Ushauri wenu tafadhali

LAKI

Senior Member
Jun 12, 2013
100
37
Mimi ni msichana wa miaka 27, sijawahi kushiriki tendo la ndoa maisha yangu( am a virgin), sasa nimeanza mahusiano ya mapenz na tunapendana sana na mwenzangu. Tatizo sijui nina nini maana mara nyingi tukitofautiana mwisho mimi ndo naonekana nina makosa, naumia sana ninavymkosea kila mara na kwa upendo wake wa dhati ananisamehe, naombeni ushauri wenu nahisi kama kuna uwalakini kwenye haya mahusiano, may be ikitokea amekosea nifanyeje nisikasirike maan nina hasira sana.
 
Ukikasirika usifiche hisia zake ....ukijificha utakuwa mtumwa wa mapenzi na hatokuheshimu
 
mmmmmmh
we lazima utakuwa unatumia ile philosophy kill the driver save the engine
au mbuzi amehusika hapo.
Maana juzi tulikuwa na kikao kaka yangu demu wake kaolewa zenji bikra sasa tukamuuliza vipi bro wewe cyo ridhiki haiwezekani awe anashinda kwako more than week rum aolewe bikra.
Ufukunyuku bibie anti yake kamuwekea ya mbuzi.
HII NI KARNE YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA
 
Mimi ni msichana wa miaka 27, sijawahi kushiriki tendo la ndoa maisha yangu( am a virgin), sasa nimeanza mahusiano ya mapenz na tunapendana sana na mwenzangu. Tatizo sijui nina nini maana mara nyingi tukitofautiana mwisho mimi ndo naonekana nina makosa, naumia sana ninavymkosea kila mara na kwa upendo wake wa dhati ananisamehe, naombeni ushauri wenu nahisi kama kuna uwalakini kwenye haya mahusiano, may be ikitokea amekosea nifanyeje nisikasirike maan nina hasira sana.

Sijaona uhusiano wa bikira na kugombana na mpenzi wako.
Lakini ukishakuwa na miaka zaidi ya 18 wewe ni mwanamke uwe na bikira au usiwe nayo. usichana ni kutokomaa na kujitambua of which who knows labda unafit hivyo vigezo. Mimi nikiitwa msichana naona kama ni tusi na sio sifa.

pamoja na yote hongera kwa kutunza hiyo bikira yako, natumaini utaendelea kuitunza mpaka siku ya ndoa; subiri PM za kutosha humu now that they know you are a virgin na mpenzi wako mnagombana. Good luck in picking, huenda ukapata wa maana.
 
Sijaona uhusiano wa bikira na kugombana na mpenzi wako.
Lakini ukishakuwa na miaka zaidi ya 18 wewe ni mwanamke uwe na bikira au usiwe nayo. usichana ni kutokomaa na kujitambua of which who knows labda unafit hivyo vigezo. Mimi nikiitwa msichana naona kama ni tusi na sio sifa.

pamoja na yote hongera kwa kutunza hiyo bikira yako, natumaini utaendelea kuitunza mpaka siku ya ndoa; subiri PM za kutosha humu now that they know you are a virgin na mpenzi wako mnagombana. Good luck in picking, huenda ukapata wa maana.

like like
am using mobile version pokea hizo
 
Ukikasirika usifiche hisia zake ....ukijificha utakuwa mtumwa wa mapenzi na hatokuheshimu

Asante madam, hua sipretend nikikasirika, anajua kabisa nimekesirika na anaomba msamaha, ila mimi nashindwa kuwa na moyo wa kusamehe haraka na kusahau, sas hiyo hali inatukosesha amani kila mara, wakati akinikosea siwezi kumwambia hapa umenikwaza nabak nikiumia tu moyoni, hii hali inanitesa sana
 
Mimi ni msichana wa miaka 27, sijawahi kushiriki tendo la ndoa maisha yangu( am a virgin), sasa nimeanza mahusiano ya mapenz na tunapendana sana na mwenzangu. Tatizo sijui nina nini maana mara nyingi tukitofautiana mwisho mimi ndo naonekana nina makosa, naumia sana ninavymkosea kila mara na kwa upendo wake wa dhati ananisamehe, naombeni ushauri wenu nahisi kama kuna uwalakini kwenye haya mahusiano, may be ikitokea amekosea nifanyeje nisikasirike maan nina hasira sana.
Sioni uhusiano wa bikra yako na mahusiano yako,hujatuambia huwa mnatofautiana nini na huwa unakosea nini,hebu funguka usaidiwe ushauri.
Du!Sikuwa najua mpaka sasa bikra ni sifa siku hizi Tanzania,nimezoea kuona jambo hili Swaziland kwa Mswati.
 
^^
Labda hamjaendana.
Kuna ambao sio bikra na wanaonekana na makosa pia.
Kuna wenye zaidi ya 27 hawana bikra lakini wana uhusiano mzuri.
Kwa hiyo tulia tu hakuna kukosa makosa ktk mahusiano.
^^
 
mmmmmmh
we lazima utakuwa unatumia ile philosophy kill the driver save the engine
au mbuzi amehusika hapo.
Maana juzi tulikuwa na kikao kaka yangu demu wake kaolewa zenji bikra sasa tukamuuliza vipi bro wewe cyo ridhiki haiwezekani awe anashinda kwako more than week rum aolewe bikra.
Ufukunyuku bibie anti yake kamuwekea ya mbuzi.
HII NI KARNE YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA

Thanks but what am saying is really true, I was very very busy with my studies and now I decided to start a r/ship,
 
Mimi ni msichana wa miaka 27, sijawahi kushiriki tendo la ndoa maisha yangu( am a virgin), sasa nimeanza mahusiano ya mapenz na tunapendana sana na mwenzangu. Tatizo sijui nina nini maana mara nyingi tukitofautiana mwisho mimi ndo naonekana nina makosa, naumia sana ninavymkosea kila mara na kwa upendo wake wa dhati ananisamehe, naombeni ushauri wenu nahisi kama kuna uwalakini kwenye haya mahusiano, may be ikitokea amekosea nifanyeje nisikasirike maan nina hasira sana.

