Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,291
- 17,737
Hujanielewa, nenda karudie kusoma.Kwahiyo hiyo njia na maiti na wagonjwa watatumia njia moja sio?
Mungu tusaidie Sana kizazi hiki
Punguza mihemko mkuu.
Hujanielewa, nenda karudie kusoma.Kwahiyo hiyo njia na maiti na wagonjwa watatumia njia moja sio?
Mungu tusaidie Sana kizazi hiki
Siku Mkeo au Dada yako watakapopata uchungu wa kuzaa, Umevunjwa mwili na Bodaboda au Gari, umempata stroke/ heart attack ndio utajua maana ya Lift HospitalTena huyu si ajabu anahujumu uchumi,huwezi kulazimisha vitu vya anasa na visivyo na maana kwenye project za maendeleo,lift kwenye majengo ni mambo ya anasa na haina maana.
Akamatwe na awekwe lokapu kwa ubadhilifu wa Mali ya umma
Wewe hujielewi kabisaaa!,sasa kwa taarifa yako taifa letu kimekosa watu wanao jiamini na kujitambua kama yule.Mbona alimjibu vizuri sana mzee baba?,wewe hujui umuhimu wa lift kwenye jengo la hospitali?.Acha ushabiki.Huyu ndugu ameonyesha utovu wa nidhamu.
Katika utumishi wa umma hiyo tunaita insubordination, kufanya mambo yanayomdhalilisha kiongozi wako.
Mkurugenzi, baada ya kuona Mh. Rais anaelekea kusimamia msimamo fulani, sisi katika utumishi wa umma lazima ubalansi msimamo wako ili kiongozi wako asidhalilike, unaweza kusema "tutafanyia kazi mkuu" "tutaliangalia" "ntaongea na wataalamu wangu" halafu mkikutana pembeni ndio unampa makavu.
Huu ni unafiki ambao ni halali katika utumishi wa umma, na bila unafiki huu, huwezi kudumu katika kazi za umma, unafiki wa aina hii ni silaha kuu kwa watumishi wa umma.
Sasa basi, kwa kuwa yule mkurugenzi aliamua kuidhalilisha ofisi ya Rais na Rais mwenyewe, ni vyema basi wale walioajiriwa kwa ajili ya kuwafitini na kuwa-frustrate watumishi kwenye misimamo hii waingie kazini mara moja.
Kwanza waanze na umri, anaonekana ni mzee sana, hafai kuwa kwenye utumishi na atakuwa kadanganya umri, pili hiyo tenda ya malift ifuatiliwe mpaka nywele, tatu, mamia ya watu wa CAG waende hapo kila wiki kumkagua.
Takukuru pawe nyumbani kwake, kila siku mahojiano, akaunti zake zifungwe, watu wa usalama wamchimbe hata maisha yake binafsi, kama kuna sehemu aliteleza, waanzie hapo.
Umeandika u.pumbavu.Huyu ndugu ameonyesha utovu wa nidhamu.
Katika utumishi wa umma hiyo tunaita insubordination, kufanya mambo yanayomdhalilisha kiongozi wako.
Mkurugenzi, baada ya kuona Mh. Rais anaelekea kusimamia msimamo fulani, sisi katika utumishi wa umma lazima ubalansi msimamo wako ili kiongozi wako asidhalilike, unaweza kusema "tutafanyia kazi mkuu" "tutaliangalia" "ntaongea na wataalamu wangu" halafu mkikutana pembeni ndio unampa makavu.
Huu ni unafiki ambao ni halali katika utumishi wa umma, na bila unafiki huu, huwezi kudumu katika kazi za umma, unafiki wa aina hii ni silaha kuu kwa watumishi wa umma.
Sasa basi, kwa kuwa yule mkurugenzi aliamua kuidhalilisha ofisi ya Rais na Rais mwenyewe, ni vyema basi wale walioajiriwa kwa ajili ya kuwafitini na kuwa-frustrate watumishi kwenye misimamo hii waingie kazini mara moja.
Kwanza waanze na umri, anaonekana ni mzee sana, hafai kuwa kwenye utumishi na atakuwa kadanganya umri, pili hiyo tenda ya malift ifuatiliwe mpaka nywele, tatu, mamia ya watu wa CAG waende hapo kila wiki kumkagua.
Takukuru pawe nyumbani kwake, kila siku mahojiano, akaunti zake zifungwe, watu wa usalama wamchimbe hata maisha yake binafsi, kama kuna sehemu aliteleza, waanzie hapo.
Tena huyu si ajabu anahujumu uchumi,huwezi kulazimisha vitu vya anasa na visivyo na maana kwenye project za maendeleo,lift kwenye majengo ni mambo ya anasa na haina maana.
Akamatwe na awekwe lokapu kwa ubadhilifu wa Mali ya umma
Umesomea hiyo taaluma mpaka upingane na mtaalamAcha bwana anasema kwa mujibu wa katiba, katiba gani inasema jengo la umma liwe na lift
Huyu ndugu ameonyesha utovu wa nidhamu.
Katika utumishi wa umma hiyo tunaita insubordination, kufanya mambo yanayomdhalilisha kiongozi wako.
Mkurugenzi, baada ya kuona Mh. Rais anaelekea kusimamia msimamo fulani, sisi katika utumishi wa umma lazima ubalansi msimamo wako ili kiongozi wako asidhalilike, unaweza kusema "tutafanyia kazi mkuu" "tutaliangalia" "ntaongea na wataalamu wangu" halafu mkikutana pembeni ndio unampa makavu.
Huu ni unafiki ambao ni halali katika utumishi wa umma, na bila unafiki huu, huwezi kudumu katika kazi za umma, unafiki wa aina hii ni silaha kuu kwa watumishi wa umma.
