eligible for loans without considering graduation period (Form Six or other Equivalent Qualifications)"".
 
Mkuu Hapo Ni Kucheza Na Cheti Cha Kuzaliwa Tu! Ukiangalia Kuwa Kamaliza Six 2009 basi Umri Sahihi Unaomfaa ni Miaka 27 au 28, Tena Mkuu Fanya Fasta Dogo Apate Cheti Kipya Huyo Jambo Ambalo Halitokucost Hata Elfu 50,000 muhimu uonane na wajanja na Watu Wa kuaminika.
Mkuu Ukimtengezea Cheti tu, Basi Mkopo Uhakika Hiyo! ingelikuwa Zenji Ningelikwambia Nitafute!!
Niko Zenji mkuu .
 
Hapana Mkuu!
Huyo Kasema Anataka Kusoma MD ambayo ni "PRIORITY COURSES CLUSTER 1" hizi Kozi zilizopewa Kipaombele Namba Moja Hzina Kigezo Hicho Cha (2013-2016), Hata Kama umemaliza 2009 basi Wanakupatia Mkopo!
Kwa Kukupatia Reference Nimekikopi Kutoka GuideBook na Kukipesti Hapa Chini Kipengele Kinachoelezea Hayo Niliyoyasema.

""All Direct and Indirect applicants admitted to pursue Priority Courses Cluster I will be eligible for loans without considering graduation period (Form Six or other Equivalent Qualifications)"".
Kudos!!!!
 
Hapana Mkuu!
Huyo Kasema Anataka Kusoma MD ambayo ni "PRIORITY COURSES CLUSTER 1" hizi Kozi zilizopewa Kipaombele Namba Moja Hzina Kigezo Hicho Cha (2013-2016), Hata Kama umemaliza 2009 basi Wanakupatia Mkopo!
Kwa Kukupatia Reference Nimekikopi Kutoka GuideBook na Kukipesti Hapa Chini Kipengele Kinachoelezea Hayo Niliyoyasema.

""All Direct and Indirect applicants admitted to pursue Priority Courses Cluster I will be eligible for loans without considering graduation period (Form Six or other Equivalent Qualifications)"".

Mkuu umenifungua nlikua nimeshapanic maana nimemaliza diploma 2011
 
miaka 32 anahitaji mkopo wa chuo jamani alikua anafanya nini mda wote huo asipate hiyo ela.
 
anyway kama kuna possibility ya kupata achague kozi za priority cluster one....
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom