Pharm D
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,230
- 2,938
First encounter: Alikuja mrembo mmoja ofsini kwangu na kwakua ulikuwa muda wa kukaribia kufunga, akawa mteja wangu wa mwisho kumhudumia kwa siku hyo. Baada tu ya kumhudumia nkajiwahisha kusign out ili nimuwah kabla hajafika mbali nimpe lifti nianze kuyajenga taratibu njiani. Hili lilifanikiwa kwa 100% nkampeleka mpaka kwao tukapeana contacts nikasepa zangu then tukaanza kuwasiliana kuanzia hapo.
Siku ya siku akaniambia huku mkoani ndio nyumbani kwa wazazi lakini yeye anaishi Dar ndiyo anafanya kazi huko (sikuwahi kumpeleleza anafanya kazi gani) hivyo likizo imeisha lakini kutokana na huduma aliyoipata siku ile pale ofisini kwangu ameona siyo vibaya akaniaga kabla hajaondoka.
Nikakubaliana na ombi lake ila nikajitia ugonjwa hivyo nko home nina E.D (mapumziko ya kiafya) hivyo kama hatojali aje tu home hakuna shida. Nikamuelekeza akafika nikamweleza kinachonisibu japo ilikuwa ni uongo mtupu, akatoa khanga kwenye handbag akaingia jikoni akakoroga uji wa mgonjwa.
Wanawake walivyo wadhaifu akaanza kunihurumia pale mara aniandalie uji aninyweshe kidogo tukaanza kuangaliana machoni huku zero distance nikaona hapahapa nikamshika kiuno yuko kimya nikamuegamiza kifuani kuanza kumtomasa mpaka akatoa kiss mara paaaaap mtu kaliwa tunda kimasihara.
Baada ya hapo hakuaga akavaa nguo zake akasepa kimyakimya hakutaka hata kusindikizwa. Tukachuniana kama baada ya wiki akawa amesharudi kazini kwake nikaanza kuona status zake WhatsApp akiwa na combart na SMG begani. Nkasapraizika lakini siku-comment chochote nkapita kimyakimya.
Nlipata safari ya kikaz Dar nikamtaarifu kwa meseji tu ya kawaida, “Habari za siku rafiki, niko njiani nakuja Dar kwa kazi ya kiofisi. Nitakuwepo kwa siku tatu. Kama ratiba yangu na yako zikiruhusu kusalimiana, naomba tufanye hivyo”
Msg sent and delivered but not replied...
Ile siku ya tatu jioni ili kesho yake nirudi mkoa ndiyo anapiga kunieleza alipo nimfuate, nikasogea mpaka maeneo ya jirani na kambi akaja tukakutana bar. Akalaumu kile kitendo (kuliwa tunda kimasihara) kilimkera na alitokea kunichukia ila ni kosa limeshapita, maisha mengine yaendelee. Hakutaka kuendeleza ule mchezo coz kwake mapenzi ni serious issue na hawezi kuingia kwenye mahusiano kwa bahati mbaya namna ile ingawa hana uhusiano na mtu kwa sasa ila hawezi kukurupuka. Baada ya kama dakika 15 au 20 hivi tukaagana kila mtu akasepa kivyake.
Kuanzia hapo tukaanza kuwasiliana upya kwa kasi ya ajabu, tunaongea na simu for hours. Imefika hatua anaomba emergency leave aje tu mkoa as friends; nikitoka tu kazini tunagandana ila kwangu hataki kufika lakini tunaweza kukaa bar tunaongea hadi saa 6-7 za usiku kwa siku za wiki na club hadi saa11 alfajir kwa siku za weekend. Tukitoka hapo nam-drop kwao then narudI kulala kwangu akiamka tu yuko na mImI ila swala la mapenzI ndio tunapotezeana.
Kutokana na ukaribu wa mawasiliano tulio nao, it's likely kwamba hana serious relationship na kama ipo labda atakuwa ni mume wa mtu ambaye hamkabi kihvyo ndiyo maana tunapiga video call mpaka tunapotelea usingizini.
Hoja yangu:
Hapa nimeshikilia button ya push-to-start; niki-press tu engine inawaka na safari ya mapenzi na 'mjeda' inaanza rasmi. Hofu yangu ni kwamba sina uzoefu wa kutosha na hawa watu, hata kwenye ukoo wetu hatuna mtu hata mmoja aliyewahi kuwa hata mgambo.