Kwanza hongera sana kwa kutunza ubikira wako maana wasichana wengi wa siku hizi wanaruhusu kuondolewa bikira zao kabla ya ndoa jambo ambalo liko kinyume na maandiko matakatifu.Pili hakikisha mtu asikuguse mpaka utakapofunga ndoa maana mwanaume yoyote atakayevumilia atapokukuta na ubikira wako atafurahi kukuvumilia hivyo una haki ya kuwaambia wasubiri maana ubikira unao.Endelea kumuomba Mungu kama kweli huyo uliye naye sasa ndiyo mume atakuonyesha wala usilazimishe mambo Mungu ndiye atakayekuletea mume bora.Akitaka kuonja kabla ya ndoa piga chini kwani atakuwa hakufai wa kufanana na wewe atakuja.
 
LAKI si pesa, hasira zako zinasababishwa na lundo la ukame ulilojilimbikizia.
Hebu mpe mamboz utaona hasira zikiyeyuka
Mimi ni msichana wa miaka 27, sijawahi kushiriki tendo la ndoa maisha yangu( am a virgin), sasa nimeanza mahusiano ya mapenz na tunapendana sana na mwenzangu. Tatizo sijui nina nini maana mara nyingi tukitofautiana mwisho mimi ndo naonekana nina makosa, naumia sana ninavymkosea kila mara na kwa upendo wake wa dhati ananisamehe, naombeni ushauri wenu nahisi kama kuna uwalakini kwenye haya mahusiano, may be ikitokea amekosea nifanyeje nisikasirike maan nina hasira sana.
 
Last edited by a moderator:
LAKI si pesa, hasira zako zinasababishwa na lundo la ukame ulilojilimbikizia.
Hebu mpe mamboz utaona hasira zikiyeyuka

No, laki sio hela ni jina tu. Sipo tayar kufanya mambos kabla ya ndoa kwani nimejodhatiti kweli na namshukuru Mungu nimejitunza mpaka hapa nilipo. naomba ushauri mwingine tafadhal. thanks
 
Kwanini ulianza kwa kusema you are a virgin?
unahisi wewe kua virgin ndio chanzo cha matatizo?
 
Kwanza hongera sana kwa kutunza ubikira wako maana wasichana wengi wa siku hizi wanaruhusu kuondolewa bikira zao kabla ya ndoa jambo ambalo liko kinyume na maandiko matakatifu.Pili hakikisha mtu asikuguse mpaka utakapofunga ndoa maana mwanaume yoyote atakayevumilia atapokukuta na ubikira wako atafurahi kukuvumilia hivyo una haki ya kuwaambia wasubiri maana ubikira unao.Endelea kumuomba Mungu kama kweli huyo uliye naye sasa ndiyo mume atakuonyesha wala usilazimishe mambo Mungu ndiye atakayekuletea mume bora.Akitaka kuonja kabla ya ndoa piga chini kwani atakuwa hakufai wa kufanana na wewe atakuja.

Asante sana kwa ushauri wako ntaufanyia kazi, nazidi kumwomba Mungu maana ndo nmeanza mahusiano hivyo ni mgeni kabsa kweny hii sector.
 
pamoja na yote hongera kwa kutunza hiyo bikira yako, natumaini utaendelea kuitunza mpaka siku ya ndoa; subiri PM za kutosha humu now that they know you are a virgin na mpenzi wako mnagombana. Good luck in picking, huenda ukapata wa maana.[/QUOTE]

Nimefurahishwa na kipengele hiki cha mwisho
 
Asante sana kwa ushauri wako ntaufanyia kazi, nazidi kumwomba Mungu maana ndo nmeanza mahusiano hivyo ni mgeni kabsa kweny hii sector.

Kwahio hao wote waliokupa ushauri hujawaona au ni kukimbia maswali mengine?

Elezea uhusiano wa hii mada yako na bikira yako.
 
Kwanini ulianza kwa kusema you are a virgin?
unahisi wewe kua virgin ndio chanzo cha matatizo?

I didn't mean that, virgin nemsema kwa kuwa sijawahi kuwa na mahusiano yyte, its my first time and my planning is to have a marriage before sex, your advise plz
 
Hebu kaitoe hiyo bikira hata kwa kisu
Inakudumaza akili, mama mzima unabehave like 13?
Miaka 27 ni mtu unafaa hata kuwa kiognozi wa nchi wewe unashikilia bikra mbele kama ngao ya taifa?

Kwa ufupi, wala humkosei huyo bf wako, ni yeye anakukosea, afu ukianza kulalamika ana-play victim, na kwa sababu hujielewi unadhani unamkosea.

Grow up Woman!
 
Mruhusu aitoe hiyo bikra. Mapenzi yenu yatakuwa ya Amani.


Mwanamke kabla hujamgonga anasumbua sana.
 
Back
Top Bottom