Sasa basi, kwa kuwa yule mkurugenzi aliamua kuidhalilisha ofisi ya Rais na Rais mwenyewe, ni vyema basi wale walioajiriwa kwa ajili ya kuwafitini na kuwa-frustrate watumishi kwenye misimamo hii waingie kazini mara moja.
Kwanza waanze na umri, anaonekana ni mzee sana, hafai kuwa kwenye utumishi na atakuwa kadanganya umri, pili hiyo tenda ya malift ifuatiliwe mpaka nywele, tatu, mamia ya watu wa CAG waende hapo kila wiki kumkagua.
Takukuru pawe nyumbani kwake, kila siku mahojiano, akaunti zake zifungwe, watu wa usalama wamchimbe hata maisha yake binafsi, kama kuna sehemu aliteleza, waanzie hapo.
Huyu ndugu ameonyesha utovu wa nidhamu.
Katika utumishi wa umma hiyo tunaita insubordination, kufanya mambo yanayomdhalilisha kiongozi wako.
Mkurugenzi, baada ya kuona Mh. Rais anaelekea kusimamia msimamo fulani, sisi katika utumishi wa umma lazima ubalansi msimamo wako ili kiongozi wako asidhalilike, unaweza kusema "tutafanyia kazi mkuu" "tutaliangalia" "ntaongea na wataalamu wangu" halafu mkikutana pembeni ndio unampa makavu.
Huu ni unafiki ambao ni halali katika utumishi wa umma, na bila unafiki huu, huwezi kudumu katika kazi za umma, unafiki wa aina hii ni silaha kuu kwa watumishi wa umma.
Sasa basi, kwa kuwa yule mkurugenzi aliamua kuidhalilisha ofisi ya Rais na Rais mwenyewe, ni vyema basi wale walioajiriwa kwa ajili ya kuwafitini na kuwa-frustrate watumishi kwenye misimamo hii waingie kazini mara moja.
Kwanza waanze na umri, anaonekana ni mzee sana, hafai kuwa kwenye utumishi na atakuwa kadanganya umri, pili hiyo tenda ya malift ifuatiliwe mpaka nywele, tatu, mamia ya watu wa CAG waende hapo kila wiki kumkagua.
Takukuru pawe nyumbani kwake, kila siku mahojiano, akaunti zake zifungwe, watu wa usalama wamchimbe hata maisha yake binafsi, kama kuna sehemu aliteleza, waanzie hapo.
Lift ni kwaajili ya watu ambao ni mahututi hawawezi kupanda ngazi, au wale wanaotumia wheelchairs, sijui umeelewa hapo?! Au nirudie?!Tena huyu si ajabu anahujumu uchumi,huwezi kulazimisha vitu vya anasa na visivyo na maana kwenye project za maendeleo,lift kwenye majengo ni mambo ya anasa na haina maana.
Akamatwe na awekwe lokapu kwa ubadhilifu wa Mali ya umma
Wasiojua mambo wanakuwaga na confidence kichizi!Duniani watu wanaojua na wenye uelewa mkubwa always huwa na doubts
ila sasa wajinga wajinga wengi huwa kifua mbele na wanajiamini sana na hii ndo tuliyonayo nchi hii
Hapo juu unasema hata kiongozi mkubwa akikosea unafiki utumike sio
halafu ndo mnataka tufike mbali (uchumi wa viwanda)
sasa tukipata kiongozi wa hovy halafu wasaidizi wake wakawa wanafiki si ndo mwanzo wa kuliangamiza taifa?
Akikujibu nitag mkuu!Swali ndugu, akija mgonjwa kwenye wheel chair au akiwa hoi na anahitajika kupelekwa gorofa ya kwanza, anapandishwaje?
Wasiojua mambo wanakuwaga na confidence kichizi!
Kumbe ndo maana sekta binafsi inafanya vizuri kwa sababu Hanna unafiki kazini!!....unasifia unafiki!!?nchi haiwezi endelea kamwe kama utumishi wa uma unaendeshwa hiviHuyu ndugu ameonyesha utovu wa nidhamu.
Katika utumishi wa umma hiyo tunaita insubordination, kufanya mambo yanayomdhalilisha kiongozi wako.
Mkurugenzi, baada ya kuona Mh. Rais anaelekea kusimamia msimamo fulani, sisi katika utumishi wa umma lazima ubalansi msimamo wako ili kiongozi wako asidhalilike, unaweza kusema "tutafanyia kazi mkuu" "tutaliangalia" "ntaongea na wataalamu wangu" halafu mkikutana pembeni ndio unampa makavu.
Huu ni unafiki ambao ni halali katika utumishi wa umma, na bila unafiki huu, huwezi kudumu katika kazi za umma, unafiki wa aina hii ni silaha kuu kwa watumishi wa umma.
Sasa basi, kwa kuwa yule mkurugenzi aliamua kuidhalilisha ofisi ya Rais na Rais mwenyewe, ni vyema basi wale walioajiriwa kwa ajili ya kuwafitini na kuwa-frustrate watumishi kwenye misimamo hii waingie kazini mara moja.
Kwanza waanze na umri, anaonekana ni mzee sana, hafai kuwa kwenye utumishi na atakuwa kadanganya umri, pili hiyo tenda ya malift ifuatiliwe mpaka nywele, tatu, mamia ya watu wa CAG waende hapo kila wiki kumkagua.
Takukuru pawe nyumbani kwake, kila siku mahojiano, akaunti zake zifungwe, watu wa usalama wamchimbe hata maisha yake binafsi, kama kuna sehemu aliteleza, waanzie hapo.