Kwa ambao mshawahi kuwa na uhusiano au mliopo kwenye mahusiano na hawa watu, huwa wana character gani kulingana na mienendo ya kazi zao achilia mbali zile tabia personal ambazo kila mtu ana za kwake. Nazungumzia general ambazo combat ladies wanashea in general.
Naombeni ushauri wenu mapema nisije nikajifunika shuka moja na nyoka nikakosa msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku ya siku akaniambia huku mkoani ndio nyumbani kwa wazazi lakini yeye anaishi Dar ndiyo anafanya kazi huko (sikuwahi kumpeleleza anafanya kazi gani) hivyo likizo imeisha lakini kutokana na huduma aliyoipata siku ile pale ofisini kwangu ameona siyo vibaya akaniaga kabla hajaondoka.
Nikakubaliana na ombi lake ila nikajitia ugonjwa hivyo nko home nina E.D (mapumziko ya kiafya) hivyo kama hatojali aje tu home hakuna shida. Nikamuelekeza akafika nikamweleza kinachonisibu japo ilikuwa ni uongo mtupu, akatoa khanga kwenye handbag akaingia jikoni akakoroga uji wa mgonjwa.
Wanawake walivyo wadhaifu akaanza kunihurumia pale mara aniandalie uji aninyweshe kidogo tukaanza kuangaliana machoni huku zero distance nikaona hapahapa nikamshika kiuno yuko kimya nikamuegamiza kifuani kuanza kumtomasa mpaka akatoa kiss mara paaaaap mtu kaliwa tunda kimasihara.
Baada ya hapo hakuaga akavaa nguo zake akasepa kimyakimya hakutaka hata kusindikizwa. Tukachuniana kama baada ya wiki akawa amesharudi kazini kwake nikaanza kuona status zake WhatsApp akiwa na combart na SMG begani. Nkasapraizika lakini siku-comment chochote nkapita kimyakimya.
Nlipata safari ya kikaz Dar nikamtaarifu kwa meseji tu ya kawaida, “Habari za siku rafiki, niko njiani nakuja Dar kwa kazi ya kiofisi. Nitakuwepo kwa siku tatu. Kama ratiba yangu na yako zikiruhusu kusalimiana, naomba tufanye hivyo”
Msg sent and delivered but not replied...
Ile siku ya tatu jioni ili kesho yake nirudi mkoa ndiyo anapiga kunieleza alipo nimfuate, nikasogea mpaka maeneo ya jirani na kambi akaja tukakutana bar. Akalaumu kile kitendo (kuliwa tunda kimasihara) kilimkera na alitokea kunichukia ila ni kosa limeshapita, maisha mengine yaendelee. Hakutaka kuendeleza ule mchezo coz kwake mapenzi ni serious issue na hawezi kuingia kwenye mahusiano kwa bahati mbaya namna ile ingawa hana uhusiano na mtu kwa sasa ila hawezi kukurupuka. Baada ya kama dakika 15 au 20 hivi tukaagana kila mtu akasepa kivyake.
Kuanzia hapo tukaanza kuwasiliana upya kwa kasi ya ajabu, tunaongea na simu for hours. Imefika hatua anaomba emergency leave aje tu mkoa as friends; nikitoka tu kazini tunagandana ila kwangu hataki kufika lakini tunaweza kukaa bar tunaongea hadi saa 6-7 za usiku kwa siku za wiki na club hadi saa11 alfajir kwa siku za weekend. Tukitoka hapo nam-drop kwao then narudI kulala kwangu akiamka tu yuko na mImI ila swala la mapenzI ndio tunapotezeana.
Kutokana na ukaribu wa mawasiliano tulio nao, it's likely kwamba hana serious relationship na kama ipo labda atakuwa ni mume wa mtu ambaye hamkabi kihvyo ndiyo maana tunapiga video call mpaka tunapotelea usingizini.
Hoja yangu:
Hapa nimeshikilia button ya push-to-start; niki-press tu engine inawaka na safari ya mapenzi na 'mjeda' inaanza rasmi. Hofu yangu ni kwamba sina uzoefu wa kutosha na hawa watu, hata kwenye ukoo wetu hatuna mtu hata mmoja aliyewahi kuwa hata mgambo.
Kwa ambao mshawahi kuwa na uhusiano au mliopo kwenye mahusiano na hawa watu, huwa wana character gani kulingana na mienendo ya kazi zao achilia mbali zile tabia personal ambazo kila mtu ana za kwake. Nazungumzia general ambazo combat ladies wanashea in general.
Naombeni ushauri wenu mapema nisije nikajifunika shuka moja na nyoka nikakosa msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app