Salaam wakuu
Kwa heshima kubwa naomba mchango wenu wa mawazo katika hali hii ninayoipitia .
Iko hivi, ni mwaka wa tano sasa niko kwenye ndoa. Mke wangu na mimi wote tunalingana kiumri ila kama ujuavyo ke wana mwili mkubwa , ukituangalia tukiwa wote mke wangu anonekana mkubwa.
Katika hili naomba niwe wazi , mimi ni miongoni mwa wanandoa walioingia ndani ya ndoa kwa nguvu za mazingira na sio mapenzi ki vileeee....japo niliamini things gona work.
Kiukweli mke wangu yuko serious na maisha ya ndoa...achilia mbali kasoro ndogo ndogo ambazo kila couple uzipitia kama ubabe na much know sanaa......
Jambo hasa ninalohitaji mchango wa mawazo yenu ni hiki kilichonitokea kwa takribani miaka miwili sasa. Nimepoteza affection juu ya mwenza wangu, sijisikii comfortable ata kutoka nae out, akikosea kidogo ule uvumilivu umepungua ....najikuta namcomfront hata mbele ya kadamnasi. Kifupi chemistry kati yetu imeondoka kabisa.
Ili limepelekea kuwa stressed zaidi....napenda kuwa nje ya home zaidi na actually my work ndio imekuwa kama substitute ya mke wangu. Natoka alfajiri narudi too late.
Kinachoniogopesha ni tabia mpya ambayo pia imeanza kunitokea , napenda young hot ladies , iwe kazini au kitaa. Kifupi wasichana wenye mvuto wananiteka mwa kasi sana, sijaanza kucheat...Ila dalili zote ziko wazi mimi ni mzinifu ndani ya nafsi kitu ambacho kimezidisha kupunguza mvuto kwa mke wangu.
Nikijumuisha mambo yote haya naweza sema I'm no longer in love with my wife and my marriage is falling apart .
Sasa wakuu kwa nia njema kabisa, naomba kuwasilisha masaibu haya nayoyapitia katika dunia ya mapenzi Ili unisaidie kutafuta solution.
Naamini platform hii ina watu wenye uzoefu tofauti na hili langu uenda watu wanalipitia au wameshawahi kulipitia na wakashinda. Ebu tupeane way forward wakuu.
Thanks
Kind regards
Kwa heshima kubwa naomba mchango wenu wa mawazo katika hali hii ninayoipitia .
Iko hivi, ni mwaka wa tano sasa niko kwenye ndoa. Mke wangu na mimi wote tunalingana kiumri ila kama ujuavyo ke wana mwili mkubwa , ukituangalia tukiwa wote mke wangu anonekana mkubwa.
Katika hili naomba niwe wazi , mimi ni miongoni mwa wanandoa walioingia ndani ya ndoa kwa nguvu za mazingira na sio mapenzi ki vileeee....japo niliamini things gona work.
Kiukweli mke wangu yuko serious na maisha ya ndoa...achilia mbali kasoro ndogo ndogo ambazo kila couple uzipitia kama ubabe na much know sanaa......
Jambo hasa ninalohitaji mchango wa mawazo yenu ni hiki kilichonitokea kwa takribani miaka miwili sasa. Nimepoteza affection juu ya mwenza wangu, sijisikii comfortable ata kutoka nae out, akikosea kidogo ule uvumilivu umepungua ....najikuta namcomfront hata mbele ya kadamnasi. Kifupi chemistry kati yetu imeondoka kabisa.
Ili limepelekea kuwa stressed zaidi....napenda kuwa nje ya home zaidi na actually my work ndio imekuwa kama substitute ya mke wangu. Natoka alfajiri narudi too late.
Kinachoniogopesha ni tabia mpya ambayo pia imeanza kunitokea , napenda young hot ladies , iwe kazini au kitaa. Kifupi wasichana wenye mvuto wananiteka mwa kasi sana, sijaanza kucheat...Ila dalili zote ziko wazi mimi ni mzinifu ndani ya nafsi kitu ambacho kimezidisha kupunguza mvuto kwa mke wangu.
Nikijumuisha mambo yote haya naweza sema I'm no longer in love with my wife and my marriage is falling apart .
Sasa wakuu kwa nia njema kabisa, naomba kuwasilisha masaibu haya nayoyapitia katika dunia ya mapenzi Ili unisaidie kutafuta solution.
Naamini platform hii ina watu wenye uzoefu tofauti na hili langu uenda watu wanalipitia au wameshawahi kulipitia na wakashinda. Ebu tupeane way forward wakuu.
Thanks
Kind regards