Mcharuko
JF-Expert Member
- Sep 25, 2011
- 209
- 172
Habarini, Rafiki yangu kaniomba ushauri. Anasema wanapokuwa
kwenye chakula cha usiku Mumewe hafiki kileleni. Badala yake hutumia
masturbation ili kuweza kukidhi haja zake. Ni jambo ambalo linamuhuzunisha
anajaribu kumuuliza mumewe kama hamridhishi but anamjibu kuwa
amezoea. Ndoa yao ina miezi mitatu tu lakini hilo tatizo limezusha mtafaruku
Je, ni kweli huyu Jamaa hampendi mkewe ndio maana inatokea hivyo?
kwenye chakula cha usiku Mumewe hafiki kileleni. Badala yake hutumia
masturbation ili kuweza kukidhi haja zake. Ni jambo ambalo linamuhuzunisha
anajaribu kumuuliza mumewe kama hamridhishi but anamjibu kuwa
amezoea. Ndoa yao ina miezi mitatu tu lakini hilo tatizo limezusha mtafaruku
Je, ni kweli huyu Jamaa hampendi mkewe ndio maana inatokea hivyo?