Ushauri: Wizara ya Elimu sitisheni udahili wa kozi za Ualimu wa masomo ya Sanaa Vyuoni

jiwe angavu

JF-Expert Member
Aug 28, 2015
19,092
35,889
Moja kwa moja kwenye mada husika.

Kutokana na ongezeko kubwa la walimu waliohitimu masomo yao kuwa kubwa mtaani Ikiwa wengi wao hawana ajira na kuendelea kuhangaika mtaani ambapo mwajiri mkuu serikali ya awamu ya tano kusitisha ajira zao hasa walimu wa masomo ya sanaa, ambao ni wengi sana hadi kufikia wengine kuhamishwa kutoka sekondari kwenda primary.

Nashauri Serikali kupitia Wizara ya Elimu isitishe udahiri wa walimu wa masomo ya sanaa katika vyuo mbalimbali nchini ili kupunguza ongezeko kubwa la walimu wanaoingia mitaani ambao wengi wao wakiingia mtaani huanza kuilaumu serikali kwa kusitisha ajira za ualimu.

Pia wizara iangalie kada zingine zenye wingi wa wahitimu nazo zipunguziwe udahili kama Sociology na zingine nyingi.

Pia wizara ianze kuzalisha wataalamu kulingana na uhitaji wa wakati husika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli mfikishie mana hali si shwari..ongezeko la vijana ni kubwa sana..

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi ndiye mkuu mwenyewe,

Elimu ya Chuo kikuu ipo kwa ajili ya vyote,kuajiriwa na kujiajiri.

Ndugu mwananchi,unadhani tukisitisha kudahili tutawatendea haki watakaotaka kujiajiri kweli?

Fikiria vizuri mwananchi wangu halafu uje tena kunishauri,mimi na washauri wangu wa karibu tunapokea ushauri wako kwa moyo mmoja.
 
Mimi ndiye mkuu mwenyewe,

Elimu ya Chuo kikuu ipo kwa ajili ya vyote,kuajiriwa na kujiajiri.

Ndugu mwananchi,unadhani tukisitisha kudahili tutawatendea haki watakaotaka kujiajiri kweli?

Fikiria vizuri mwananchi wangu halafu uje tena kunishauri,mimi na washauri wangu wa karibu tunapokea ushauri wako kwa moyo mmoja.
Wapi na lini iyo elimu ikafunza kujiajiri..na umesikia wapi kujiajiri kunafunfishwa.

Man Of October
 
Sio kuzifuta wala haitasaidia kitu chochote coz kuna walimu wengine wapo watahtaji kujiendeleza zaidi kimasomo mbele ya safar muda utakapofika

Maoni yangu ni nyinyi wanafunzi kuacha kusoma hizo course za teaching tu msome hizo ambazo mnaona zinaajira kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom